Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Kuna watu ni wanga jamani khaaBado nawaza ile harusi alioenda kuhudhuria isijekuwa ndo yeye alienda kuoa(naomba iwe hivyo)...
Kuna watu ni wanga jamani khaaBado nawaza ile harusi alioenda kuhudhuria isijekuwa ndo yeye alienda kuoa(naomba iwe hivyo)...
Miii pia nataka awe hajaoa tuu.... Ila Lara anaweza akabadili gia anganiBana tusiwaze hivyo. Msomali hajaoa bado![]()
![]()
![]()
Ashindwe khaaMiii pia nataka awe hajaoa tuu.... Ila Lara anaweza akabadili gia angani
Uyu itakua katumwa na Tonny uyuuKuna watu ni wanga jamani khaa
Mpambe wa Dee huyoUyu itakua katumwa na Tonny uyuu
Bado nawaza ile harusi alioenda kuhudhuria isijekuwa ndo yeye alienda kuoa(naomba iwe hivyo
)...![]()
Weweee ambandue vipi unataka atubemendee mtoto eeeeKwa micare ile ya Dee naomba awe amembandua tu![]()
Yaani ungemalizia kabisa aende na kisu amchome au amgonge na gari afweeeHio saa 9 haitaki tu kufika....... Yaani ningekua sally ningeenda kwa msomali,
Ninge mpaka upupu
Ninge vuta minguo aloivaa adi ichanike
Ninge parua usoni hadi uzuri usionekane
Alafu ndo ningeanza kumsikiliza explanation yake
Mi kunamuvi huwa nikitaka hasira inipande naangalia na kuna episode nikitaka hasira inipande nasoma, sasa io episode anayo rudi msomali hasira imenipanda kabla sijaisoma
naomba mungu aje na maelezo mazuri labda tamuelewa sio kama Mike



Na anayo maelezo mazuri wala usijaliHio saa 9 haitaki tu kufika....... Yaani ningekua sally ningeenda kwa msomali,
Ninge mpaka upupu
Ninge vuta minguo aloivaa adi ichanike
Ninge parua usoni hadi uzuri usionekane
Alafu ndo ningeanza kumsikiliza explanation yake
Mi kunamuvi huwa nikitaka hasira inipande naangalia na kuna episode nikitaka hasira inipande nasoma, sasa io episode anayo rudi msomali hasira imenipanda kabla sijaisoma
naomba mungu aje na maelezo mazuri labda tamuelewa sio kama Mike
Hio saa 9 haitaki tu kufika....... Yaani ningekua sally ningeenda kwa msomali,
Ninge mpaka upupu
Ninge vuta minguo aloivaa adi ichanike
Ninge parua usoni hadi uzuri usionekane
Alafu ndo ningeanza kumsikiliza explanation yake
Mi kunamuvi huwa nikitaka hasira inipande naangalia na kuna episode nikitaka hasira inipande nasoma, sasa io episode anayo rudi msomali hasira imenipanda kabla sijaisoma
naomba mungu aje na maelezo mazuri labda tamuelewa sio kama Mike
Hakufi mtu sally akipewa fp ile ya kusogeza pichu Kwisha Kazi dee akasome!Penzi la kweli haliwezi kufamsomali ukufwe tu usirudi tena
HogoHivi ana nini lakini
Wasomali tukibalehe zawadi ni Ak47Sikimbii wewe
Kwanza wasomali ngobole ndo kama handbag zao washazoeaa msomali juuu hata kama alikimbia
Na bado utakereka snpendo ka zigo la nnya ananikeraaa basi tu
Yan mulemuleMsomali kaja kufata chata yakeee na Lara hajatuambia kama Sally amesha Fanya kwanzia ajifungue so atakua na ugwadu sio Wa nchi hii action ya kwanza watapiga game moja kabambe na msamaha utapita hapo hapo


