Mmmmmmh!!! Mara nyingi debe tupu huwa haliachi kulia lia. Hizo sifa ulizojipa zimenitia hofu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nina complete package honey!
Kuanzia rivolver, AK47, vifaru, mpaka nuclear za korea kaskazini.
Wewe tu kujisevia, iwe passport au full picture!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
- KANA -
Sasa utakula jeuri yako.Mmmmmmh!!! Mara nyingi debe tupu huwa haliachi kulia lia. Hizo sifa ulizojipa zimenitia hofu.
Lara tafadhali tenda muujiza, isiwe mimba ya msomali.Haha shindwa na roho mbaya yako khaaa
Nimetafuta hicho kipengele na mimi ila mama Mchungaji kakiweka fumbo
Sawa.Sasa utakula jeuri yako.
Endelea kujicontrol
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
- KANA -
[emoji78] [emoji78] [emoji33] [emoji33]Lara tafadhali tenda muujiza, isiwe mimba ya msomali.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji78] [emoji78] [emoji33] [emoji33]
Umeona eee tena kwa msistizo ndefuuuu hizo xxxxxxxxxxxxxDuh watu ni hatari eti xxxxxxxxxxxxxxx kwa msisitizo yaani
Ngoja mi nisubiri yeyote tu
Lara hakawii kuja kukuvuruga akili hapa ooh haikua period ya kawaida ilikua tatizo la mimba au mimba za kisomal unaingia period 2[emoji23] [emoji23]Mtoto kuwa wa msomali haiwezekani mana si amesema aliingia mp baada ya msomali kusepa?anyway tusubiri next episode
[emoji18] [emoji18] [emoji33]Lara tafadhali tenda muujiza, isiwe mimba ya msomali.
Yaani shunie na mie wote tuwemo!!!
Kumbuka mimi ni dada yake TWH hivyo shunie atakuwa mpwa wa TWH, haramu.
Lara tafadhali tenda muujiza, isiwe mimba ya msomali.
No mi nlidhani watu wata vunga
Kifupi sikuwa na chaguo
Mimba ya msomali mechi ya kwenye gali hiyoo sio ya huyo Tonny[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kujeni hukuuuuu
Kuna mtu kaokota dodo chini ya muarobaini.
Yani msomali kasimamia kucha all that long lakini wapi, huyu bwege kugusa tu imoooo!
- KANA -
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nina complete package honey!
Kuanzia rivolver, AK47, vifaru, mpaka nuclear za korea kaskazini.
Wewe tu kujisevia, iwe passport au full picture!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
- KANA -
Haha shindwa na roho mbaya yako khaaa
Nimetafuta hicho kipengele na mimi ila mama Mchungaji kakiweka fumbo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Maseneta watakupiga vikwazo vya kudumu muda si mrefu.
Acha kabisa mkuuMimba ya msomali mechi ya kwenye gali hiyoo sio ya huyo Tonny[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kasema asubiriwe miaka miwili au mitatu