Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Anasingizia watu bure huyo, aseme tu Msomali keshafanya vitu vyake...ndio maana anasuasua huku kwenye ubuyu. Na kama alijaribu full size badala ya passport sipati picha hiyo POP wameiwekaje madaktari. Kuna maeneo yana utata
Msomali alishasokomeza kizazi hukooooo, watatafuta sana mimba na hawaipati.
 
Mama Yeyoo Shunie eti kuna siku nimewahi kukwambia mie ndio yule MOTP? Aunt yako toka kitambo nilishajua tu anamashaka na mimi bure...wakati mkataba wangu mimi na wewe ni ubuyu tu, tena wa Babu Issa.
Ile tezi dume nilomuombea MOTP alafu lara akanifanyia figisu jiandae nalo wewe sasa.
 
Hahahhha kwahiyo Samaritan amechukua point 3 kirahisi rahisi kabisa.

Japo siku hizi nimekuwa mchekelewaji sana humu, Bado nipo na msomali .

I guess msomali atasepa marekani atarudi akiwa loaded balaa sally kyupi kitambana!
Kuna ile point ambao sote tulikuwa nobodies, broke AF hadi tulivyopata wakutushika mkono jamani, kwahiyo msomali aachwe!
Msomali harudiii.
 
Kwahiyo adress yangu unajifanya hauijui?

Aunt naona kuna kitu unanitafuta sio bure. Au unafikiri nashindwa kufacilitate Mama Yeyoo apate ubuyu wake directly bila kupitia kwako?

Niwekee hapa address hata kama ni care of mie ntafanya mipango ubuyu ufike iwe DHL au njia yeyote ilimradi Shunie apate mzigo wake! Usinifitinishe na Mama Yeyoo, hapa tu wachawi wameshaniletea nuksi eti mie MOTP, na kwenye TWH ntaomba wewe uwe kwenye episode ya mwanzo kabisa.
 
Hahahhha kwahiyo Samaritan amechukua point 3 kirahisi rahisi kabisa.

Japo siku hizi nimekuwa mchekelewaji sana humu, Bado nipo na msomali .

I guess msomali atasepa marekani atarudi akiwa loaded balaa sally kyupi kitambana!
Kuna ile point ambao sote tulikuwa nobodies, broke AF hadi tulivyopata wakutushika mkono jamani, kwahiyo msomali aachwe!

Kinachowasumbua watu ni roho mbaya tu! Sasa wanamtilia wivu Msomali kwa lipi?
 
Right from the beggining, nilijua lazima story ya MOTP iwe mtaji kwa wajanja wajanja wa JF!



Sasa hapa kwa The Wife Hunter lazima Samaritan akaangwe!

Mwana kulitaka, mwana kulipewa!

- KANA -

Kukaangwa ntakaangwa ila na mimi passport na full picture itakua zimetembea sanaaaa! Naomba tu hii isiwe na mambo ya tezi dume!
 
Back
Top Bottom