Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
That's my auntieMbele ya binti zangu nakukata miguu kabisa!

Si unaona vitu kichwa chake kinawaza!! Kaa nae mbali.Full picture zipi hizo tena
Hivi amemaanishaje auntie hapoSi unaona vitu kivhwa chake kinawaza!! Kaa nae mbali.
nakuja nae Lee wangu jaman ulifkili atakubali kuniruhusu nikuje mwenyewe baba yeyoo
Antie mie nimefikiria kuwa mnajuana, kwani wewe umefikiria nini?umenichekesha sana ujue ulivyowaza auntie wewe sijui umefikilia nini
Hahahaaaa!! Kwahiyo huo ubuyu ndio ukeninyima?
Kwani baba yeyoo kabla ya jana usiniambie ulikua unajua shunie ni meMie kwa yale maneno ya jana nimeshajiridhisha pasi shaka kwamba wewe ni ke. Hauhitaji kunitafuta uwe peke yako au na Lee hapana kabisa. Ila aunt yako espy ndio ameshatangaza vita kamili

Na me nimefikiria hivyohivyo auntie ya kujuana uliyomaanisha ujueAntie mie nimefikiria kuwa mnajuana, kwani wewe umefikiria nini?

Kwani baba yeyoo kabla ya jana usiniambie ulikua unajua shunie ni me![]()
![]()
Mimi natafuta ubuyu tu rafiki, no more no less.Ubuyu utaupata ila umeshaongezea uadui, nilishasema kitambo kuna kitu unakitafuta.
Baba yeyoo jaman kwahiyo siku zote mambo ya ubuyu huku unanicheka kisogo unajua me mwenzio.Mie mama yeyoo nakwambia sina neno na wewe aunt yako ndio atakuhadithia akitaka. Wewe bado mdogo sana. Hahahahaaa






