Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Hiyo ni story nyingine!
Tunayoijua sisi Dee yuko kanisani.

Alaf naskia kapewa uhasibu wa kanisa!
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]

- KANA -

Ndio, Dee chizi yupo kanisani, Msomaili gaidi yupo mochwari, Sally mkimbizi yupo na B.
 
Hiyo ni story nyingine!
Tunayoijua sisi Dee yuko kanisani.

Alaf naskia kapewa uhasibu wa kanisa!
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]

- KANA -
Hahaa sasa hivi kama namuona na suruali mita 6, shati mita 5 na moka kama katokea Congo leo, anachomekea kifuani + tai yake mita 3
 
Hahaa sasa hivi kama namuona na suruali mita 6, shati mita 5 na moka kama katokea Congo leo, anachomekea kifuani + tai yake mita 3
Ni afadhali mara 800 kuliko kutafunwa na mchwa kaburini.

Naskia msomali alikutwa uchi akiwa amekufa, hawakumfanyia mambo ya Mombasa kweli?

- KANA -
 
ila msomali alikukosea nini dada!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hakustahili kifo cha haraka hivyo, alshabab inabidi unamuweka mahali kila siku unamdonoa na sindano kidogo kidogo hadi afe.
 
Back
Top Bottom