The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
NAOMBA KITAMBAA ULICHOSHONA UNIPOSTIE SAMPO!
Dah! Tujiandae tu haina namna, usisahau kumpitia Heaven Sent
NAOMBA KITAMBAA ULICHOSHONA UNIPOSTIE SAMPO!
ila meumia kikweli!Dah! Tujiandae tu haina namna, usisahau kumpitia Heaven Sent
ngoja nilie kwanza tujipange!Tukimaliza msiba itabaki kazi moja tu, angamiza lara 1 team Dee watamtengeneza kwa vyungu na ushirikina wakati team Msomali tunamuandama angani, ardhini, majini, gizani , kwenye mwanga n.k inaitwa wanted dead or live
Ahsanteni sana, nipo kwenye maombolezo. Vipi bado mnapika vyungu?Ndo ashakimbia ivo
- KANA -
Namtafuta popote alipo kwakweli
Heaven Sent pole sana mama
Me nipo tayari, mnipitie tuDah! Tujiandae tu haina namna, usisahau kumpitia Heaven Sent
Hapana, ni mwendo wa maombi na mapambio kwa sana tu!Ahsanteni sana, nipo kwenye maombolezo. Vipi bado mnapika vyungu?
Tumeokoka tunaimba kwayaAhsanteni sana, nipo kwenye maombolezo. Vipi bado mnapika vyungu?



A nice guy alshabab!!!!OH MSOMALI!
ila mi nilijua tu!
LARA MSOMALI ALIKUKOSEA NINI LAKINI!
HE WAS SUCH A NICE GUY!
kweli UKAAMUA Akutwe amekufa akiwa hana nguo?
ILI WATU WAJUE ADUI ALIKULA RUJO AU?
DAH!
IMENIUMA!
ACHA NIWEKE MATANGA!
SIKU TATU SIIINGII JF!
Hebu nitumie nauli nikuje kwa msiba rafiki.
Hahahaaaa! Afadhali kidogo this time nimefurahi japo kafa kijinga nilitamani ateseke kidogo.Tukimaliza msiba itabaki kazi moja tu, angamiza lara 1 team Dee watamtengeneza kwa vyungu na ushirikina wakati team Msomali tunamuandama angani, ardhini, majini, gizani , kwenye mwanga n.k inaitwa wanted dead or live
Sie tuko kwa Yesu now.Ahsanteni sana, nipo kwenye maombolezo. Vipi bado mnapika vyungu?
Hapana, ni mwendo wa maombi na mapambio kwa sana tu!
# steringi hauwawi
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
Dish lazima liyumbeHuyo nae nasikia bado yupo kama zezeta. Kapona ila nati za madish hazijakaa sawa.
Tunanena kwa lugha na kuimba nyimbo za kuabudu.Ahsanteni sana, nipo kwenye maombolezo. Vipi bado mnapika vyungu?


Hapana, ni mwendo wa maombi na mapambio kwa sana tu!
# steringi hauwawi
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
Tumeokoka tunaimba kwaya
Nasubiri nipige rambirambi nianze biashara![]()






HallelujahSie tuko kwa Yesu now.
Ahahhaha una hasira na auntie yangu sanaAhsante rafiki. Umeona tuhuma zako kwamba nimemhonga fanani zilikua za uongo? Aunt atakupoteza yule.