Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Mwenyewe natabiri Sally atarudiana na msomali
![]()
![]()
![]()
![]()
Acha tumpoteze fanani
- KANA -





Mwenyewe natabiri Sally atarudiana na msomali
![]()
![]()
![]()
![]()
Acha tumpoteze fanani
- KANA -





Haha lioneerMwenyewe natabiri Sally atarudiana na msomali
![]()
![]()
![]()
![]()
Acha tumpoteze fanani
- KANA -
Mi siwapendiiii natamani sally aolewe na bonge moja LA papaaa tena mbele ya macho yao
hunishindi mimi luvHapa hapati kituuu apeleke mkia wake kuleeeeeNipo mama, namuona Pablo Dee anavorudisha majeshi kwa Sally!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
Hahahah akati wao sasa ivi ndo hawatakiwiHaha ooh hatumtaki tena Sally
Mwenyewe natabiri Sally atarudiana na msomali
![]()
![]()
![]()
Acha tumpoteze fanani
- KANA -
Na Mimi ngoje nimalizie kumpoteza fanani...... Sally ataolewa na yule uncle ambae hudda alimtaja hhahahah cjui anaitwa uncle HumphreyAah me pamoja na yote sijamkana msomali wangu. Ila kana alidiss sana kuwa hamumtaki Sally, nashangaa mshaanza kujiendekeza. Natabiri sally watarudiana na Dee (teh na hivi lara hapendi utabiri![]()
)
Zilikua hasira tu honey, kama ambavyo Sally aliuza mechi kwa msomali.Ila Dee kaniuzi jaman alichomfanyia Sally
Hapo umecheza, maana fanani anataka kutuletea third party atumalize.Na Mimi ngoje nimalizie kumpoteza fanani...... Sally ataolewa na yule uncle ambae hudda alimtaja hhahahah cjui anaitwa uncle Humphrey
Hihihihihihihi
Sio kwa hasira zile KANA hajamtendea haki sally hakustahili adhabu ileZilikua hasira tu honey, kama ambavyo Sally aliuza mechi kwa msomali.
- KANA -
Hasira tu, ukiwa nazo unaweza fanya kitu cha ajabu mpaka mwenyewe ukaja kujishangaa!Sio kwa hasira zile KANA hajamtendea haki sally hakustahili adhabu ile


si mlisema sally ma...a?au mmesahau??We unataka kucharazwe baakora naonaNa Mimi ngoje nimalizie kumpoteza fanani...... Sally ataolewa na yule uncle ambae hudda alimtaja hhahahah cjui anaitwa uncle Humphrey
Hihihihihihihi


director hataki utabili etIla hasira hasara namuonea huruma sana Dee wanguHasira tu, ukiwa nazo unaweza fanya kitu cha ajabu mpaka mwenyewe ukaja kujishangaa!
- KANA -


ila si kwa utapeli huu wa papuchi


Ila hasira hasara namuonea huruma sana Dee wangu
ila si kwa utapeli huu wa papuchi
Ila huyu mtoto mwenye anaemia si wa tonny kweli??
Inawezekana ni tonny tu![]()
![]()
![]()
![]()
Uskute tonny kachafua hali ya hewa!
- KANA -