Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Asante laraLeo bila bila tukutane kesho
Asante laraLeo bila bila tukutane kesho
Bwana Dada mkubwa Fanya Fanya tuu mambo kwani msomali c anajua kua dee yuko na sally so picha LA chupi halina sumu kabisaNamrudishaje kwa picha lile la chupii alilotumiwa na Dee.
Tena ufala daraja la kwanzaDuuu masikini sally pande zote kunawaka moto sijui ataishia vipi
Sally ukirudiana na Dee ni ufala
You no longer need her???Sally ameshuka dau!
We no longer need her!
Si nilikuambia lakini?
- KANA -
Hatumtaki tena deee arudi tuu kwa yule kahaba wake wa barNo!
Sipendi arudi kwa Pendo wala kwa Sally. Aendelee na maisha yake banaa
- KANA -
Otee mae dee kazidiHivi kuchepuka anachepuka Dee tu?au kwakua mafail ya msomali hayajawekwa mezani??...acheni kutunyanyasa bhana![]()
Ndio ni Dume ndo maana aliacha chata yake kwa Sallyeti msomali dume....hebu niache nicheke kwanza
Kweli kabisa maana hujui moyoni mwake anakuwazia nini.......Ogopa sana kurudiana na MTU uliemuumiza.
All of the aboveKwahiyo kipimo cha uanaume ni kurudi kufata mtoto au kutokuchepuka?
- KANA -
Nilichojifunza kwa Dee na Sally kumbe dhambi ya usaliti wa mapenzi ukimuungamia Mungu inatosha....katu usimuungamie mpenzi wako.
Nilichojifunza kwa Dee na Sally kumbe dhambi ya usaliti wa mapenzi ukimuungamia Mungu inatosha....katu usimuungamie mpenzi wako.

Lara1 unajua nna mimba yako? Unaenda wap ss tupe utamuJamani ndugu wasomaji kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu story hii imeishia hapa. Kila mtu amalizie mwisho anao upendaaa. Tukijaliwa nitakuja kuimlizia ila kwa sasa nimebanwa sanaaa.









Jamani ndugu wasomaji kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu story hii imeishia hapa. Kila mtu amalizie mwisho anao upendaaa. Tukijaliwa nitakuja kuimlizia ila kwa sasa nimebanwa sanaaa.
Dah!Jamani ndugu wasomaji kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu story hii imeishia hapa. Kila mtu amalizie mwisho anao upendaaa. Tukijaliwa nitakuja kuimlizia ila kwa sasa nimebanwa sanaaa.
Kabisaa ukimu ungamia mtu lazima akumbeto kama dee alivo fanya unajua inauma eeeeNilichojifunza kwa Dee na Sally kumbe dhambi ya usaliti wa mapenzi ukimuungamia Mungu inatosha....katu usimuungamie mpenzi wako.
Jamani Dada mkubwa tumalizie tuu ivo ivoooJamani ndugu wasomaji kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu story hii imeishia hapa. Kila mtu amalizie mwisho anao upendaaa. Tukijaliwa nitakuja kuimlizia ila kwa sasa nimebanwa sanaaa.
PoleSijawahi pata habari mbaya kama hii kwa siku ya leo![]()