Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!


Wakati tunamtunza mwanenu mbona hamkusema kwamba Dee kidume?

Wakati tunahangaika na Kuhudumia Sally mbona hamkusema?

Wakati msomali anachukua bibi kizee mbona hamkumvua uanaume?

Au uananume wa Dee ndo unavulika?



Next time Sally akijichanganya tutamburuza mitaani. Hatutaishia sebuleni.

- KANA -
Kipimo chao cha uanaume kinachaguachenyewe kinapima kwa Dee tu
 
Bado mna hamu na mtoto wa 2 au hamu imewaisha mafanani wasaidizi. Darasa la story telling now will be the best moment for baby numero 2. Too much suspension wa Dee au wa Msomali? Haya sasa nipeni mwongozo tunaendaje.Turudie cycle au tuchanje mbuga?

Kuwa fanani sio mchezo mchezooo kujua mwisho wa story ni kunitukana fanani.

***mayo we mwanamke.sio kwa kuhamisha magoli huku dadeki!!!
 
Dee kanisikitisha sana sio kwa kumfanya hivi sally hata kama ilikuwa ni hasirakumtoa uchi tena mbele ya watoto hapana hapa Dee umekosea...
Ila wale wa baby namba 2 mpo??mimba inaendeleaje?nacheka kama mazuri vile
Nilikuambia Dee ni mtoto wa mbwa hukuamini. Nikashauri sally arudi kwa msomali anajifanya kashonwa nyuzi Tisa msomali hakuwepo. Sasa mwaizaya dee kamfanya hamna sasa
 
Back
Top Bottom