Weekend Story! DESPERATE!

Weekend Story! DESPERATE!

@lara1 nimesoma 1 chapter tu lakini sio kwa nnavyo ogopa huko mbele... maana nipo kwenye boom period ya kumuombea huyoooo mume. I cnt handle disappoints jamani
 
Maskini Anna , ila hapa muharibifu ni troy why kasema Anna ana mimba wakati hakuna? Kanikera
 
Hapo mwisho nimemwaga mchozi basi sisomi tena kwaherini....raha ya stori uburudike
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

HAPPY NEW YEAR PEOPLES!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Maxence Melo sijui hata nisemaje, was watching the news, and everything, HEART BROKEN kwa kweli. Yaani hata kuja humu nilikuwa sinaaa. Thanks God now uko home with your family.

Japo niko busy kuliko busy yenyewe, but we need to celebrate, mwanakondoo mwenzetu umerudi kundini salama, tuna rejoyce na kastory ka kufungulia 2017 just to celebrate your freedom. Ingekuwa amri yangu ningeandika kumchana yule ngoshaaa, mavitu vina vya PETALS OF BLOOD vilimfanya James Ngugi aka Ngugi wa Thiongo alituburudisha sanaa sec na dude lake The river between afukuzwe kenya kabisaa au vina vya ARROW OF GOD la baba la baba Chinua Achebe vilivomfanya atimuliwe Nigeria jumlaaa. Yaaaani walivokuwa wana kuparade mahakamani, my envy, bitterness only God nows nilikuwa na flow hata page 20 NON STOP. Imbeciles kabisaaa. MAY THE ARROWS OF GOD PIERCE THEM AND THEIR FAMILIES. Hili dude la kumchana Ngosha naliweka kwanza iko siku.

Kitu kitawajia SAA 5 USIKU huuuu. Episode 1 hio, si ya kukosa. Sio la kumchana Ngosha lakini. We cant start a new year with bad luck of such magnitude.


11330615_789372311183403_295860561_n.jpg


Salamu kwako lara 1
 
Sasa Troy atampokea tena mgumba Anna wakati anapenda sana watoto? Na kama Fred atakuwa tayari kuendelea na mipango ya ndoa Anna atakubali? Ameshamuona Fred kama muuaji. Loser hapa ni Anna. Poor her.
 
Sasa uyu mama mkwe ndo nini.......
Ila hii ndoa itapush on tuu Anna atabeba mimba tuuu iwe iweje kwa nguvu ya pesa.........
Mmmhhh lakini karoho kameniuma
 
Sasa uyu mama mkwe ndo nini.......
Ila hii ndoa itapush on tuu Anna atabeba mimba tuuu iwe iweje kwa nguvu ya pesa.........
Mmmhhh lakini karoho kameniuma

Ndugu hapo ni mungu tu kwakweli
.tuwe na imani kuwa mungu wa ana anaishi
 
Hata ye mwenyewe kakiri kuuona ufalme wa mungu ni ngumu khakhaakhaa THE SNITCH
Dunia inavyotuvuruga acha kabisa, mpaka unawaza hivi hiyo pepo wataiona wangapi!!! Mungu atusaidie tu kwakweli.
 
Dunia inavyotuvuruga acha kabisa, mpaka unawaza hivi hiyo pepo wataiona wangapi!!! Mungu atusaidie tu kwakweli.

Mi hapo mwisho nimesoma gafla nikahis mwili kutetemeka yani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom