Weekend Story! DESPERATE!

Weekend Story! DESPERATE!

Uncle fredy ni konyo sio kwa kumrusha roho huko troy wa watu maskin
 
Hell fredy! Si kwa kumfanyia hivo Anna wawatu jameni mmmmmxxxxxxxiiiiiooooioooouuuuuuuuu! Anyway story bado haijaisha let's see
 
Ila fredy anamnyanyasa ana kisaikologia basi tu si kwa majibu makavu makavu hivo sema ndoivo mwanamke ukipenda sana unakua kama zuzu plus mshiko unasoma uwiiiiiiiiiiii
 
Kwakweli unasoma tu maana there is no way out, ila ukikutana na vitu kama hivi aaaah roho kwatuuuu.

Hizi watu wazima ndo tunazielewa make zinatugusa kwa namna moja ama nyingine sio page nzima mada za kibalehe balehe tu
 
Yaani nimecheka!! Uko page gani kwani!!

Haa mbona tunaenda sambamba saivi chezea mwendokasi wewe nishawakamataa sema mi nilisoma mwisho jumapili ilikua sijui page ya 4 vile sasa hapa kati mambo mengi siunajua tena haa Leo nalog in kitu page ya 33 huko ishanoga hatareeeeeeeee walaa sikuwa na presha nikaendelea nilipoishia taratiiiibu kama uncle fredy vile saivi tunaenda sambamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom