Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Hahahaaaa!! Fredy alisusiwa mwili, we umemsusia nini?
Nilisusa kusubiria scene ya saa saba alizingua
Hahahaaaa!! Fredy alisusiwa mwili, we umemsusia nini?
Ni kweli mwanaume akikosa pesa unamgundua tu anavyokuwa mpole, yaani sisi baba alikuwa akiwa hana pesa tunamjua tu, basi tutajipendekeza kumfurahisha na mastory mengiii.
Hizi watu wazima ndo tunazielewa make zinatugusa kwa namna moja ama nyingine sio page nzima mada za kibalehe balehe tu
Nilisusa kusubiria scene ya saa saba alizingua
Ni kweli kabisa na ndio wakati wa kuwa nae karibu na kumgariji, ukimtibua wakati huo unakuwa umemuongezea machungu.Kwa baba anaejali familia yake, hilo halikwepeki. Na sio kwamba anafanya makusudi, wakati mwingine hata hajui kwamba hayupo sawa ila waliomzoea na kumfaham wanajua tu leo kuna kitu hakipo sawa.
Em kachungulie inbox, unazeeka vibayaaaaLara mjanja tukitabiri anatubadilishia gia angani, ngoja tu tusubiri tuone huyo son na mom.
Teh uje tu ukeshe hukuHahahaaaa..... Nimeshikwa pabaya huku nakumisi kweli. Ila huyu mwanamke sina hamu naye. Kuna siku nililala saa 9. Kesho sikukuu nitakuja.
Haha hadi siku unaolewa ni umejutraaaaaIla fredy ni mafia yule hatabiriki.. Sa alimfukuza na kumblok ana kisa nini hasa?? Kumpima imani Au?? mh kuna ndoa nyingine mpaka uje uingie ndani ushasota vya kutosha
Aah ungenishtua uncle freddy wako, utapataje tabu sasa usiku mrefu asee. Mengine yangekua yanaendelea huku tunamsubiri LaraNadhani atatuletea saa saba mchana..... Lara 1 sio kwa kunilaza macho kama ucku wa leo
Yaani na muda ndio hauendi basi taabu tupu!!Mnajua lara anafurahia sana anavotujambisha watu wazima si kwa hizi hamu za kusubiria dude lishushwe mjengoni Kila dakika tunavochungulia afu holaaa
Yaani na muda ndio hauendi basi taabu tupu!!
lara 1 nae alikutwa na uncle fredy akatusahau kabisa.Tatizo hajasema ataleta sangapi tena make usiku alizishangua sijui alipatwa nanani usiku huo nakutusahau... Basi achepuke hapo alogin atu- update tu kuwa kitu kitashuka sangapi make nimemmiss anko frede mgeuka kama kinyonga
ahahahhahahhahahahhahahha !Jamani msinile nyamaa mwenzenu, UNCLE FREDDY alinijia ghaflaaa, mida ile nikakosa pa kutokea. Hahahaaaaaaaaaaa! Ndo naandika sahivi.
Damn uncle fredy!!!Jamani msinile nyamaa mwenzenu, UNCLE FREDDY alinijia ghaflaaa, mida ile nikakosa pa kutokea. Hahahaaaaaaaaaaa! Ndo naandika sahivi.
Jamani msinile nyamaa mwenzenu, UNCLE FREDDY alinijia ghaflaaa, mida ile nikakosa pa kutokea. Hahahaaaaaaaaaaa! Ndo naandika sahivi.