Dahhh V nimefurah mno....thax alot lara kwa stiry dah sidhan kama kuna mtu ali expect kam pasta atarudi ....jana niliumia sana baada ya kufaniwa na ile sms dahhh...itabid nirudie kusoma mana nilikuwa naruka ruka walau nione kama V atapata hitaj la moyo wake
lara 1 tarehe 30 April nitakuja Coco Beach kwa heshima yako. Daaaah! Yaani you can very easily make a darker day seem bright. Hujawahi kukosea kwenye hizi story zako.
Thanks lara, good story. sema jamaa yangu T, sijajua mwisho wake, nilitegemea Viola ampe maneno yake. Thanks again. ila na ile story ya kina mudy ukipata muda uimalizie.
Thanks lara, good story. sema jamaa yangu T, sijajua mwisho wake, nilitegemea Viola ampe maneno yake. Thanks again. ila na ile story ya kina mudy ukipata muda uimalizie.
Hata mimi nimejisikia haja ya kumuoa Lara1 ila mipaka itakuwepo. Kwako napata Riwaya kama hizi tu. Kunizoea zaidi hapana.. Nitatangaza ndoa kanisani kwangu next week.