EPISODE 9
THE CRIMINAL.
Yes i am married ndugu msomaji, twice! Like anybody i though ill find the love of my life, marry her and live happily ever after. But no! Either way life facks us all. It is a pitty i have had these 2 women like all my life. And who do i love more is a question i can not answer honestly. Lets just say i love a little from each one, and most of all i love my kids.
Liz i never loved nor liked. She is not my type at all. Though she is not that bad or anything. It is just me ndugu msomaji, she is not my type. You dig. Dianne i loved this life and next life, till eternity. Only she did not love me back, or well maybe the love died mid way. She will forever have part of my heart.
Even after everything, the betrayals, the lies, breakups i still pay all her bills. For my kids ofcourse but i would still have done it even if she didnt have kids. I cant just shut her out in the cold after everything. She might be a little beastly but she is still my Diane.
Diane was girlfriend like forever. Tangu baba na mama. And she was sick, alikuwa na severe asthma, and her sister died of Asthma, so everybody thought she would not live that long anyways, and wanted me to be nice to her as long as she lives. She was also anaemic. Lets say she was a sick kid.
I treated her well God knows i did. Mpaka siku ya kutoana bikra alisema yeye. Nilimsikiliza na kumpenda kwa moyo wote. I even found her a friend Liz. We went school together, holidays together, vaccations together. We grew up together.
Then i met Liz in the middle of a family Feud. My dad was a tight man, mean and brutal. He thought Diane would die and even if she didnt alikuwa hamtakii hamtakii sabbau ni carrier wa Anaemia. Kwamba ataleta hilo gonjwa kwenye ukoo. Ad he was dead serious. Kumtibu mavuzi ndo nika stage show ya kudate na Liz chini ya uangalizi wa mama kubwa. Of course tulijua kwamba hwezi kumu approve kabisaa kabisaa because of back ground na nini.
Then i knew Liz, couldnt pretend i dont know her. Nikamshauri Diane wawe marafiki and yes she needed a friend. Wakawa marafiki wakubwa sanaa. Swala kwamba Liz ananitaka nilikuwa nalijuaa sanaa. Na nilikuwa namuona anavonitaka wazi wazi. Like i said i was comitted to Diane and even if i was not Liz was not my type.
Utu uzima ukaingia nikaanza kufanya kazi na mzee. Mzee alikuwa high life criminal. From contraband, jacked cars, money laundering, people trafficking anything that pays the bills. Nilijaribu kwenda another direction but it ment sitoweza kumudu gharama za kumuoa Diane na kumpa maisha alio zoea. Sikuwa na budi ikabidi nijiunge na mzee.
I moved fast, too fast mpaka tukagombana na mzee baada ya kugundua i did set up my own min organisation within his organisation double crossing him, he kicked me out. By then nishakuwa Mafia mwenyewe sikuhitaji refa. Unlike mzee anatanga tanga mi nikajikita kuuza gari za wizi. Zinaibiwa south mi naziuza hapa mjini kwa faida kubwa sanaa. Life was good. Dad could never be more proud of me until i made it official kwa kumuoa Dianne.
Sikuwa nimewaambia kiundani why dad hated Dianne. He was scared of Dianne cause his dad was a Police general. To be precise the IGP is Diane's uncle. Kwenye harusi alikuja kishingo upande afanyaje. Akakaa meza moja na wakuu wa nchi, IGP mwenyewe alikuwepoo waka shake hand. Alichoniambia tu ni kwamba we mngesery unachokitafuta utakipata soon. Na usinijue.
Life with Diane was like paradise. She is the best woman any man can wish for. Japo ilitakiwa asizae kwa afya yake akafosi kunizalia hivo hivo. Na ilikuwa nusra nusra almanusra nimkose, Mungu mkubwa nikawapata wote na baby.
Matatizo yalianzakama utani. Gari lili ibiwa South. Nikanunua na kuliuza. By this time nina yard. So niko legit na magendo kote kote. Bwana wee kumbe gari la ndugu yake Thabo Mbeki. Interpol wanalooo, wamelitrace trace mpaka yard kwangu. By the time wana full support ya IGP. Nikaja kubebwa nyumbani usiku usiku na kusekwa ndani.
Nimekaa ndani siku 3. Anakuja mama na Liz tu. Mzee katuma salamu nisimjue kabisaaa kabisaa. Nauliza Diane yuko wapi. Nikaomba kuonana na IGP si uncle, tunakaa nae mezani, anawabeba wanangu. Nikaambiwa kasema hakujui, wala hajawahi kukuona. Siku ya 10 Diane kaja. Nikasahahu yote na kufurahia. Ana laumu mwanzo mpaka mwisho, i played her all this time, kwanini sikuwa muwazi, nimemuharibia maisha sijui nini. Nmakubusha Dianne its me Jay, your Jay. Akaniambia ana mimba nyingine.
Nikahamishiwa segerea. Liz na Mama hawakosii kuja. Ananiletea na contraband. Upelelezi ulikuwa haujakamilika gari haikupatikanaa mpaka mda huo. Nimekaa sgerea miezi 7. Diana alikuja segerea mara 3 tu akasema mimba inanisumbua. Nikawa nampenda hivo hivo.
Anajifungua nafanya kuambiwa na mama na kuoneshwa picha. Akaja baada ya si month. Nikamwambia walete watoto niwaone akasema hamnaaa. Kwanza nawaambia uko ulaya. Siwezi kuwaambia uko jela. Niliumia sanaaa. Ila nikasema for the better ya watoto.
Nikawa nakaribia kutoka maana ushahidi hakuna, nimekaa sana ndani. Nilimwaga sana pesa. Ikiwa imebakia kidogo nipelekwe mahakamani mara ya mwisho itolewe hukumu, upande wa mashtaka ukasema umepata ushahidi mpya. Walioiba ile gari wamekamatwa south. Ni swala tu la kuletwa nchini kutoa ushahidi kwamba nilinunua ile gari kama organised crime nikijua wazi ni gari la wizi, kesi itakuwa imekwisha. Nikarudishwa segerea.
Nilichanganyikiwaaa. Miaka 40 hii hapa naichunguliaa. Mke nilietegemea atakuwa faraja kanitengaaa. Nikatuma sms Mzee aje anione chonde chonde. Nae hakuwepo mahakamani ila taarifa za ushahidi mpya alizipata. Hakuja. Akaja mama analalamika tu baba yako si mtu yulee. Si mtu yuleee.
I lost hope complately. Mpaka mda huu i only had Liz by my side ambae kasimamisha maisha yake kunipigania. Mpaka lawayer anawalipa yeye. Ananisaidiaakiona lawayer ana pwaya analeta mpya hachokiii. Kunipigania nitokeee. Alikuwa ashatolewa mahari, kaahirisha mpaka harusii. Yule bwana ashaoa mtu mwingine.
Nikamwambia Liz i am sorry you risked everything for me, ila nasikitika i will be going away 30 years. Liz anasema hapana Jay, hapanaaa, sijakubalii bado. Namwambia tutafanya nini. Liz akaenda kwaambia upande wa mashtaka ill cut a deal, nisaidie mzee na organisation yake akamatwe in return for a less sentence. Wakaniita mezani nikasema hapanaa. Siwezii kumchoma mzee. I jsut cant. We cant go away me and dad kwa wakakti mmoja Mama atakufa na pressure. Nitaenda hio miaka 30. Afterall nikajiambia sio kwamba nasingiziwa. Makosa nimetenda kweli. I refused the plea deal.
Wakaleta deal lingine niwachome mtandao mzimaa, for a lesser sentence. Nikawaza nikisha wachoma tukiwa wote huko jela si watanila kiboga kwa mtungoo. Jela yenyewe moja. Bora nikate wanipe protection. Maana hata nikitoka baada ya kuwachoma watanila shaba nje tu ya gereza shubhamit.
Tukaenda tena mahakamani, wakasema hao watuhumiwa wataletwa tarehe 27, mwezi ujao kuja kutoa ushahidi, maana wana kesi kesi zingine za Zambia, Malawi wanatoa ushahidi kwanza. Nikaona mwisho umefikaa kwelii. Dianne toka ajifungue alikuja mahakamani mara moja tu. Nilivotoka mahakamni nikagongana na Mzee after years za kukaa ndani na kwenda mahakamni ndo Mzee kaja. Akanisalimia tu. Akaniambia kuna mambo nayaweka sawa, bado kwanza ila wiki ijayo naenda South, tuombe kheriii unaweza kutoka. Stay strong son.
He is my father and i know for a fact he is a cheat and a lair. Hapo ashasikiasijamchoma ananipooza niwe jasiri mpaka nifungwe miaka 30, ahakikishe simchomi tenaa ndo akae kwa amani. Sikumfatilia sanaa. Liz alikonda kama mke wa mtuhumiwa. Aliogopa mi kufungwa kuliko mtuhumiwa mwenyewe.
Tarehe 27 nikaenda mahakamani, IGP alikuwepo, baba mkwe alikuwepo hawa watu sijawaona toka maa mwisho kabla sijabebwa ndani kwangu mzobe mzobe. Baba alikuwepo, Mama alikuwepo. Liz alikuwepo kakonda zaidii kabakia skeleton na kila saa anenda chooni. Diane hakuwepoo kama kawaida. Washkaji zangu walikuwepo.
Watuhumiwa wakaanza kutoa ushahidi mmoja mmoja. Wa kwanza mi simjui na yeye hanijui. Kwa maelezo yake msouth yeye, na ndo aliiba ile gari. Akataja ilikuwa mercedes benz ya 2013 na mambo mengi kuhusu gari alivoivusha mpaka Harare. Akasema aliambiwa mteja ashapatikana na alitajiwa jina anitwa Jayson yuko Daresalaam. Akaulizwa Jayson unamjua kwa sura? Akasema hapana. Akaulizwa unamjua kwa jina la pili akasema ndio. Anaitwa Jayson nani? Akasema anaitwa Jayson D. Kabby. Amejuaje? Alifanya wire transfer ya pesa. Upande wa mashtaka ukawasilisha copy ya pssport yangu ikithibitishapassipo shaka mimi ndie Jayson D. Kabby.
Wakili wangu akamuuliza je mlipanga wa namna yoyote na Jayson kumuuzia hii gari? Direct wewe na yeye, mliongea au kuwasiliana kwa namna yoyote na akijua fika gari la wizi hilo?Aksema hapana. Akaulizwa kwa kifupi zaidi ya wire transfer ambapo huenda mteja wangu alifanya bila kujua mchezo uliopo huna namna ingine ya kumuunganisha na kesi yako ya wizi wa hilo gari.
Akasema hapana, Jayson ni mteja wa uhakia. Sio kwamba hio gari aliuziwa kwamba ilikwapuliwa ikawa sokoni, bali alipkea special oda ya hio gari za specification hizo kutoka kwa mtuhumiwa wa pili alieagizwa na Jayson. Hawafanyi special order kwa fist time customers. Nikaona Liz anaenda chooni. Mwenyewe mshusho ulinigonga chupi. Akamuuliza maswali mengine mengine ya ilimradi.
Akaja mtuhumiwa pili, alievusha gari toka harare mpaka Lusaka. Huyu alikuwa more of the transporter and a driver . Hakuwa na mengi ya kusemaa. Alikuwa mtu wa kupewa mizigo tu ya kuvusha sio mtu wa organisation na mipango miji.
Akaja mtuhumiwa wa 3 ndo tuliefanya nae biashara. By that time mimi nimefumba tu macho. Sina hamuuu. Akajieleza kwamba yeye ndo alivusha gari toka Lusaka mpaka Daresalaam. Na yeye ndo mpango mzimaa wa operation hii. Akaulizwaje ni kweli gari lilikuwa la wizi na ni special order toka kwa mtuhumiwa Jayson D Kabby? Akasema ndio gari lilikuwa la wizi na ndio kweli ilio ya kweli likuwa la special order......" Nikaona mawakili wanakusanya ma file kazi imeishaa. Maza analia tu. IGP alitangulia kutoka nahisi kukwepa vyombo vya habari. Baba mkwe kabakia pale kajikunyata sijui henia ilisha muanza tena.
Mtuhumiwa akaendelea ......" Nikalileta mpaka kwa mtuhumiwa Jayson D Kabby kwenye yard yake Magomeni, ikalala pale siku 7 na siku ya nane nikaiuza kwa raia wa Sudan Meshack Halil. Akaambiwa tunashukuru kwa ushahidi wako. Akaendelea isichofahamu mahakama ni kwamba special order haikutoka kwa Jayson, wala Jayson hakujua kama hii gari inatoka wapi kwa minajili gani kwenda wapi. Jayson ni mushkaji yangu nauza magari hapa dar. Clean cars. hakufahamu kitutu yoyote. Meshack ambae ni general huko Dafur wa serikali ya waasi ndo alinipatia oda.
Mi naenda kwa Jayson kama rafiki, naweka gari yangu pale. Nikamuomba nimpatie $$$$ afanye transfer kwa mtuhumiwa number moja. Na mimi ndo nilimpatia mtuhumiwa number 1 oda, nikamudanganya inatoka kwa Jayson cause Jayson anauza magari clean muda yote ambayo hayako na profts muzuri. Nilimwambia hivo ajue iko risky deal nipatie kwa pesa kidogo. Ndo maana nikamtick Jayson amulipe mshkaji ili asistuke.
Jayson is a victim of circumstance and betrayal your honor. Hausikii kabisaa na hii organised crime, especially hii gari." Nikabaki heeeeeeeeee! Sihusiki kumbeeee. Thank you Lord. Ukafata mchuano mkali wa waenesha mashtaka hawakuta kukubali kirahisi. Ila huyu jamaa wa mwisho anajua mshenziii. Kawajaza mule mule kwenye ushahidi wao. Kesi ikaahirishwa mpaka mwezi ujao ndo hukumu itatolewa.
Wakati tunatoka, Mzee akanimbia nazani pale tumemaliza, nakutarajia nyumbani mwezi ujao. Jamaa kacheza kama pele. Na mimi huu mwezi ulikuwa mwepesi. Siku ya hukumu IGP nadni, baba mkwe, baba, mama, ndugu ambao siajwaona miaka na miaka si washasikia natokaa. Diane ndani na watoto wote wa 2. Roho iliniumaa mnooo.
Huku na huku Hakimu akasema upande wa mashtaka umeamua kutoendelea na kesi dhidi yangu baada ya kukosekana ushahidi wa kutosha. Niko huru kwa sasa mpaka ushahidi mpya utakapowasilishwa tena kama ukijitokeza na upande wa mashtaka.
Wa kwanza kuja beside me alikuwa Diane, na watoto na baba mkwe akanipa mkono wa hongeraa, na IGP akawa anajipangusa pangusa makalio kwa aibu. Na Mzee. Tukawa tunaondoka nikamuona Liz kwa mbali ananiangalia, akiwa peke yake. Umri umeenda, aliempigania nimerudi kwa familia yangu, she could never be more alone. Nilijisikia vibaya sanaa ukizingatia yeye ndo alipambana fron miaka yote hii. Ila ningefanyaje, wakati inafahamika MALI HALALI KABISAA YA DIANE.
Nikasema nikifika tu nampigia, nikakumbuka sina simu. Kurudi kwangu kidogo nipige yoweee. Garden yangu nilio ipenda sanaa imekaukaa kau uko udongo tupu. Kwangu hakueleweki eleweki. Nikaomba statement ya ssets zangu akasema anauma snaa kichwa. Wiki likaisha sipewi msimamo. Mwisho akaniambia i sold everything, what did you expect being locked fr so long? Wanakula mawe hawa? Ada watasomea mavuzi yangu? Hapa tunamtegemea baba yangu kwa chakula fanya ukabebe hata zege tupate chakula.
Ukishafungwa ni kazi mnoo kupata commection maana unaonekana unagundu. Mpaka mzee akaniambia stay off the books kwa mda cause feds are still on you. Kuwa legit hata miaka mitano. Nilionana na Liz nae kafilisika kabisaa bora Diane, anakaa chumba kimoja hata nguo hana. I have to see women suffer. Especially not for me. Nikawa nimedata.
Naenda kunywa kilabuniii gongo, pesa ya bia sinaaa. Liz nae hana pesa, kazi alifukuzwa kutoroka kuja mahakamani na kufatilia kesi yangu. Tunakaa nae kilabuni. Hanywi anakaa tu hapo pembeni, ili nikilewa na kufanya fujo anitulizeee. I became a Liquor slave.
Nikirudi Diane kanifungia mlango nje. Mama yake akija anwambia divorce him, ashafungwa huyu akili zake bai tena. Watoto wa 2 utapata mtu mwingine wa maana, mbona si wengi. Tangu yuko jela nilikwambia mdivorce huyu. Usingetoa ile mimba ya mheshimiwa ulivosikia anatoka, sahivi muheshimiwa amechukia sanaa. Nikatokea. Mama alipaliwa na chai nahisi aliuungua ulimi yule. Nilimshika Diana kumpa kipigo. Haiwezekani mi niko jela anajiachia na waheshimiwa mpaka kashika mimba. Nilimpigaa, nilikua namuua. Bahati akaja Liz akanimbia tukimbie, baba yake akija na mali yake jeshi la polisi hutoki jela wewe. Utafungwa bila hukumu.
Nikakimbia nyubani kwangu. Nikawa naishi kwa Liz. Hana kazi, sina kazi. Tunaenda kula kwa Ticha. Ticha ansikitika, Liz mapenzi yana ku cost. Nilikwambia huyu si mwanaumeee. Ona amekuharibia maishaa. Huku na huku baba Diane akaniletea polisi wakaniweka ndani. Liz na mama yake wakawa wananiletea chakula. Maza alichokaaa. Akasema baas, mtoto si riziki.
Aliniweka ndani wiki 3, akaja siku hio kuniambia ili nitoke ni sign talaka. Nikakubali. Nikaisoma kwamba mimi ndo mkosaji, na cheat, nimefungwa, mali iliobaki nyumba yangu wanachukua wanangu kwa usimamizi wa Diane.Nikasema No sweat, wananguwatakaa. Nika sign. Wakanitoa.
Tukiwa na Liz siku barabarani tunaenda kula kwa baba yake, nilishaanza kunywa tangia asubuhi virobaa. Ikasimama gari kali sanaa. Landcruiser Mkonga. Akashuka dereva mdingi mdingi akaniambia naomba tuongee. Nikaenda akaniambia unaitiwa kazi ingia kwenye gari. Nikamwambia Liz twende. Akakataliwa hakuna wanawake kazini. Nikasema kama haji mi siji. Wakasema poa aje.
Nimefika kwa junkie tu, wanamuita King of the night. Kipindi hiko mi niko hot huyu alikuwa underground. Inaonekana nilivokuwa ndani he rose the ranks now he was hot shots. Akanichangamkia Jay the king of all jacks. I am very sorry. Nimesikia watu wamekutenga, nikasema Jay kaka angu, alini ni treat vizuri back in the days, ill take him in. Najua fed are on you.
Mi sikupeleki on filed, utakuwa training manager kuwafunza vijana hawa tricks of the trade. Nikapiga magoti kumshukuru. King of the night mara akamuona Liz! Ujue huyu mwanamke mzuriii sanaa. Sema hana matunzooo. Kama nimemuelewaa. Akaambiwa huyo mwanamke wa Jay. Liz nae anadakia mi mwanamke wa Jay. King of the night akasema Jay kafilisika ndio ila ana mke wake kisu cha hatariii Diane, mtoto nilikuwa namtamani sanaa yule. Eti Jay huyu mwanamke wako? Nikamuangalia Liz, nae ananiangalia. Nikasema HAPANA. Machozi yakanza kumtoka. Nilijisikia zaidi ya Petro kumkana Yesu. Ni dada yangu. King of the night akasema basi kamando hivo Jay wewe shemaji yangu. Serious natafuta mke, ila wanawake wa mtaani hawaaminiki, dada yako namuamini si unajua kazi zetu hizi. Juma nenda nae mjini asafishwe aje navowatakaga mimi. Sasa ole wako aje haeleweki chukua pesa kwenye buti.
Kazi niliiona chungu, najipa moyo Liz is not my type. Ila moyo unaningonga hohohoooooo nyiz iz not my type, msengery wewe. Nilijikaza sanaaa. Sikumuona Liz mpaka baada ya wiki 2, nishaanza kazi. Alipendeza sanaa. Alivoniona aksema Jay mi sitakiii kukaa na King of the Night. Mwambie ukweli nije nikae na wewe. Nikamtisha ukimwambia ukweli yule anapenda uchi balaa hakawii kuniua ili akupate. we vumilia mi nausoma mchezo. Is he treating you bad? Hapana. Unateseka hapana? Basi vumilia kidogo tu Liz trust me. Akaniambia King of the night chumbani ana mahela kibaooo hata hajui bei gani ma $$$$. Nikapata wazo nikamwambia iba, next time ukija nipe. Akawa anaiba ananipa, anaiba ananipa. Zikafika $$$ 18,000
Bwana next time namuona na King of the night kavimba jicho, hana jino moja moja. Uso umevilia damu. Anatembea kapinda pinda kama katenguliwa kiuno. Inaonekana kichapo alichopewa sio cha nchi hii. Niliumi sanaa. Akawa ananiangalia jicho la huruma mnooo. Nikashindwa kuvumilia.
Nikamface King of the night, bwana huyu mwanamke wangu, maishaa tu mi ndo maana nimekupa, sitaki uadui na wewe, you are treating her badly, unampigaaa kama jibwa, utamuua. Nipe mwanamke wangu tondoke. Akaniambia nilikuwa najua toka mwanzo kwamba mwanamke wako ila namtaka hivo hivo. Na nachompiga ni wewe. unasababisha. Mi nampa maisha ya kimalkia, hatakii anakungangania wewe kwa nini? Yuko radhi azunguke na wewe vilabuniii ila sio aishi kimalkia kama wewe.
Kwanza nimekutafuta sababu huyu mwanamke toka mahakamani namuona, alikuwa mzuri kipindi hiko, nikakuona nae vilabuni, nikakuona nae ulivowekwa ndani na baba mkwe. Hii ndo type ya mwanamke nayoitaka. Nachompiga ni kujitia anakupenda sanaa. We ondoka ila huyu mwanamke anabakia.
Nikawa napata story Liz yuko kwa King of Night kama mtumwaaa. Mda mwingine analeta wanawake Liz anafukuzwa chumbani. Anafanya mambo kumkomoa kwanini hanisahau mimi. Nikajiapiza dogo huyu bora angemtesa mama yangu mzazi sio liz. Kiboga nitachomla hatonisahau. Naandika haya moyoni. Nilijaribu kufanya mishe nyingi za kwenda kumchomoa ikashindikana.
Mara ya mwisho kwenda nilipigwa sanaaa, sanaaa, Mpaka wakajua nimekufa wakenda kumita Mzee. Kupelekwa hospital bado nikawa nadai. Nilikaa hospital miezi mi 3 kama mtu alie gongwa na train. Nikaambiwa Liz haonekani tena kwa King of the Night. Nikawaza au kamuua na kumzika nini? Nilichanganyikiwa.
ITAENDELEA.