Weekend Story! All is Fair in Love and War!

Weekend Story! All is Fair in Love and War!

Pipoooo mpooo? Kama kawa mida ya wanga. Gwamahala , kana ndo wanakiwepokigi mida hio tukitoa kupiga round za usiku. Leo mapema mapemaa saa 5 usiku fresh
 
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]

Mwaga vitu fanani
 
nikasogelea mzigo nikachomeka engine mzigoni, kavu kavu. Mzima zima nikazama ile priiii mpaka maka mashine nzima nimezamisha. Bolyanki! Teminator! ***** km kawaida ya wasomali cye!
 
EPISODE YA 10

King of the Night!

I am king of the night not literally but practically. I. Did not juts rise the ranks by luck it was by determination, ambition, and never lettinh go. Maisha yakinifilaa napaka vaseline mwendo mdundoo. Najifunza leo nako kama kwaida nachezea kiboga, napaka ky mapemaa.

Mzazi wako anaweza akamwambia somaa ukamuona firauni hujui tu ufilaji wa maisha huko mbeleee. Laiti ungejua. Boss wako anakipa kazi unadindisha kudai haki karibu kitaa ambapo haki haipatikani ila kwa ncha ya upanga. Get rich or die trying!

I am naturally a good person. A christian by birth. Nimebatizwa, nimepata sakrament zote kasoro ya ndoa tu. Na dini naijua. Basi somewhere along the road fuse zilikatika. This is the secret i am telling you msomaji. Watu wangu wakijua namjua Mungu wataitumia kama weapon. Hawatakiwi kujua kabisaaa.

I started from the ground, kama vinyoka hiviii. Small time tu. Nimekwapua power window, nimekwapua taa. Udokozi mdogo mdogo. Mara sight mirror. Napewa pesa ya bangi na bia. Umri ukatembea majukumu yakaongezekaa. Nikaamua kusaka connection ya bigger deals.

Wa kwanza kunichukua likuwa Jay, kipindi hio anaitwa Jay Sacramento sababu alikuwa mtu comitted kwa mkewe, binti zake, anaenda kanisani kila jumapili, na kikubwa kabisaa hakosii sacrament ya kitubiooo kila Ijumaa na sacrament ya ekarist jumapili. Kuna siku tumetoka kukwapua gari Arusha, jumapili ikatukuta segera, misa ilikuwa inasomwa, hamuwezi amini, alipaki gari, tukasali ile misa, na akapokea ekaristi kama sio yeye alie mlamba mtu shaba just hours before.

As any family man, Jay was a good man. Alitukonsida kama familia yake. Hakuwahi kumzulumu mtu, wala kufanya ubaya wowote. Tangu kwa Jay nilikuwa namuona Liz anakuja pale, anajigonga gonga kwa boss, it was pathetic. Jay is comitted to his wife like really comitted. Liz hakati tamaa.

Ofcourse Jay na liz kwangu ni wakubwa. Kipindi hiko na udogo wangu sijui mapenzi sijiii, nikataka tu kumstiri awe mwanamke wangu. Nikamtongoza akanopaga cha mbavu. Sikuwaza sanaa. Sikukaa sana kwa Jay nikahamia kwa mzee wa Jay. Maana mzee alinifata akanipandia dau, nako sikukaa sanaa. Nikaingia kwenye mishe za upundaa.

Nikawa na kismart, nimepiga route kadhaa fasta fasta nikapanda vyeo nikafika kuwa msaidizi wa boss. Nikausoma mchezo fasta fasta nikaawa naaminiwa kabisaa na boss. Sasa boss alikiwa slow, ashanufaika, tukimwambia tufanye hivi times have changed hataki. Nikawa sijaridhikaaa kabisaaa. Inshort nilipanga kuitaifisha ile business. Ila upinzani ukawa mkali sanaaa.

Nikaanza kuwapambanisha ma boss, wakatibuana yibuana mambo ya devide and rule. Boss akazidi kudhoofika na kufilisika kabisaa. Ila mbishiii kuachia operations. Hamna hamna siku akaniita kwenye gari lake na kuniambia kagundua mimi ndo namfitinisha na wenzie, nataka kumreplace. Kama zali tu, nilikiwa na kisu nikamchoma pigo moja maridadi cha moyo. Akafa palepale.

Nikakimbia na kisu ambacho nilienda kukifunga jiwe na kukizamisha baharini kina cha wavuvi. Hakipatikani leo wala kesho. Kesi ikakosa ushahidi. Tuliwekwa ndani, wengi wengi tukahonga tukatoka. Hamisi ambae nilimkuta hapo kwa boss akataka kuleta njaa kuji declare boss. Nae nikaenda kumchoma kisu cha moyo vile vile nacho kama kawaida baharini kina cha wavuvi.

Baada ya mauaji ya hamisi watu walikimbia kambi sanaa. Maana wakawa hawaelewi nani anamuua nani kwa nini. Territory ikawa wazi. Neglected na ma boss wengine wakawa wanasita. Huku na huku nikajichoma kisu cha juu ya moyo nilivo na roho ngumu, na kisu nikakificha kwanza nikatoka nje na kuzimia nje damu ilitoka nyingi. Nililazwa mwezi mzima. Na kusema muuaji kanikosa kosa nilimkwepa. Ndo baaaas basi tukawa tunashukiana wenyewe kwa wenyewe.

Nikaanza operations sasa kwenye hii territory. Hawakunihisi sanaa sababu na mimi si nilisha chungulia kaburi. Wakaniona na roho ngumu tu. Na roho ngumu kweli. In short baada ya mauaji hayo mawili nikagundua mimi ni natural killer. Kesi 3 ikiwemo mimi mwenyewe na zote nimetembea kiwepesi. Nika consider a career in contract killing pembeni ya powder.

Nikaanza kuwaambia tu nasikia kina muuaji wa kulipwa, kuna muuaji wa kulipwa. Ikasambaa. Ni raia wa israel. Kumpata lazima upatikane kwangu. Mpiganaji wa hisbolah! Trained Assasin. Hafanyi makosa. Mi nimemjua sababu ndo aliwaua wale wa 2 kwa zulma za nyuma huko na mhindi mmoja, akasema kaniacha nimtafutie kazi. Ujue waswahili sio watu wa contract killing ni watu wa ndumba sanaa. Unigwa jini makata wa makata fastaaa. Haina ushahidi. Kazi hazikupatikana.

Ila humo humo kwenye team yangu mtu akileta ushenzi nampoteza. Nikaanza kubadilisha silaha. Visu, bastola. Vikaniboaa. Nikaanza kuwa atumia mazingira yaliyopo kupoteza watu. Zikaanza kazi ndogo ndogo amabzo nilizifanya kwa ustadi mkubwaa sanaa, zikanijengea jina. A.k.a Israel.

Kazi ilioniweka kwenye ramani ni ya kumpoteza tajiri mmoja Arusha. Mwenyewe alichanika million 100 akasema sitaki kuwe na makosa aina yoyote. Kwa kuanzia nilienda na kisu, ila nikamkuta kasimama balconny. Nikaona hakitahitajika. Nikamsukuma tu toka gorofa ya 10. Mpaka kesho kuna debate alisukumwa au aliruka.

Uovu unaofanya una kawaida ya kujitokeza usoni hata mtu asiekujua akikutazama machoni lazima atakujua hili jitu ovu sanaaa. Ikavuma ikaeleweka mi ni mtu mbayaa sanaa! Mno mno. Hilo wanalijua kama majina yao.

I had my share of women. Some disapointed me, some i disapointed. Nishafumaniwa, nishafumania. Naweza kusema nili conclude kwamba women will always be women. Nimalala sanaa na wanawake wa kila aina. Wembamba, mi bongeee. Warabu, wahindi, waswahili, wachina, wa latina. Nimevurugaa sana. Upunda nimetembea mataifa mengi, nimekula vinhi na kuwafanya wengi.

Ikafika mahala nimechokaaa, nishafanya umalaya mpaka basiiii. Laana zote nishafanyaaaa. Nimemaliza umaluuni wote wa duniani. Nataka mwanamke nitulie nae, nimuoe, niwe na familia, niwe na majukumu na mimi. Ila my no one principle ni kwamba lazima awe mwanamke exiting! Wal kuni surprise day by day.

At first nikawa nachukua wanawake wazuriii sana nikiamini ndo mpango mzima. Nikaja kugundua mwanamke mzuri akiwa si wako. Akishakuwa wako hajimaintain wala nini. Ajimaintain ili ufaidi mzigo? Thubutuuuuu yako. Akija kwako siku mbili hana tofauti na wale ilio wafurumisha. Mfurumushe week tu asharudi in shape anawakaaa. Ungese ungese kama huu ndo nikawa siutaki. Mtu inafika stage hata kunyoa tu vuzi inakiwa mpaka ligi.

Nikaamua basi sitaki tena wanawake wazurii sanaa, kwanza uzuri unaisha nataka wanawake wapole. Aaaaahh! In short mtu wa kusema sawa kila jambo anachoshaa. Nikaghairi. Nikasema sasa nitafutie wanawake walioshindikana kama Lara. Pasua kichwa kweli kweli. Wale ma kubwa la maadui. Nikapataga mmoja. Mzurii afu kichwani zimoo. Akawa ananiibia wazi wazi kimacho macho. Nikapiga chini. Mwingine nilimpata Mkurya. Huyu baunsaa. She is violent. With all my violence pale nilisalimu amri. Alikuwa ananipiga mpaka mimi. Sijui alikuwa na mapepo kwenye ngumi man to man nachapwa kipondo mpaka naomba poooh. Afu hana mwili huo wala hapigi tizi, nikajua yu huuu anabebwa na wasio onekana. Ukute wako jeshi. Kumuacha nilitumia diplomasia hatari.

Baada ya hapa nikasema hataaa! Ngoja niishi simple life. Nikimpenda mwanamke namtumia, nampa chake basi. Siku nimeenda jela kuwaona wana, namuona Liza kavurugwa kadataa. Nikamsalimu hakunikumbuka kabisaa. Akawa anaielezea sasa matatizo ya bwana wake, wakati mi najua sio bwana wake. Some how i was attracted to her, sijui i was attracted to her loyalty. Au nilimuonea imani Jay anavomguja fuja vile. I dont know.

Ikapita wiki sijamsahau. Mwezi bado kanikaa kichwani. Kumpata haikuwa shida maana siku za kutembelea wageni jela, yumooo. Nikaanza kwenda jela nimuone tu, mimi huyu huyu king of the night, msinitanie. After several attempts she showed no interest, nikawa nimedata. Namtakaa namtakaa. Nikakosa angle.
o
Baada ya Jay kutoka watu wakaniambia boss yule demu huwezi kimtaka tenaa. Nikauliza kwanini. Anavaa vijoraa bwana na kushinda vilabuni. Nikasema bora nikamuone anitumbukie nyongo tu nimsahau. Kumuona bado namtaka. Tena nikawaza nahitaji mtu kama huyuuu kuliko never before. Hata nikifungwa yupooo. Her loyalty is everything.

Nampata vipi mnazanii. Nikaona kumpata bila Jay sio rahisi. Ngoja nimuinhize kingi Jay anipe. Kweli shida mwanaharamu akajaa akanikabidhi. Nilihitaji anikabidhi kwa hiari yake. Ningempora ingenipotezea heshima kwa wafanyakazi wangu wa kiume. Kunipa Jay ashakiwa mnywa viroba haikuwa kazi. Kazi ikabakia kumfanya anipende.

Mwanzo nikaanza kumtreat vizuri tu, nikampa mda auone wema wangu. Nalala nae chumba kimoja simgusi. I wanted her to find it in her heart to love me. Naongea business yuko pembeni namuuliza Liz unasemaje. Nilimtreat vizuriii. Nikajua ananiibia pesa anampa Jay nikapotezeaa.

Kilichonitibua mavuzi mpaka nikampiga ni bangi zake. I was not in mood. Akasema you one day, me and Jay we will disapear? Nikamuuliza kwanini? Kwani nakunyanyasa mama? Unaona bora ukashinde vilabuni na Jay kuliko kukaa na mimi hapa. Am i mistreating you in any way? Akasema sikupendi tu. Nikamwambia Liz msengery wewe usiniambie hivoooo. Nitapandwa na vya kupandwa. Mi nawalisha na bwana wako dont you dare. Ashaniona junyaaa, sikupendiii wewe, nasema sikupendiii na sitokipenda, Jay nyoko nyoko.

Nilimzibuaaa kisawa sawa. Maybe i went a little over board. Ila adabu ilimuingia na sikutegemea atanichukilia poa any time soon. I felt bad realy bad. Jay akaondoka baada ya kuona nimempasua mwanamke wake. Nilimuomba msamaha sanaa. Akajibu kanisamehe not that she had a choice. To make amends i bought her new teeth, very expensive procedure.

Nikaanza kumtia wivuuu, nalala na wanawake wengine mbele zake walau ajisikie hata wivuu, wapii. Kila mtu King piga chini, piga chini. Jitu lenyewe zee kama Zari the boss lady bwanaa. Achana nalo. Mi anavonikataa ndo anazidi kunifanya nimpendee zaidii. It was exiting.

Tukaja kumponda ponda Jay. Nikamwambia usipomuacha Jay uta,sababishia kifo. He wont be this lucky twice. Baada ya lile tukio, alikaaa ndani miezi 2. Mwenywe tu, hatoki chumbani. Sijamfungia, sijamzuia. Mwenyewe tu. Ndo Jay akahisi nimemuua. Watu wengi walihisi hivoo. Baadae nikasikia Jay kaondoka nchini.

Kama baada ya siku 3 Jay kuondoka. Nikiwa chumbani kwangu maana nae ana chumba chake, na mwanamke mwengine akaja nikastukaa nikasema anataka kuniua nini. Akamfukuza yule mwanamke. Nikajua huyu ananiia kweli. Nikawa nimekaa kimachale machale. Akanitaarifu tu, ukileta mwanamke mwingine uje na jeneza kabisaa maana hatoki mzimaa. Namuua mbele zako.

Nikastukaa sanaa. Nikasema hii mbinu ya kijinga ila imefanya kazi. Nikamtuliza nilete mwanamke wa nini kama wewe umeamua kujielewa baby. Akavua nguo kwa hiari yake, ila mzigo sikulaa. Nilihisi anataka aninyofoe korodani. Nikamwambia lets just talk.

Asubuhi akaniandalia chai, maji ya kuoga. Bado simuamini kabisaa. Chai kwanza maziwa nikampa paka, hakufa, ndo nikayanywa. Yai sikuligusa. Akaja kusema unahisi nimekuwekea sumu? Akalila yeye lote. Mmmmh. Nikaenda mishe mishe ila niliwaza sanaa.

Nimerudi napikiwa chai, na kandwa, kandwa. Nikapewa na mzigo safari hii nikaula kibishiii tu hivo hivo roho ngumu kisu kiko chini ya mto just in case. Anauliza kazini vipi, namsimulia anatoa way foward. And she was smart, shule si kapita.

Nawaambia ndani ya mwezi Jay who??? Nawauliza ndugu wasomaji Jay who? Mimi na Liz, Liz na mimi. She did have me by the balls. Na cha kustaabisha nilitulia kabisaa kabisaa kama sio mimi. Mpaka kazi yangu ya contract killer nilistopisha kwanzaa. Nifaidi kwanza maisha. Nikaenda kutubu Faza alifungua kizimba anione sura kwanza sio kwa kitubio kizito vile, kama Lucifer kaja kutubu.

Life was a paradise mpaka siku napita hivi sebuleni nikakanyaga kitu chini ya kapeti. Kufunua hivi line ya simu. Nikaitia kwenye simu. Kumbe wanawasiliana na Jay and they were playing ,e ndugu msomaji. Meeeeeeee! THE KING OF THE NIGHT. THE CONTRACT KILLER! ISRAEL.

ITAENDELEA
 
Back
Top Bottom