Mi nimebanwa sana kikazi wikiendi hii huku Mombasa. Sijui kama nitapata muda wa kuingia jamvini na wakati huo huo kupiga mambo yetu. Lakini naomba niwatakie wikiendi njema wanajamvi wote na Mungu awatangulie kwa kila jema mnalopanga.
Mi nimebanwa sana kikazi wikiendi hii huku Mombasa. Sijui kama nitapata muda wa kuingia jamvini na wakati huo huo kupiga mambo yetu. Lakini naomba niwatakie wikiendi njema wanajamvi wote na Mungu awatangulie kwa kila jema mnalopanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.