Weekend njema wakuu

Mwita25

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
3,831
1,164
Mi nimebanwa sana kikazi wikiendi hii huku Mombasa. Sijui kama nitapata muda wa kuingia jamvini na wakati huo huo kupiga mambo yetu. Lakini naomba niwatakie wikiendi njema wanajamvi wote na Mungu awatangulie kwa kila jema mnalopanga.
 
Mwita25 waenda Mombasa,
angalia sana yakhe mambo ya huko makubwa ati.
 
Mi nimebanwa sana kikazi wikiendi hii huku Mombasa. Sijui kama nitapata muda wa kuingia jamvini na wakati huo huo kupiga mambo yetu. Lakini naomba niwatakie wikiendi njema wanajamvi wote na Mungu awatangulie kwa kila jema mnalopanga.


mwita,mwita mwita!!!asaaalam alheikum!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom