haha, si mchezo, inanikumbusha wakati tupu chuo maeneo flani, week end huwa tunasema tunaenda kuvunja LAPTOP, maana yake tunaenda kupiga mitungi ya bei sawa na laptop mpya,arty::majani7:eace:
Damn mbona sioni RUM hapooo ila safi sna nitakuja watembelea next wknd lol
hehehe mkuu!! umenifurahisha kweli ...
Karibu sana Mr
haha, si mchezo, inanikumbusha wakati tupu chuo maeneo flani, week end huwa tunasema tunaenda kuvunja LAPTOP, maana yake tunaenda kupiga mitungi ya bei sawa na laptop mpya,arty::majani7:eace:
weekend yangu ilikuwa hivi... nawatakia j3 njema wakuu
haha, bahati nzuri sio bongo, na kuvunja laptop huwa haifanywi na mtu mmoja, kuanzia mtu tano hivi, na sio kila siku teh teh,Hapo kweli lazima muandamane sh 5,000 kwa siku haitoshi kabisa
</p><a href="http://www.stockimagesonline.net/Travel/Uganda/Soroti-Town-Uganda/13101417_jvNUu/8/950205154_rd5zU#950195516_WxYTq" target="_blank"><img src="http://www.stockimagesonline.net/Travel/Uganda/Soroti-Town-Uganda/IMG8106/950195516_WxYTq-M.jpg" border="0" alt="" /></a></p>
<p> </p>
hivi hii kitu hakuna mate yanarudi wakati mtu anavuta pumzi?inatakiwa kuwe na mechanism ya kuzuia backflow,or else tu akiacha kufyonza azibe mrija na kidole.ni utamaduni mzuri,hata kama huna hela unaji-enjoy tu
<p>Wakuu mie nilikuwa sehemu hizi na wajombi.</p>
<p>Ukiona vitambi vinakuja kila jumatatu basi ni huu ulezi!!!!
<p></p>
<p> </p>
weekend yangu ilikuwa hivi... nawatakia j3 njema wakuu