Wedding Anniversary

Wedding Anniversary

This is true and fair, no need for you to end up dispair
There is an extra mile, yet with a big smile
Another song to sing , of undying love brought by "loving dove"

You are a good player, and northing but prayer
May HE make you cling and cleave in His ceaseless end, that you should by any means depend
Stay tuned in HIS spiritual realms, with all true dreams.

I learned this from my "other half's" love, to her I remain, with no stain
Make your "other half", happy, to be the happiest man/woman on earth does cost
But it is costless to those are careless, Ain't you caring woman?
I am stainless and painless, hence my conjugal bliss.

Live longer my friend FP....befriend Jesus, befriend your husband, befriend other friends
Live longer my friend FP....cleave love and score up to fourscore and half
Onescore means 20yrs, make as many scores as you want, but mine to you are only reded above
Hence the total becomes 95.

My family and I wish you a well done job, of keeping the promise...but, but in order to go that extra mile of life,
Follow my piece of advise, which comes from the dear heart of Thando (my wife) who make me to be Thanda.

She once said to me;

Dad,

You need PEOPLE to live with
You need POWER to live upon
You need PRINCIPLES to live at
You neen PURPOSES to live out
You need PLANS to live on

Remain,

Thando and Tando Family.
wow! I am so honoured Thanda, thank you very much, I really appreciate
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana FP. Miaka 13 ni mwendo mrefu!! Ukigonga 15 unahema na tangu hapo barabara inakuwa imezoeleka so fewer or no accidents. Siku hizi ndoa hata miaka 5 tu unakuwa umesuluhisha hadi kwa viongozi wa dini!!! Khaa!!
 
Hongera sana FP. Miaka 13 ni mwendo mrefu!! Ukigonga 15 unahema na tangu hapo barabara inakuwa imezoeleka so fewer or no accidents. Siku hizi ndoa hata miaka 5 tu unakuwa umesuluhisha hadi kwa viongozi wa dini!!! Khaa!!
Ni kweli kabisa Zogwale.
Namshukuru Mungu haijawahi kutokea kusuluhishwa hata na our best friends....................... kila lililotokea miaka yote hii lilikuwa ndani ya uwezo wetu na Mungu wetu.
Kiukweli, mara nyingi tunapotaka kuongea kitu fulani tunapenda kuanza na kusali, ni kama mahakamani unapopewa Biblia kuapa sisi hakuna kuapa ni kumtanguliza Mungu tu then tunaanza maongezi. Unajua hata maongezi ya kawaida tu, labda kuongea kuhusu ndugu yanaweza kuvunja ndoa au kupelekea kusuluhishwa?
 
Last edited by a moderator:
nilikuwa nimesahau kukupa neno hili hapa namshukuru muungu amenikumbusha tena
Mithali 14: 1
neno hili liwe kama kengele masikioni mwako dada [MENTION]FP
[/MENTION]
 
nilikuwa nimesahau kukupa neno hili hapa namshukuru muungu amenikumbusha tena
Mithali 14: 1
neno hili liwe kama kengele masikioni mwako dada FP
Amen mdogo wangu, nimesoma na kwa kwli namshukuru Mungu nazingatia sana huo mstari katika maisha yangu ya ndoa. najua mimi ndo muhimili mkuu wa Nyumba yangu. Nashukuru sana
 
Ni kweli kabisa Zogwale.
Namshukuru Mungu haijawahi kutokea kusuluhishwa hata na our best friends....................... kila lililotokea miaka yote hii lilikuwa ndani ya uwezo wetu na Mungu wetu.
Kiukweli, mara nyingi tunapotaka kuongea kitu fulani tunapenda kuanza na kusali, ni kama mahakamani unapopewa Biblia kuapa sisi hakuna kuapa ni kumtanguliza Mungu tu then tunaanza maongezi. Unajua hata maongezi ya kawaida tu, labda kuongea kuhusu ndugu yanaweza kuvunja ndoa au kupelekea kusuluhishwa?

FP, umegusa jambo jema "SALA'" katika ndoa, ila inapoitwa leo. Kwa hili hata mimi nimedumu katika ndoa miaka mingi sana hata kuisema hapa hapana!!! Ni mingi, yaani wewe naona ni mchanga katika ndoa kulinganisha. Ila yote hayo ni nguvu ya SALA tu!! Tunabaki sasa kuitana kaka/dada or rafiki. Mungu ni mwema. Na ninakuhakikishia njia hii usiiache, dumu nayo
 
Happy anniversary DADA! Mungu ndie kila kitu katika maisha yenu, hongera zimwendee shemeji kwa kukutunza na kuheshimu ndoa ni wachache kama yeye.
 
FP, umegusa jambo jema "SALA'" katika ndoa, ila inapoitwa leo. Kwa hili hata mimi nimedumu katika ndoa miaka mingi sana hata kuisema hapa hapana!!! Ni mingi, yaani wewe naona ni mchanga katika ndoa kulinganisha. Ila yote hayo ni nguvu ya SALA tu!! Tunabaki sasa kuitana kaka/dada or rafiki. Mungu ni mwema. Na ninakuhakikishia njia hii usiiache, dumu nayo
Namuomba Munguazidi kunifanya nisiiache njia yake. Hongera sana kwa hiyo miaka mingi, nafurahiaga sana kuona ndoa zinazodumu muda mrefu.
sasa unikute naombea ndoa za rafiki zangu ambazo zina migogoro ....... kuna siku hubby akaniambia "kumbe natakiwa kufungua kanisa, maana naona nina mama mchungaji wa nguvu hapa" lol!
anyway, sala ndo mambo yote
 
Happy anniversary DADA! Mungu ndie kila kitu katika maisha yenu, hongera zimwendee shemeji kwa kukutunza na kuheshimu ndoa ni wachache kama yeye.
asante mdogo wangu mdida, nitafikisha salamu kwa shem wako
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom