Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
Sana!si unajua makapera tukiulizwa ndoa lin utasikia muda bado,sijajiweka sawa............cha msingi na muhimu ni ule utayari wa kuingia kwenye majukum ya ndoaUmeona eeh!
Amina na asante sana my dear ram.
sijakuona siku nyingi, missed u. hope upo poa
Asante sana my dear, umenifurahishaje na likes zako kwa kila post! yaani kweli umenipenda, thanx alotBetter late than never...
Hongera sana.:A S 465::rant::juggle::smash:
huu uzi ulinipitaje??
hongera sana @FP, nawaombea heri tupu
Ndugu zangu wapendwa, leo tarehe 9/10 ni kumbukumbu ya agano langu la ndoa kati yangu na mpenzi wangu miaka 13 iliyopita.
Namshukuru sana Mungu wangu kwa kunipa huyu rafiki yangu kuwa mwenzangu. Ni jambo ambalo sijawahi kulijutia katika miaka yote 13 niliyoishi naye. Nazidi kumwomba Mungu tuzidishe upendo katika haya maisha tuliyoyachagua.
Nawaomba pia rafiki zangu wenye mapenzi mema mzidi kutuombea maisha yenye Upendo, Baraka na Neema.
upo Yegomasika hujachelewawow!! congrats FP, may GOD bless your marriage and let you enjoy it till the end.big up pia kwa anniversary hiyo not everyone is blessed with that!!! am just praying that i will also be blessed with a grace of living marriage life with someone special someday.