Wedding Anniversary

Wedding Anniversary

Hongera sana FP....maana ndoa ni zawadi...mwenyezi Mungu awazidishie baraka katika ndoa yenu..na kwa wale makapera wenzangu muhimu kujipanga na kujiandaa kabla ya kuingia katika ndoa miaka 13 si mchezo
 
Hongera sana FP....maana ndoa ni zawadi...mwenyezi Mungu awazidishie baraka katika ndoa yenu..na kwa wale makapera wenzangu muhimu kujipanga na kujiandaa kabla ya kuingia katika ndoa miaka 13 si mchezo
Asante sana mpalu,
kujipanga bila kumshirikisha Mungu ni kazi bure. Jitahidi sana kuomba mchumba mwema, hakuna linaloshindikana kwa Mungu. Utampata na mtadumu miaka mingi sana
 
Last edited by a moderator:
Hongera Sana FP Mungu akuzidishie amani baraka na upendo tele kwa familia yako pia miaka hii 13 itakuwa chachu na kuwa mfano kwetu wengine ambao Mungu akitujalia nasi tutaingia kwenye maisha ya ndoa. Homgera Sana
 
Last edited by a moderator:
Hongera Sana FP Mungu akuzidishie amani baraka na upendo tele kwa familia yako pia miaka hii 13 itakuwa chachu na kuwa mfano kwetu wengine ambao Mungu akitujalia nasi tutaingia kwenye maisha ya ndoa. Homgera Sana
Amina The Finest, Mungu ni mwema, atakujalia mema yote.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu wapendwa, leo tarehe 9/10 ni kumbukumbu ya agano langu la ndoa kati yangu na mpenzi wangu miaka 13 iliyopita.

Namshukuru sana Mungu wangu kwa kunipa huyu rafiki yangu kuwa mwenzangu. Ni jambo ambalo sijawahi kulijutia katika miaka yote 13 niliyoishi naye. Nazidi kumwomba Mungu tuzidishe upendo katika haya maisha tuliyoyachagua.

Nawaomba pia rafiki zangu wenye mapenzi mema mzidi kutuombea maisha yenye Upendo, Baraka na Neema.

hongera sana FP, Mungu awajalie miaka mingi zaidi ya furaha na amani ktk ndoa yenu. Share nasi chochote chema kilichochangia kufikia miaka hyo, sio michache ni mingi sana. Mungu Awabariki
 
hongera sana FP, Mungu awajalie miaka mingi zaidi ya furaha na amani ktk ndoa yenu. Share nasi chochote chema kilichochangia kufikia miaka hyo, sio michache ni mingi sana. Mungu Awabariki
Amina neggirl, na asante kwa baraka.
ukisoma huko ndani utaona nimeelezea siri ya mafanikia. lakini kubwa zaidi naweza kusema tumefika hapa kwa Msaada wa Mungu
 
Last edited by a moderator:
Hongera mamii kwa kufikisha miaka hiyo kwenye ndoa, Mungu azidi kukupa hekima katika kuitunza na kuilinda ndo yako. Ubarikiwe pamoja na jamii yako yote
 
Hongera mamii kwa kufikisha miaka hiyo kwenye ndoa, Mungu azidi kukupa hekima katika kuitunza na kuilinda ndo yako. Ubarikiwe pamoja na jamii yako yote
Amina na asante sana my dear ram.
sijakuona siku nyingi, missed u. hope upo poa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom