Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 22
Hivi karibuni nilikua najaribu kutafuta information mbalimbali kwenye websites za mawizara na taasisi mbalimbali za Tanzania.
Kwa kweli nilichokumbana nacho huko its saddening.
Kwa mfano, Website ya UDSM iko very outdated na haina any useful information kabisa, faculties hazina information yoyote, watu walioko huku nje ya Tanzania wanahangaika sana kupata taarifa za chuko kikuu chetu, yaani information ziko so flimsy and useless na nyingi links zake hazifunguki, Professa Mkandala hebu fanyia hili suala kazi...!
Wizara ya Sheria na Katiba, Mahakama ya Rufaa, Mahakama Kuu, Law Reform Commission of Tanzania, Msajili wa Makampuni, Hizi zote hazina Website hadi leo hii, jamani tunaishi dunia gani?
Pia baadhi ya website chache zilizopo information zake ni dhaifu, hazina msaada wowote wala hata ukiandika email kuwasiliana na Webmaster haujibiwi lolote...!
Jamani, kwa mwendo huu hii globalisation tunaizungumza kwa maneno tuu au na vitendo pia...!
Naomba serikali iamke kulifanyia hili suala kazi, website za Wizara na taaasisi zake zifanyiwe updating na ziwe na information za kutosha kwa umma.
Kwa kweli nilichokumbana nacho huko its saddening.
Kwa mfano, Website ya UDSM iko very outdated na haina any useful information kabisa, faculties hazina information yoyote, watu walioko huku nje ya Tanzania wanahangaika sana kupata taarifa za chuko kikuu chetu, yaani information ziko so flimsy and useless na nyingi links zake hazifunguki, Professa Mkandala hebu fanyia hili suala kazi...!
Wizara ya Sheria na Katiba, Mahakama ya Rufaa, Mahakama Kuu, Law Reform Commission of Tanzania, Msajili wa Makampuni, Hizi zote hazina Website hadi leo hii, jamani tunaishi dunia gani?
Pia baadhi ya website chache zilizopo information zake ni dhaifu, hazina msaada wowote wala hata ukiandika email kuwasiliana na Webmaster haujibiwi lolote...!
Jamani, kwa mwendo huu hii globalisation tunaizungumza kwa maneno tuu au na vitendo pia...!
Naomba serikali iamke kulifanyia hili suala kazi, website za Wizara na taaasisi zake zifanyiwe updating na ziwe na information za kutosha kwa umma.