sasa ungekuwa mwanafunzi pale kwa sasa ungeuliza zalongwa wamefanya nini katika kuunganisha tovuti hiyo na shuguli zingine za wanafunzi na walimu tunapoangalia tovuti tunaangalia mambo mengi haswa utendaji na ulinzi sio mauwa tu au picha za vikatuni kama wewe unavyotaka iwe , nafikiri ungefurahi sana ungeona picha ya mbowe amevaa gwanda za mgambo si ndio ??
halafu pia ujue ucc na udsm ni vitu tofauti ucc ni taasisi inayojitegemea ina wafanyakazi wake na ina mipango yake ya kazi
habari ndio hiyo
Just kuongezea tu kama msisitizo kuwa watu wa ict tanzania wapo, zalongwa software imekuwa miongozi mwa Top ICT Youth Innovation in Africa for 2008. Hii imetangazwa mjini Johannesburg wakati wa maadhimisho ya African ICT Achievers Awards for 2008.
hata hivyo wakati zalongwa software imekubalika kuwa is a serious innovation, pale udsm sijui wana mkakati gani kuiendeleza software hii ili iendelee kusaidia vyuo vingine. maana chimbuko lake ni udsm