Wakiweka website mnawachunguza sana, nondoz zao zote wanazoziweka mnazisoma kwa makini sana. Tangu Mwanakijiji awawashie moto Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu, sidhani kama kuna wizara au idara ya serikali itakuwa inaanika nondo zake kwenye website yake, maana ni kama vile unajitakia kesi. Mtindo mpya wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu ni kuweka percent za mikopo tu bila kuweka figures maana wameona ulaji wao unaweza kuyeyuka ivi ivi sababu ya uchunguzi wa akina Mwanakijiji!
Kwa mara ya kwanza, jeshi la wananchi la Tanzania(JWTZ)
limezindua tovuti yake yenye lengo la kuongeza Ushirikiano
kati yao na wananchi.
Tovuti hiyo ni www.tpdf.go.tz iliyoznduliwa rasmi leo jijini
Dar es Salaam na Mnadhimu mkuu wa jeshi hilo,Luteni jenerali
abdulahaman Shimbo pichani, kwenye bwalo la maofisa wa jeshi hilo Upanga, Dar es salaam.
Luteni jenerali abdulahaman Shimbo alisema lengo la tovuti hiyo ni ukuaji wa sayansi na teknolojia hali inayofanya dunia kuwa kijiji kutokana na ukweli kwamba sekta ya mawasilianano kupanuka,
'' JWTZ lliona si vyema kuendelea kufunga funga mambo yetu na kuwa wapweke na tunaamini tovuti yetu ni endelevu, tunawaomba wananchi kutembelea tovuti hii na kutoa maoni yao kuhusu utendaji wetu na kutushauri. tupo tyari kuyapokea na kuyafanyia kazi yote mtajayotushauri kwa lengo la kuboresha jeshi jeshi,'' alisema Luteni Jenerali Simbo.unaweza kupata habari nyingi juu ya jeshi letu la JWTZ
kwa kutembelea WWW.TPDF.GO.TZ
Hakuna walichonifurahisha hawa wajeshi kama kuweka 'default page' katika lugha yetu ya taifa-kiswahili...ujumbe umeelekezwa kwa watanzania.
Ningefurahi zaidi kama sites zingine wangetumia lugha yetu; kwa mfano benki kuu na za biashara; na mashirika mengine.
Labda Salva atarekebisha mambo tumpe muda kidogo
Huu sasa ni udaku kama siyo Umbeya.
Mnataka website ya ikulu ya nini?.
Kuna lipi hasa mnataka kulifahamu ambalo mtashindwa kulipata bila ya kuwepo kwa website hiyo?. Natoa hoja
Huu sasa ni udaku kama siyo Umbeya.
Mnataka website ya ikulu ya nini?.
Kuna lipi hasa mnataka kulifahamu ambalo mtashindwa kulipata bila ya kuwepo kwa website hiyo?. Natoa hoja
Game,Mheshimiwa naweza kukuambia kuwa mimi nimeweka kama vile hobby kujua what ikulu have been up to especially katika masuala haya ya kuconnect na wanajamiii
Hii siyo webiete ya IKULU na wala msimpe Salva any credit kwa hili kwani wao walichokifanya wamekuja FJ wameona jinsi tunavyowabebea bango kisha probably wakampigia simu bwana yule mwenye KIKWETESHEIN.COM sasa wakaamua kuchukua hiki kipande cha JAKAYA KIKWETE
Nimetazama hizi domain names naweza kukupa info ifuatayo:
Sasa lets move to hiyo the so called website ya IKULU
hapo hakuna kitu kwani ukienda kwenye hii webisite http://www.kikweteshein.com/tanzania/ utaona pembeni kuna chini kuli kuna hiyo THE STATE HOUSE sasa ukibonyeza hiyo itafunguka nini?
http://statehouse.go.tz/president/
sasa hawa huyu salva na wenzake waache kutuchezea akili zetu
kuna habari kuwa webiste ya maoni iligharimu dola laki tatu sasa sijui kama kuna ukweli kwenye hilo lakini msishangae wakijidai hii link hapo juu wameinunua kwa dola milioni moja
GAME,Mheshimiwa naweza kukuambia kuwa mimi nimeweka kama vile hobby kujua what ikulu have been up to especially katika masuala haya ya kuconnect na wanajamiii
Hii siyo webiete ya IKULU na wala msimpe Salva any credit kwa hili kwani wao walichokifanya wamekuja FJ wameona jinsi tunavyowabebea bango kisha probably wakampigia simu bwana yule mwenye KIKWETESHEIN.COM sasa wakaamua kuchukua hiki kipande cha JAKAYA KIKWETE
Nimetazama hizi domain names naweza kukupa info ifuatayo:
Sasa lets move to hiyo the so called website ya IKULU
hapo hakuna kitu kwani ukienda kwenye hii webisite http://www.kikweteshein.com/tanzania/ utaona pembeni kuna chini kuli kuna hiyo THE STATE HOUSE sasa ukibonyeza hiyo itafunguka nini?
http://statehouse.go.tz/president/