Website ya IKULU na miradi ya COMPUTER ya Serikali

ninavyofahamu ni kwamba kuwepo kwa hiyo webside ya jakayakikwete.com ni juhudi binafsi za hao watoto ambao wanaishi mjini arusha,jk ninauhakika ametoa baraka kwani nasikia mara nyingi akiwa arusha anawaita hao watoto ikulu ya kule kwenda kumfungua mawasiliano ya mtandao na nasikia wakati fulani jamaa wa communication wa ikulu kwa uvivu wao walitaka kuichukuwa hiyo website ili waiendeshe wao,lakini kinachokera sasa ni mwaka mzima website ya ikulu ina maneno under construction,hivi hao jamaa wanafanya nini na sasa ameongezwa mtu mmoja anaitwa kilumanga,lakini bado website haijafufuka

www.statehouse.go.tz

ebu tuangalie wenzetu ambao tunataka kuingia nao katika shirikisho la kisiasa kenya na uganda,kwanza wapo up todate kwani taarifa mpaka za easter wameweza kuziingiza

www.statehousekenya.go.ke
www.statehouse.go.ug
 
wakati wa kampeni za uchaguzi JK aliona umuhimu wa mawasiliano baada ya hao watoto kuanzisha hizo websites. Alizitumia vema na aliona umuhimu wake ndo maana akawapa baraka zake. Yaani it took two teenage boys to make the Presidential candidate aware of the importance of the mawasiliano ya mtandao. Hilo lilikuwa wazo lao binafsi kwa utundu wao, ndio maana hata issue ya matumizi ya bendera ya Taifa kwenye hiyo website ilisamehewa, issue ambayo IPP waliikomalia kwa sababu wao awali walikatazwa kuitumia..but kwa kutambua uchanga wa elimu ya IT ya hao watoto, na commitment yao kwa Taifa, na utundu wao ambao alipelekea raisi mtarajiwa kujulikana kupitia mtandao, wahusika wakaamua kuiacha hiyo bendera...Lakini sasa naanza kupata wazo jingine kuwa inawezekana waliamua kuiacha makusudi ili kwa 'uvivu' wao kama ilivyosemwa, waje waitaifishe iwe official.
Its funny that Jeikei has been using these kids more than his official wataalam if he has any..na kama hana, basi awa-train hawa watoto waweze kumfanya mambo ambayo hao wakubwa aliowaajiri wameshindwa. Hivi sasa wataalam wa IT wako wengi, vyuo vyetu vinasomesha..kwanini hawatumiki its anybody's guess, but this is Tanzania...hakuna haraka
 
So far nothing from our hisghest Office ila kuna hii wizara ya Mzee Msabaha (East Africa) naona imeamua kuboronga na kutoa info ambazo si sahihi

cheki link hii:

http://www.meac.go.tz/

1)The Ministry of East African Cooperation is not shown as one of the Tanzania Ministries.

2)The names of the Tanzania Ministries do not match the names of the current Ministries.

3)The Physical location of some of the Ministries are incorrect.

4)Colors are more Ugandan than Tanzanian

no wonder IKULU wako reluctant kuwa na website

by the way ningependa kumshukuru bwana J Machange wa kule ethintanktz
 
Ninachokusifu DRWHO ni kuwa huwa ukilivalia njuga jambo, huliachi hadi uone hatima yake. Very good indeed! Nimeshangazwa sana na haya makosa ya wazi namna hiyo! Sasa hawa wataalamu wa IT ndio mambo gani tena haya, wakipewa kazi wakenya, etc, tunaanza kulalama!
 
katika chambua chambua yangu so far nimegundua haya kuhusu website ya Rair KIKWETE:

Registrant:
Nathan NathanNone
None
None, Alabama 00000
United States

Registered through: GoDaddy.com, Inc. (http://www.godaddy.com)
Domain Name: JAKAYAKIKWETE.COM
Created on: 08-Mar-05
Expires on: 08-Mar-08
Last Updated on: 22-Sep-06

Administrative Contact:
Mushi, William filgga@gmail.com
243w 125st 10027
New York, New York 10027
United States
2122803302

Technical Contact:
Mushi, William filgga@gmail.com
243w 125st 10027
New York, New York 10027
United States
2122803302


Domain servers in listed order:
NS1.DIGITALCAPITALINVESTMENT.COM
NS2.DIGITALCAPITALINVESTMENT.COM
 
DrWHO

Kwa hiyo rais mzima wa nchi anategemea mercenaries kuendesha website yake?
 
siwezi kusema ndio au hapana lakini naweza kumtetea kuwa yeye binafsi hategemi kuendesha website kwa sababu HANA HIYO WEBSITE ambayo MERCENARIES wangeweza kuiendesha

ISIPOKUWA:

WASAIDIZI WAKE WANAWEZA WAKAWA WANATEGEMEA HAO MERCENARIES KUENDESHA WEBSITE AMBAYO IN A WAY INA ACT KAMA NDIYO OFFICIAL WEBSITE YA SERKALI AU IKULU AU YA RAIS


that said...kwa mbali kuna mkono wa FILGA sasa swali la kujiuliza je ni yule yule wa JAMBOFORUMS au huyu ni MUSHI MWINGINE?



by the way wizara ya mambo ya nchi za nje bado haina website japo waziri membe alitoa ahadi kuwa litashughulikiwa
 
Huyu mtu ni failure na amefeli kama communications director wa IKULU, Maskendo kibao yameonyesha jinsi gani he was always BEHIND THE AGENDA, kaaachia media waSET THE AGENDA....ishu ndogo kama website imemshinda

What are his rewards?

UBALOZI CANADA



http://issamichuzi.blogspot.com/


halafu huyu MARWA bado anataka kupewa ubalozi au kazi nyingine...jamani hivi huyo mzee hata kufikir straight anaweza?
 
Huyu mtu ni failure na amefeli kama communications director wa IKULU, Maskendo kibao yameonyesha jinsi gani he was always BEHIND THE AGENDA, kaaachia media waSET THE AGENDA....ishu ndogo kama website imemshinda

What are his rewards?

UBALOZI CANADA



http://issamichuzi.blogspot.com/


halafu huyu MARWA bado anataka kupewa ubalozi au kazi nyingine...jamani hivi huyo mzee hata kufikir straight anaweza?


DrWHO

CCM is a family business and you know what they say about family "can't kick the family out".

JK anaendeleza tamaduni ya CCM...hana jipya..ari mpya, nguvu mpya...
 
Mwana CCM wewe yebo yebo maneno yako yamejaa heshima na utanzania mwingi sana ndani yako no wonder watu wanahangaika kukurushia ujinga kila kona. Nimeshwa onyo sasa waache wakate issue .Yebo Yebo u CCM wako nauona tofauti kabisa kwamba wewe ni Mtanzania na utanzania umekujaa sawa na mwanakijiji. Maneno yenu ni mazito mno na yaigwe na wana CCM wenzenu .
 
Kwanza baada ya Kalaghe kuna habari kwamba, Abdul Cisco Mtiro naye atapangiwa kituo, na huenda ikawa ni katika nchi za kiarabu. lakini Habari ni kwamba, Kalaghe alikua na uhakika wa kuula na kwamba alishawaambia watu kwamba asipopewa nafasi "ATALIPUA MABOMU" ya wakubwa. SIna hakika ni mabomu gani, lakini kama hivyo ndivyo basi ni hatari kwa MASLAHI YA TAIFA KAMA MTU ANAKU NA JEURI KAMA HIYO. TUKATAE, TUKUMBUKE ENZI ZA MWALIMU JK, ambaye hakukubali hata mara moja kuwa MTUMWA.

JAMBO LINGINE NAOMBA WANA JF MUNISAIDIE, Wale mabalozi waliotangazwa kuiteuliwa akiwamo bwana MAharange aliyehamishwa kutoka DRC, wameshaapishwa? kama bado kwanini? Kuna habari kwamba hawajaapishwa kwa sababu hawajateuliwa!!!! If that is true, again ITAKUWA INATISHA
 
Wana JF, kwa kuwa wenzenu tuko huku Bongo, pengine tunafahamu mambo mengi ya huku kuliko ninyi huko. Taratibu za kuteua, kuapisha mabalozi wateule zinakuwa kama ifuatavyo.

1.Balozi mtarajiwa mteule huwa kwanza anachunguzwa kuanzia tabia,uhusiano,mwenendo,utendaji kazi wake,security issues,maswala ya familia yake, yaani historia yake yote ya maisha kwa ujumla.

2.Baada ya wahusika kuridhika kuwa mtu huyo yuko safi na ana uwezo wa kuwakilisha Taifa, Mtarajiwa Balozi mteule anaulizwa kama jina lake likipendekezwa kwa Mhe. Rais atakubali? au la

3.Akikubali, ndio jina linapelekwa kwa Mhe. Rais kwa idhini yake na kupangiwa Kituo.

4.Baada ya kupangiwa Kituo, taarifa zinapelekwa kule nchi ambayo anatarajiwa kwenda kuliwakilisha Taifa kwa ajili ya nchi hiyo kumkubali au kumkataa. Wakimkataa, huwa hawatoi sababu yoyote wanasema tu mtu huyo hatufai basi. Wakimkubali, taarifa inarudi kusema wamemkubali mteule huyo. Sasa, mlolongo huo wa kutuma jina na kusubiri majibu huwa unachukuwa muda mrefu sana maana huwezi kuwaharakisha watendaji wa nchi nyingine maana na wao huwa wanafanya uchunguzi wao kuhusu huyo mteule. Ndio maana utasikia mtu kapendekezwa kuwa Balozi wa nchi fulani, lakini inachukuwa muda mrefu kuapishwa.

5.Baada ya jina kukubaliwa na nchi anayotarajiwa kwenda huyo Balozi, ndio Mhe.Rais anamuapisha Balozi mteule.

6.Baada ya Balozi mteule kuapishwa, anaenda na mwenza wake Chuo cha Diplomasia kupata mafunzo ya Udiplomasia, na wakihitimu, wanapewa vyeti na kusubiri mpaka wapate taarifa kuwa Balozi aliyekuwa hiyo nchi anayotarajia kwenda ameshaondoka, maana nchi haiwezi kuwa na Mabalozi wawili kwa wakati mmoja.

7.Baada ya kuwa Balozi wa zamani ameshaondoka huko anakotarajiwa kwenda, sasa ndio anakwenda rasmi huko alikopangiwa. HUO NDIO UTARATIBU WA MAMBO YALIVYO. ...Darasa hilo.

Kama kuna maswali uliza!
 
Kallaghe.jpg


hivi mheshimiwa ulikuwa unajisikiaje wakati una browse website hii hapa chini?
http://www.statehousekenya.go.ke/

au hii hapa?

http://www.statehouse.go.ug/




Jamani Kulikoni na Mzee ES mkowapi?

Mwanasiasa je? Mwanakijiji?

au na nyie hamuoni umuhimu wa mambo ya websites?
 
hivi mheshimiwa ulikuwa unajisikiaje wakati una browse website hii hapa chini?
http://www.statehousekenya.go.ke/

au hii hapa?

http://www.statehouse.go.ug/

Jamani Kulikoni na Mzee ES mkowapi?

Mwanasiasa je? Mwanakijiji?

au na nyie hamuoni umuhimu wa mambo ya websites?


Website haikuwa issue muhimu kwa Ikulu au Serikali...ile ilikuwa ni nafasi iliyopo ka wakati ule ambayo huyu mheshimiwa anaweza kutulia nayo wakati anatafutiwa ubalozi. Sasa ubalozi umepatikana huyoooooooo
 
Back
Top Bottom