DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
mswahili hivi hawa jamaa unawafahamu?hebu tupe data zao.
Kwani historia ya Tanzania bado inafundishwa shuleni?
Huyu mtu ni failure na amefeli kama communications director wa IKULU, Maskendo kibao yameonyesha jinsi gani he was always BEHIND THE AGENDA, kaaachia media waSET THE AGENDA....ishu ndogo kama website imemshinda
What are his rewards?
UBALOZI CANADA
http://issamichuzi.blogspot.com/
halafu huyu MARWA bado anataka kupewa ubalozi au kazi nyingine...jamani hivi huyo mzee hata kufikir straight anaweza?
hivi mheshimiwa ulikuwa unajisikiaje wakati una browse website hii hapa chini?
http://www.statehousekenya.go.ke/
au hii hapa?
http://www.statehouse.go.ug/
Jamani Kulikoni na Mzee ES mkowapi?
Mwanasiasa je? Mwanakijiji?
au na nyie hamuoni umuhimu wa mambo ya websites?