web designing inaumiza kichwa

web designing inaumiza kichwa

Nasikitika hata kumu-mention mtu hujuwi unaishia ku-copy link. Ngoja nikumention mimi, angalia: Chief Lugina

NAONA UMEENDELEA KUROPOKA TU KAMA KAWAIDA. NIMEKUAMBIA NIPE WEBSITE 2 ULIZOTENGENEZA WEWE.

TIMIZA KWANZA HILI KABLA SIJAJA KUJIBU UTUMBO WAKO WOTE ULIOANDIKA HAPA.

Sorry, I thought like I was talking to Software Developer. Kijana naona umeamua kutoa matusi wala siyo hoja.ICT ni Progress learning kila siku tunahitaji kujifunza ili kuendana na kasi ya Technology.Hivyo tunapopata watu wa kutukosoa tunatakiwa tukubali tu hata kama mawazo yao hatuyapendi. Sikutaka kukujibu kwa sababu umeamua kutukana lakini nimeamua kukujibu coz nikiacha kama ilivyo huenda hata huko mtaani kwako ukabaki na tabia hii.

1. Kwanza umesema kuna mtu alikuja kupiga mhuri kwenye sufuria la nyumbani kwako, hii ni ajabu sana mtu aje kupiga mhuri kwenye sufuria kisa kutengeneza website. Bahati mbaya sana issues za kutengeneza website nilikuwa nafuatilia kipindi nipo UDSM na website nafanya kama Kujiburudisha tu so, kwa mwana-Technolojia kama wewe kuanza kuhisi ushirikina kwenye zama hizi ni jambo la ajabu sana and by the way hunifahamu hata naishi wapi.

2.Kuhusu Tofauti kati ya Website Designer na Developer, wewe ungekuwa umekaa kwenye hii Industry na ungejua huyu mtu alikuwa anataka website Development coz anaonekana ni mgeni kwenye haya mambo so hawezi kutofautisha. Na kwa Tanzania kama siyo Africa usitegemee kumkuta Web Designer, hapa mtu mmoja anafanya kila kitu so ki bongo bongo hatuna Designer na ndiyo maana huenda Website zako zina Design mbaya(Kwa mtazamo wangu).

3. Kuhusu kwanini sikufanya hiyo kazi, sikufanya kwa sababu zangu ambazo hazihusiani na ujuzi wangu au Malipo lakini ni sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu kwa mda huo. Na kabla hujaichukua wewe ilikuwa ni website nzuri sana na hata sijui kwa nini walikubari kubadilisha website nzuri vile na kukubali hii yako huenda ni kwa sababu either umefanya kwa malipo kiduchu au for free ili kuongeza profile(Kuwa ulishatengeneza website nyingi) lakini kimsingi hii website uliyotengeneza haina lolote kabisa(najua utabisha kwa sababu unaamini ni nzuri----Home | Nelly's InnNelly's Inn)

3.Unasema kuna option 2 ili kujifunza kutengeneza website(Hapa unakubaliana na mimi kuwa alikuwa anamaniisha wesite Development na siyo Design kama ulivyotaka kupotosha). Ambazo ni Kujifunza HTML au Softwares/Tools.
Ndugu yangu https://www.jamiiforums.com/member.php?u=53226 Option ni Moja tu unatakiwa uanze kujifunza HTML & CSS kwanza kabla ya kujifunza hizo Tools otherwise mtu anataka awe kama wewe. Nakumbuka wakati naanza Ku-Code miaka 4 iliyopita nilikatazw kabisa kutumia hizo Tools hadi nilipo Master HTML na CSS ndo nikaanza kutumia hizo Artisteer(unazotumia sasa). So hakuna cha Option hapa kama unataka kuwa website Developer lazima(rudia tena lazima) ujifunzi HTML na CSS kwanza.

4.Kuhusu watu kunijua nikweli watu wananijua na kuhusu kuwa Verified siyo issue na sija-claim even though hilo jina langu halisi. kumbuka napenda kujulikana na kujuana na watu mbalimbali so,kama unanijua ni vizuri.

MWISHO: Mimi si shindani na wewe lakini nakataa ushauri wako uliokuwa unampa mwanafunzi wa Website Developer,pia kilichopelekea kukujua ni huo ushauri wako. huwezi kutoa ushauri kama huo then ukawa unajua kufanya Website Development, kwa vyovyote vile anaetoa ushauri huo lazima awe na mapungufu kama yako. Karibu kwa matusi zaidi
 
Last edited by a moderator:
Wewe utakuwa na mtindio wa ubongo. Hii umeipata wapi? Unaweza kuionyesha tena? Yaani mimi nije hapa kuulizia namna ya kuficha login ya wordpress wakati google ipo au unadhani mimi ndiyo wewe kila post unaomba code watu wakupe link mara unaomba key za artisteer wakati torrents zipo milioni ndiyo maana nasema wewe utakuwa na mtindio wa ubongo. Na vipi meno yako kufa ganzi yameacha?.




View attachment 109237
nilitarajia utakuja na thread ya kuuliza how to rename wp-admin page, we umekwenda kuzoa wordpress na kulitupia kavu kavu tu. Kuonesha hufuati hata terms za wordpress umeshindwa kuacha hata ile powered by wordpress lakini ukakumbuka designed by fadhili paulo. home | nelly's innnelly's inn.
 
Hii thread inakuwa haina manufaa kwa muuliza swali na hata watazamaji wengine hasa pale inapotokea contributers mnarushiana maneno makali na kuoneshana mabavu, hakuna haja ya kutambiana kwa namna hii kwa maana ni kama tunapoteza mwelekeo.

Kwa ufupi, inategemea unataka kujifunza kutengeneza tovuti kwa ajili gani, wapo wanatotaka kutengeneza tovuti kwa matumizi tu madogo kama kuonyesha picha zao au taarifa zao fupi bila ya kutumia mitandao ya kijamii au kutangaza biashara ndogo, hapo hata ukikurupuka na kutumia tools bila kujua nini zinaandika then good for you kwa sababu hakuna a lot money at stake.

Kama unataka kujifunza kutengeneza tovuti ili uwe more of a professional type of a person na kufanya kazi katika projects kubwa zinazohusisha hela kubwa za watu, hapo huna jinsi zaidi ya kujifunza hizo code kiundani...sidhani kama utaeleweka pale utakapoingia katika development team hata kama ni just a web designer na ukaanza kung'ang'ania eti mimi natumiaga Tool X kudesign interfaces zangu na hutumia CMS X kuhandle yaliyobaki kwa web yangu.

At the end of the day utaangalia unataka kuwa nani, ndio maana hata kwenye sekta nyingine kwa mfano. Umeme kuna vishoka na Professional Electrical Engineers na technicians.

Most of the times Man's Ego Equals Man's Downfall.
 
Hapa tunabishana kwa hoja. kama yeye anasema website zangu si nzuri, basi ataje na yeye alizotengeneza na mimi niziseme na siyo kuponda tu changu wakati chake hakitaji na kumbuka anasema kuna project ilikuwa afanye yeye nikafanya mimi JE HII HAIWEZI KUWA NDIYO SABABU YA KUSHAMBULIA KAZI ZANGU?.

Hii thread inakuwa haina manufaa kwa muuliza swali na hata watazamaji wengine hasa pale inapotokea contributers mnarushiana maneno makali na kuoneshana mabavu, hakuna haja ya kutambiana kwa namna hii kwa maana ni kama tunapoteza mwelekeo.

Kwa ufupi, inategemea unataka kujifunza kutengeneza tovuti kwa ajili gani, wapo wanatotaka kutengeneza tovuti kwa matumizi tu madogo kama kuonyesha picha zao au taarifa zao fupi bila ya kutumia mitandao ya kijamii au kutangaza biashara ndogo, hapo hata ukikurupuka na kutumia tools bila kujua nini zinaandika then good for you kwa sababu hakuna a lot money at stake.

Kama unataka kujifunza kutengeneza tovuti ili uwe more of a professional type of a person na kufanya kazi katika projects kubwa zinazohusisha hela kubwa za watu, hapo huna jinsi zaidi ya kujifunza hizo code kiundani...sidhani kama utaeleweka pale utakapoingia katika development team hata kama ni just a web designer na ukaanza kung'ang'ania eti mimi natumiaga Tool X kudesign interfaces zangu na hutumia CMS X kuhandle yaliyobaki kwa web yangu.

At the end of the day utaangalia unataka kuwa nani, ndio maana hata kwenye sekta nyingine kwa mfano. Umeme kuna vishoka na Professional Electrical Engineers na technicians.

Most of the times Man's Ego Equals Man's Downfall.
 
kinachosumbua ni uchaguzi wa code ya kutumia pamoja proper arrangement ya contents na pages ila ipatikane view nzuri.

ili upate flow nzuri jaribu kuweka mawazo ya. muonekano wa site unavotaka iwe kwenye karatasi weka layout yote kwenye karatasi then anza kuweka huo mchoro katika code zako kwa HTML na CSS mambo yatajipa vizuri
 
duh hii kitu inataka moyo xana mkuu cz mi mwenyewe nilielemewa ila nw sm hw naidea kwa mbali cz kuna jamaa angu alinipa hii software inaitwa dreamwever na hii link itakusidia icheck W3Schools Online Web Tutorials

kama unataka kuelewa vizuri sana achana na hizo dreamwever itakulemaza hutajua kitu....gonga code manualy ujue alafu ndo.uamie huko kwenye dreamwever ukiwa tayari uko vizuri.....mostly hizo tools ni kwaajili ya mapro ambao wanaelewa wanafanya nn ila kwa kujifunzia sio nzuri sana
 
Am learning web designing using html and css, it brings me headache, kuna mtu huko ana uzoefu wa hii kitu people I really need to master hii kitu.
If u can provide help please contact me niongeze ujuzi
Bila shaka ndugu mdau.
Kwa kuwa unataka kujifunza hizo lugha za kutengenezea mitandao, basi ni vema ukaanza na basics kama wajuzi walivyosema hapo juu. Kwanza, pitia W3C Schools, kuna mafunzo mazuri kabisa ya mtu anayejifunza web design. Hapo pana mambo mengi sana.
Pia, nimeambatanisha na kitabu cha kujifunzia Html, Xhtml, Css
Kila kheri
 

Attachments

Wakati nipo chuoni kati ya darasa lililokuwa linaniumiza kichwa ni wakati Dk. wa Module hiyo akiingia darasani. Kuna wakati alikuwa analeta picha ya web page kwenye hard copy halafu kila mmoja anatakiwa ku-develop code zake. Mpaka nafanikiwa ku-master eneo hilo jasho lilinitoka. Taratibu mkuu utaweza tu kikubwa usikate tamaa.
 
Mkuu Astro nilikuwa nimekuahidi kukujibu nitakapopata muda. Sasa nimeona kuendelea kubishana kwa maneno haisadii chochote ni lazima tubishane kwa vitendo ndipo tutakapoelewana. kwa kuanza nimeiweka website yangu hapa inakwenda kwa www.iyokopokomayoko.p.ht

Ipo underconstruction, nitaijaza content soon halafu nitakuja kujibu maswali yako moja baada ya lingine kwa vitendo kupitia hiyo site.

Mkuu hii topic niliiona asubuhi ila nikashindwa kujibu kwa maana nilikuwa natumia simu ya mkononi, napata wakati mgumu kuandika maneno mengi kupitia simu. Nitajaribu kujibu maswali yako kwa lugha itakayoeleweka vizuri kwa kila mtu kwa manufaa ya wote.

1.Websites zenye poor code na hard to maintain/or modify-hapa ninamaanisha hizi (nyenzo)tools zinazofanya code generation hutengeneza kitu chenye muonekana unaoutaka lakini nyuma ya pazia [namaanisha kwenye hizo code zinazofanya hiyo tovuti yako ionekane unavyotaka huwa ni matatizo na haziweizi kusomwa na binadamu kirahisi]

Je kuna umuhimu wa Code kusomeka kwa binadamu?
Ndio umuhimu upo, pale utakapotaka kuongeza features na kukutana na hizi code zilizongumu kusomeka utapata shida sana na kama hauna uzoefu kabisa na kuandika ama kusoma codes unaweza kujaribu kufuta mstari ama neno moja na kuangusha kazi yako yote.

-Mara nyingi Hizi code zinazokuwa generated kuna neno wanaloita 'Bloated' yani zinakuwa na vitu vingi sana na kuongeza ukubwa wa tovuti yako, Kwa mfano kuna hatua ya kuhakiki kama taarifa zilizoingizwa na mtumiaji wa tovuti ni sahihi kwa mfano barua pepe,jina nk kwa kutumia code generation ya Adobe Dreamweaver unaweza ukapata mistari 15-20 wakati unaweza ukaandika mistari miwili ama mitatu na kupunguza vile vitu ambavyo havihitajiki.

-Kwa anayefahamu hizo code nini kimeandikwa anaweza kufuta vile visivyohitajika na kuongeza vile anavyotaka na kuwa huru katika kazi yake, kwa yule atakayetegemea code kuwa generated anaweza kujifunga na kupata shida sana hivyo ndio maana nilishauri mtu aanze kujifunza jinsi ya kuandika code na kuachana na njia za mkato.



2.Katika swali la pili-Nilipotaja h1,h2,p,a,images...
-Webpage yani Ukurasa wa Tovuti unaundwa na Elements (Vipengele) ambavyo ni muunganiko wa tags (vitambulisho) vinavyoelezea Web Browser (Kiperuzi cha Tovuti kama opera mini,Internet Explorer n.k) jinsi ya kuonyesha ukurasa kwa mpangilio sahihi...Kiperuzi (Web Browser) husoma hivyo vipengele na kuweza kurudisha muonekano uliosahihi (interpret/tafsiri code).

-Kuna vipengele vingi sana na Lugha inayotumika (Markup Language) ni HTML katika kuunda kurasa za tovuti. Ukurasa wa tovuti ni kama ukurasa wa kitabu ama daftari lako na umegawanyika katika sehemu kama Kichwa (head) na mwili(body).
Kichwa huwa na taarifa muhimu kuhusu ukurasa huo kwa mfano Jina La ukurasa wako na vielelezo vya taarifa za tovuti yako. Mwili (Body) huu ndio hubeba maelezo yote kama maneno picha unazotaka zisomwe na mtembeleaji wa tovuti yako.


Mfano vitambulisho hufunguliwa na kufungwa, vitambulisho vya kufungua (opening tags) huanza na namna hii <herufi moja ama zaidi> na vitambulisho vya kufungwa huadikwa kwa namna hii </herufi moja ama zaidi >

-Kwa mfano < h1 > </ h1>Ukiandika neno lolote katikati ya vitambulisho vilivyofunguliwa na kufungwa utapata kichwa cha habari kikubwa mfano < h1 >TAARIFA YA HABARI < / h1> Hiki huonekana kama maneno yaliyokolozewa kwenye kiperuzi cha tovuti. Muunganiko wa vitambulisho vya kufungua na kufunga na hilo neno huunda kipengele kimoja.

Ukitumia vitambulisho kama < h2 >,< h3 >< h4 > unamaanisha vichwa vidogo vya habari, namba inavyozidi kuongezeka ndio udogo wa kichwa cha habari (katika muonekano na hata cheo katika ukurasa)


  • Vitambulisho vingine kama < p > Hiki ni kwa ajili ya kuandika aya (paragraph)
  • < img >-Hiki hutumika kuweka picha.
  • lists hutumika kuweka orodha ya vitu katika ukurasa (kama huu unaouona hapa kwenye ukurasa wangu)
Ningependa kuoongelea sana HTML lakini itachukua sehemu kubwa sana na ninahisi kuna tutorial zimeshawekwa humu Jamiiforums kwa mfano https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/429224-html-tutorial-3.html
Ninaamini zipo nyingi sana na hata kwa kutafuta google waweza kupata maelezo zaidi.
Mfano wa HTML code ni kama hiyo hapo chini.
View attachment 108529
Kama nilivyosema vitambulisho vipo vingi sana ila si vyote utakavyohitaji kuvitumia katika kuunda tovuti yako,jaribu kuangailwa vitambulisho vilivyopo katika tovuti nyingi utakuta ni aina chache zinazotumia,

Kuviona vitambulisho na vipengele
  • tumia kiperuzi chako kufungua tovuti yoyote
  • Bofya right click(kiswahili chake sikifahamu)
  • Chagua sehemu imeandikwa view source code ama view page source (hutofautiana na viperuzi)
View attachment 108533
kwa njia hii ukiwa makini utaweza kujua ni vitambulisho vipi hutumika sana na jinsi ya kupangilia ukurasa wako.

3. Server Side Scripting Languages-hizi ni lugha (Programming Languages) zinazotumika kufanya manipulation (kucheza) na data katika upande wa server na kutuma majibu kwenye kiperuzi.

Hayo maelezo hapo juu yaweza kuchanganya kwa mtu asiye na ujuzi wa mambo ya computer.
Tuchukue mfano huu (nimejaribu kuelezea kwa njia rahisi sana na kuondoa baadhi ya maelezo ili kueleweka kiurahisi)
-Unapofungua tovuti kama Jamiiforums unatuma ombi lako kwenye kompyuta (Server) iliyobeba taarifa za Jamiiforums.
-Computer hiyo yani (Server) itatuma jibu kutokana na ombi ulilofanya kama ni kujibu topic ama kuanzisha topic mpya yenyewe itaangalia ni nini cha kukujibu, hiii yote huandikwa na wataalamu kwa kuiambia computer nini cha kufanya ombi linapotumwa.
-Lugha zinazotumika kuieeleza computer nini cha kufanya/kujibu pale ombi linapotumwa huitwa server side scripting language (Hutumika kutoa maelezo kwa upange wa computer iliyobeba taarifa za jamiiforums)
-Lugha hizi zipo nyingi sana kwa mfano PHP,ASP,JAVA-JSP,Python,Ruby, Sitoweza kuzitaja zote.

4. Adobe Photoshop-ni programu/software inayotumika kufanya mabadiliko ya muonekano wa picha/michoro.
Hii ni nyenzo muhimu sana kwa wasanifu wa website (Web Designers) kwa maana tovuti yenye muonekano mzuri huundwa na picha zenye mvuto mzuri na maumbo yanayoweza kumvutia mtembeleaji wako, kuna tools nyingine kama Gimp nayo ina uwezo mkubwa. Uwezo wa photoshop ni mkubwa sana unaweza kutengeneza picha na michoro mizuri sana wataalamu kama C6,Leh wameshaweka tutorial nyingi sana hapo nyuma kama
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...8-tujifunze-photoshop-tembocard-mockup-2.html
https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/317396-another-photoshop-tutorial.html

ambapo hata mimi niliweza kujifunza mengi kupitia kwao.

5.Search Engine Optimization-ni kufanya tovuti yako ipatikane kiurahisi katika search engine (hii ni mitandao kama Google.com/bing.com)
Jaribu kuingia Google andika neno kama Tanzania Forums, ya kwanza kutokea ni JF, hiii ina umuhimu gani?...Tovuti yako inapotokea mwanzo mwa matokeo inaongeza watembeleaji wapya wa tovuti yako, kama mimi ni mgeni katika forums na nilikuwa natafuta forum ya Tanzania kupitia google kwa namna moja ama nyingine ningejikuta nipo JF Hivyo Search engine optimization ni muhimu katika kuongeza watembeleaji katika tovuti yako.

6-Cross Browser Compatibility-Hii ni kuhakikisha tovuti yako inaonekana sawa kupitia viperuzi mbali mbali kwa mfano Internet explorer,Google chrome,Mozila etc. Usitengeneze tovuti inayoonekana kwa kiperuzi cha aina moja kwani hujui mtembeleaji wako atatumia kiperuzi gani, pale itakapotokea kiperuzi kimoja kinashindwa kuionyesha tovuti yako vizuri basi unaweza kuwa umejipotezea watembeleaji.
-Viperuzi vinavyosumbua sana ni Kama internet explorer 6-7 [hizi huwa na tabia ya kuonyesha muonekano tofauti wa tovuti ukilinganisha na viperuzi vingine vipya ila ni jukumu lako wewe designer kuhakikisha tovuti yako inaonekana vizuri]

7-Validation ya Markup-Hii ni kuhakiki kuwa HTML code zinazounda tovuti yako zipo sahihi na zinaendana na sheria zilizowekwa na mamlaka inayotoa sheria za tovuti W3C. Unashauriwa kufuatwa sheria zilizowekwa ili kuepuka matatizo kama muonekano tofauti wa tovuti kwenye kiperuzi kimoja na kingine (angalia namba 6)


8.Je nikitumia code generation tools nitaweza kufanya Search Engine Optimization,Cross Browser Compatibility na Validation Markup?
Hii inategemea na uzoefu wako na codes, kwa wale wajuzi hata akitumia code generation tool anaweza kurekebisha matatizo kama Cross Browser Compatibility na kuondoa Invalid Markup iliyotengenezwa na hizo tools bila kuharibu tovuti yake na hata kuweka Search Engine Optimization. Kama huna ujuzi na hizo code basi kufanya mambo haya itakuwa ni vigumu sana na hata kupelekea kuachana nayo kwa maana tovuti si inaonekana vizuri?, na Huu ndio mwanzo wa kazi zenye low quality.
-Utakapokuwa na ujuzi na code zako ndio utaweza kuwa na uhuru zaidi wa kufanya yote yaliyotajwa hapo juu kwenye swali.

Kwa kumaliza Mkuu japokuwa kazi yangu si web designer/web developer nina ujuzi wa kutosha kwa maana katika taaluma yangu nimeshayasomea haya mambo na kupitia juhudi zangu binafsi nikaweza kuendeleza ujuzi kwenye haya mambo, kwa sasa ninafanya kazi katika mambo tofauti lakini ninafahamu jinsi ya kutengeneza tovuti, ipi ni njia sahihi na nyenzo zipi zinafaa hasa kwa mtu anayeanza kujifunza.
Nikipata muda ninaweza kuweka tutorial hapa kuonyesha jinsi ya kutengeneza a simple attractive home page from scratch kwa kutumia HTML na CSS peke yake na kuonyesha jinsi hizo code zilivyorahisi kuziandika.

Nitakapokuwa nimekosea naomba nirekebishwe, Let us work together to Improve our society.🙂
 
Kimsingi mimi sipo upande wako Fadhili Paulo maana naona kama unamkatisha tamaa mshikaji. unaonekana kama hutaki ajifunze. Kama ungekuwa unatoa ushirikiano na msaada usingeweza kumwambia a code FireFox au google crome. Kwenye IT hasa Software Development tunajifunza ku appreciate kazi za watu na ku-encourage new Developers siyo kama unavyojaribu kufanya wewe. Kuhusu kazi mlizofanya wewe na Zech hapa siyo sehemu ya Mashindano lakini hata mimi nimevutiwa kutaka kujua kazi ulizofanya na nilichogundua ni alichogundua Zech. moja ya kazi yako amabayo nadhani utakuwa unaikubali zaidi amabyo hadi umeamua kuifanya sehemu ya Signature yako hapa JF ni http://maajabuyamaji.net/ Kazi nyingine ninayoijua ambayo kimsingi ilikuwa niifanye mimi ya website ya Hotel moja inaitwa nellyzinn. Hii ni Hotel amabyo ipo Mbezi na inamilikiwa na Prof.wa sheria kutoka OPEN UNIV http://nellysinn.net/. Hii nayo ni moja kati ya website mbaya(Sorry for Discouragement)... Una discourage watu usidhani hakuna watu wasiokujua kijana...we una copy templates(Siyo kitu kibaya kama we ni mtaalamu) na mwenzio anapiga from scratch acha kufanya hivyo kaka

da mkuu nimeziangalia hizo kazi mbili ni mbovu mbovu kabisa nahisi huyu jamaa angeacha kudiss wengine acheki kazi zake kwanza maana kwanza katumia blogger templates alafu mpangilio ..muonekano na kila kitu ni ziro kabisa....nahisi angerudi kwenye basics alafu ndo arudi kudis na kudiskareji wengine aiseee.....
 
Unauhakika na unachoKINENA? Una uhakika hizo ni blogger templates? au unaongea tu kama upo chooni? hebu thibitisha kama hizo ni blogger templates na pili taja kazi zako ambazo ni nzuri usiropoke tu.

da mkuu nimeziangalia hizo kazi mbili ni mbovu mbovu kabisa nahisi huyu jamaa angeacha kudiss wengine acheki kazi zake kwanza maana kwanza katumia blogger templates alafu mpangilio ..muonekano na kila kitu ni ziro kabisa....nahisi angerudi kwenye basics alafu ndo arudi kudis na kudiskareji wengine aiseee.....
 
Unauhakika na unachoKINENA? Una uhakika hizo ni blogger templates? au unaongea tu kama upo chooni? hebu thibitisha kama hizo ni blogger templates na pili taja kazi zako ambazo ni nzuri usiropoke tu.

he he he he ukweli unauma jamani yaani mapovu yanavokutoka ndo utajua mtu unapogusa. kwenye ukweli anavopiga mayowe.......endelea kupiga kelele kijana ila hamna kitu pale he he he he
 
Unauhakika na unachoKINENA? Una uhakika hizo ni blogger templates? au unaongea tu kama upo chooni? hebu thibitisha kama hizo ni blogger templates na pili taja kazi zako ambazo ni nzuri usiropoke tu.

by the way mie sifanyi website design nadevelop applications ambazo nyingi hazipo katika public addresses so hutaziona he he he he he endelea na templates zako za wordpress kijana
 
Mbona kazi zenu hamuzionyeshi mnaishia kuropoka tu? Kama wewe unaona una kazi nzuri kuliko zangu basi usiropoke tu taja na zako tuzione.
 
----- wewe unakurupuka tu from no where, sasa kama siyo website designer unapata wapi muda wa kudiss kazi za wengine wakati wewe hujuwi hata A kwenye website designing? mara blogger templates mara wordpress hujuwi hata unaongea nini.

by the way mie sifanyi website design nadevelop applications ambazo nyingi hazipo katika public addresses so hutaziona he he he he he endelea na templates zako za wordpress kijana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom