Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,296
- 3,929
Nitarudi nasikia uganda mke wake kamgonga na gari nitakuja asubuhi kuleta taarifa kamli kutoka uganda nasikia anaweza katwa miguu mke wake ni mrwanda
Haya 15:08 nimerudi tena kumalizia ufyete kutoka uganda
Basi bwana, vyanzo vya kuaminika vya mitaa ya kampala vimepiga kelele kuwa ugomvi mkali ulilipuka kati ya Weasel na mpenzi wake Sandra Teta pale Shan’s Bar & Restaurant kule Munyonyo kampala uganda. Wanasema wawili hao walikuwa wanazozana hadi joto likapanda kama jiko la mkaa. Dem alikua mkali sana
Wizo ni huyo mwenye rasta na mwezie marehemu radio alipigwa na baunsa hadi kufa huko huko uganda .... jana ikabidi chameleon ampeleke ndugu yake manizo hospital so kila kitu kiko chini chameleon ..... sasa turudi kwenye tukio la Weasel na dem wake
Sasa, tetesi zinasema Sandra alijaribu kuondoka na gari kwa hasira, lakini Weasel akajipiga moyo konde akasimama mbele ya gari kumzuia. Kumbe demu yuko serious akanyaga moto, gari likamgonga bweee weasel chini Inasemekana miguu yake yote miwili imeumia vibaya sana inaweza katwa muda wowote– yani si mchezo.
Na unajua hawa wawili si wageni kwenye vichwa vya habari… mara nyingi drama zao za mapenzi huwa zinaonekana hadharani, sasa hii ya jana imeacha mtaa wote umepigwa butwaa.
Watu wengi wanaogopa sana kuoa mademu wa kirwanda sababu hasira zao za kiseng£ wizo sasa kama sio uzima basi wheelchair ina msubiri kisa ujinga wa dem wa kirwanda
Haya 15:08 nimerudi tena kumalizia ufyete kutoka uganda
Basi bwana, vyanzo vya kuaminika vya mitaa ya kampala vimepiga kelele kuwa ugomvi mkali ulilipuka kati ya Weasel na mpenzi wake Sandra Teta pale Shan’s Bar & Restaurant kule Munyonyo kampala uganda. Wanasema wawili hao walikuwa wanazozana hadi joto likapanda kama jiko la mkaa. Dem alikua mkali sana
Wizo ni huyo mwenye rasta na mwezie marehemu radio alipigwa na baunsa hadi kufa huko huko uganda .... jana ikabidi chameleon ampeleke ndugu yake manizo hospital so kila kitu kiko chini chameleon ..... sasa turudi kwenye tukio la Weasel na dem wake
Sasa, tetesi zinasema Sandra alijaribu kuondoka na gari kwa hasira, lakini Weasel akajipiga moyo konde akasimama mbele ya gari kumzuia. Kumbe demu yuko serious akanyaga moto, gari likamgonga bweee weasel chini Inasemekana miguu yake yote miwili imeumia vibaya sana inaweza katwa muda wowote– yani si mchezo.
Na unajua hawa wawili si wageni kwenye vichwa vya habari… mara nyingi drama zao za mapenzi huwa zinaonekana hadharani, sasa hii ya jana imeacha mtaa wote umepigwa butwaa.
Watu wengi wanaogopa sana kuoa mademu wa kirwanda sababu hasira zao za kiseng£ wizo sasa kama sio uzima basi wheelchair ina msubiri kisa ujinga wa dem wa kirwanda