Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,607
- 112,659
- Thread starter
- #21
Na umeona tusi hapo? PoleDuh,hadi na matusi iko kwa jukwaa ya jf
Na umeona tusi hapo? PoleDuh,hadi na matusi iko kwa jukwaa ya jf
Hakika una nyege fd
What does upuuzi/ mpuuzi mean sister?Na umeona tusi hapo? Pole
Google my dearWhat does upuuzi/ mpuuzi mean sister?
Si wanifate huko huko mitiniTatizo Evelyn Salt unatongoza wanaume ila wakikubali unaingia mitini
Inasikitisha saana mkuu.Hahahahahaahahaha......... Baba wana wakoo wanaangamia...
Mpwa habari za siku?Na mimi mumeo nipo hapa. Akija, mje naye.
Unajibu vibaya we mdada...but anyway not a case ..usikasilikeGoogle my dear
Mpwa habari za siku?
Salama kabisa ndugu yangu, tunamshukuru MUNGUDah mpwa nawe umepotea aisee...salama lakini!???
Mkuu... huyu ni malkia wa Arachuga. Sifa za chuga si unazifahamu!?
Nipo hapa mkuuMambo, nna shida na wewe ila id yako nmeisahau (nazeeka sasa) na pms nilishafuta, huwa tunaitana "mchepuko wangu" nahisi una avatar ya R kelly
Tafadhali mchepuko ukiona hii msg come kwa pm haraka iwezekanavyo....muwe na siku njema
Nb: nipo serious kuna bishara flani tuliwahi kuongea ndo maana nakutafuta (wapuuzi mbaki na upuuzi wenu)
Ngoja niweke Avatar ya R Kelly fastaMambo, nna shida na wewe ila id yako nmeisahau (nazeeka sasa) na pms nilishafuta, huwa tunaitana "mchepuko wangu" nahisi una avatar ya R kelly
Tafadhali mchepuko ukiona hii msg come kwa pm haraka iwezekanavyo....muwe na siku njema
Nb: nipo serious kuna bishara flani tuliwahi kuongea ndo maana nakutafuta (wapuuzi mbaki na upuuzi wenu)
Acha upuuzi wewe, hii ni CHIT-CHAT babu, masihara ndio mahali pake. Mamie mwali kakamatwa na nyakato...sijui nyegezi kaja kutangaza dili kwa yeyote aliye sharp.Guys mtu ameshatoa rai kuwa anamtafuta kwa sababu maalum afu still watu wanaleta jokes sio vizuri wakuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nazama inbox fasta mchepuko wangu. Huenda baada ya kunibania kwa kipindi kirefu, 'leo' umeona unitunuku!Mambo, nna shida na wewe ila id yako nmeisahau (nazeeka sasa) na pms nilishafuta, huwa tunaitana "mchepuko wangu" nahisi una avatar ya R kelly
Tafadhali mchepuko ukiona hii msg come kwa pm haraka iwezekanavyo....muwe na siku njema
Nb: nipo serious kuna bishara flani tuliwahi kuongea ndo maana nakutafuta (wapuuzi mbaki na upuuzi wenu)