Mashougr mna tabuInasikitisha saana mkuu.
Shem darling sio wewe
Hahahaha hadi nmecheka pole.
Pale mwenye akaunti anapohakiwa na baby wake kisha anatafutwa huyo mhisani mchepuko kwa mtego
Mkuu... huyu ni malkia wa Arachuga. Sifa za chuga si unazifahamu!?
Inabidi uwe tu mpole.
Yaan baada ya Pacha wangu ku mute humu JF unajiachia sana kwa kweli, hii thread lazima niipige screenshot kisha whatsapp ihusike aloo.Shem darling sio wewe
sawa boss(wapuuzi mbaki na upuuzi wenu)
Daaah! Yaani mimi bahati zote zina nipita hivihivi !Mambo, nna shida na wewe ila id yako nmeisahau (nazeeka sasa) na pms nilishafuta, huwa tunaitana "mchepuko wangu" nahisi una avatar ya R kelly
Tafadhali mchepuko ukiona hii msg come kwa pm haraka iwezekanavyo....muwe na siku njema
Nb: nipo serious kuna bishara flani tuliwahi kuongea ndo maana nakutafuta (wapuuzi mbaki na upuuzi wenu)
Update 14:25pm mods naomba mfute huu uzi nshampata, ahsante.
Bwana shemeji, dada yangu umemtoroshea wapi!???
Bwana shemeji dada yako yuko busy tunaelea mapacha wengine, unajua wale wajomba zako wako shule sasa, hivyo tumeleta wajomba wengine wadogo
Basi mfikishie salamu zangu za mwaka mpya na hepi besdei..maana njia zote nilizozijua hazijafanikiwa.