Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 949
- 1,685
Wapendwa habari za muda huu,
Simu yangu ilipata changamoto nika restore sasa baadhi ya vitu vimefutika. Nilikuwa nimehifadhi baadhi ya doc kupitia account ya samsung ila pasword nilisahau inaniambia niingie kwa account ya e-mail
nikifanya hivyo kila nikiweka namba yasiri ya google haikubali inaniandikia "id invald"
Simu yangu ilipata changamoto nika restore sasa baadhi ya vitu vimefutika. Nilikuwa nimehifadhi baadhi ya doc kupitia account ya samsung ila pasword nilisahau inaniambia niingie kwa account ya e-mail
nikifanya hivyo kila nikiweka namba yasiri ya google haikubali inaniandikia "id invald"