We jamaa, nakupenda ujue

We jamaa, nakupenda ujue

anaitwa james asigwa ni mzuri wa sura na weusi wa kuvutia

very intelligent darasani na nje ya darasa matokeo yake ni div one single digit olevel na advance pcm..na chuo ni balaa

very funny mzaha mwingiii lakini serious kwenye mambo muhimu.
...he is the man from lake zone Cc😡asigwa

bora januari ifike murudi vyuoni tuongee mambo ya kikubwa
 
Humu ndani kuna kitu kinanichanganya. Ina maana watu wanajuana phyisicaly au. Kwa sababu unapompenda mtu si inabidi uwe umemuona. Au unampenda mtu kwa comments zake. Kama ni kwa comments sidhani kama kuna love hapo. Muda si mrefu zitakuja mada mpya za Majuto hapa na habari za X kama tulivyoona kwa wengine humu ndani.

Kupenda ni kama kunyoa. Unaanzia popote, unaweza anza kupenda akili baadae umbo halafu sura, vyovyote vile. Hata avatar tunazochagua ni kipimo eti!!
 
Nndiye huyo huyo , naona response yake zero, ngoja nimvagae kwa PM, kutwa mara tatu,

asubuhi PM mbili, mchana mbili, jioni mbili mpaka atalegeza tu, anajifanya hardcore...lol

poa Mchumba!!!

ila akigoma.. niambie nikupe PLAN B!

I think it will be better off than plan A!
 
Last edited by a moderator:
Hapo ndipo nakuwa na wakati mgumu kutambua kweli wanawake wanapenda au wanatamani unaweza penda mtu kwa coments zake.
 
Jamani amakweli bahati ya mwenzio usilalie mlango wazi,sanyengine ukute mtu mwenyewe wala mda hana lakini watu wanajigongaje,jamani mpeni salam huyu mkaka ili aje japo Like amesema yeye ataridhika sio am Pm Like pia itatosha..
 
Kuna yale ya kuokota embe dodo chini ya mchungwa...
 
Back
Top Bottom