We jamaa, nakupenda ujue

We jamaa, nakupenda ujue

Ha ha ha aisee umenikumbusha enzi izo za leMambo club pale Mabibo hostel nilikua sikosi ladie free jtano , alhamisi na jumapili yaani full kubamba vitoto vya buguruni hukoo

Dah haya maisha banaa safari ndefu sana aiseeee

Ha hsaaaa!!!! Na ile kukatiza na Boxer kwenye korido...aiseeeee we Jamaa kiboko
 
Mchumba kazi kwako sasa, ashajulikana, utupe feedback basi km azma yako ishatimia!!Msisahau tu kuvaa condom just incase mkifika hatua hiyo!
 
anaitwa james asigwa ni mzuri wa sura na weusi wa kuvutia

very intelligent darasani na nje ya darasa matokeo yake ni div one single digit olevel na advance pcm..na chuo ni balaa

very funny mzaha mwingiii lakini serious kwenye mambo muhimu.
...he is the man from lake zone Cc😡asigwa

dah kaka unafaa kuwa kuwadi unavyo mremba
 
Wana MMU kuna guy humu ndani yaani nimetokea kumpenda kitambo mno, ngoja tu leo niamue kufunguka.

Jamaa mwenyewe anatumia avatar ya madenge,kila nikilikariri ID yake inanipotea kichwani.

Wajameni naombeni mumfikishie huu ujumbe popote pale alipo kwani anakaumiza haka kamoyo kangu.

Ni mtu wa jokes sana kwenye comments zake kama ilivyo avartar yake, ila inaonekana ni mtu intelligent sana, majukwaa anayopendelea ni MMU, SIASA, UCHUMI, PHOTOS, CHIT CHAT na JOKES.

Nimemuwinda kule kwa wakubwa tangu 2012 nimpe za uso namna anavyonitesa mie ila haonekani.

Naomba mnisaidie kumfikishia huu ujumbe popote pale mtakapomuona.

We jamaa acha kunitesa, nishakupenda ujue.

Kwani Ni nini kazi ya PM, Halaaaah
, ebu muendee huko na nani alikuambia huku kuna kuonana physically?
 
Back
Top Bottom