LILENDI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 1,400
- 497
sio mimi kweli...?
mbona avatar yako sio ya madenge?
sio mimi kweli...?
kuna watu wamebadili avator zao wameweka picha ya madenge.....kazi kwako kumjua origino ni yupi
Mtumie sms invissible sijui ndio wanamuitaa hivyoo, atakupeleka hukoo
Nilikua nawaza hili!!
Nishafika mkuu, ngoja nipitie wasifu wake kwanza,
Si unajua huu msimu wa sikukuu una mengi??
Mmhh!! kaswali kengine kadogo ka mwisho...
Unaongelea uchogo wa kichwa kipi vile???
Pm kwa Invisible akuunganishe
Wana MMU kuna guy humu ndani yaani nimetokea kumpenda kitambo mno, ngoja tu leo niamue kufunguka.
Jamaa mwenyewe anatumia avatar ya madenge,kila nikilikariri ID yake inanipotea kichwani.
Wajameni naombeni mumfikishie huu ujumbe popote pale alipo kwani anakaumiza haka kamoyo kangu.
Ni mtu wa jokes sana kwenye comments zake kama ilivyo avartar yake, ila inaonekana ni mtu intelligent sana, majukwaa anayopendelea ni MMU, SIASA, UCHUMI, PHOTOS, CHIT CHAT na JOKES.
Nimemuwinda kule kwa wakubwa tangu 2012 nimpe za uso namna anavyonitesa mie ila haonekani.
Naomba mnisaidie kumfikishia huu ujumbe popote pale mtakapomuona.
We jamaa acha kunitesa, nishakupenda ujue.
hahaha! Khaaa!! Naona umekuwa host!!
Wana MMU kuna guy humu ndani yaani nimetokea kumpenda kitambo mno, ngoja tu leo niamue kufunguka.
Jamaa mwenyewe anatumia avatar ya madenge,kila nikilikariri ID yake inanipotea kichwani.
Wajameni naombeni mumfikishie huu ujumbe popote pale alipo kwani anakaumiza haka kamoyo kangu.
Ni mtu wa jokes sana kwenye comments zake kama ilivyo avartar yake, ila inaonekana ni mtu intelligent sana, majukwaa anayopendelea ni MMU, SIASA, UCHUMI, PHOTOS, CHIT CHAT na JOKES.
Nimemuwinda kule kwa wakubwa tangu 2012 nimpe za uso namna anavyonitesa mie ila haonekani.
Naomba mnisaidie kumfikishia huu ujumbe popote pale mtakapomuona.
We jamaa acha kunitesa, nishakupenda ujue.
Una uhakika gani ni wanaume?
Angalia tu usije ukakoma wewe...