Ni kama sijaelewa kitu hapa.
Hujaelewa nini?! Mwenzio keshapenda........
Ni kama sijaelewa kitu hapa.
KWENYE RED, hayo ndo mambo yaliyonikosesha bahati hivi hivi.Wana MMU kuna guy humu ndani yaani nimetokea kumpenda kitambo mno, ngoja tu leo niamue kufunguka.
Jamaa mwenyewe anatumia avatar ya madenge,kila nikilikariri ID yake inanipotea kichwani.
Wajameni naombeni mumfikishie huu ujumbe popote pale alipo kwani anakaumiza haka kamoyo kangu.
Ni mtu wa jokes sana kwenye comments zake kama ilivyo avartar yake, ila inaonekana ni mtu intelligent sana, majukwaa anayopendelea ni MMU, SIASA, UCHUMI, PHOTOS, CHIT CHAT na JOKES.
Nimemuwinda kule kwa wakubwa tangu 2012 nimpe za uso namna anavyonitesa mie ila haonekani.
Naomba mnisaidie kumfikishia huu ujumbe popote pale mtakapomuona.
We jamaa acha kunitesa, nishakupenda ujue.
Jaman hata kuna wanaume wawili humu nawapenda kweli japo siwajui lakin napenda maneno yao mmoja ni..........nashindwa hata kumsema wawili siku nikiwabahatisha watanikomajeeeeee
haya dada nitabadili jina. kabla sijabadili naomba unijibu hili. msaada vp kuna jukwaa la wakubwa hapa JF na kama lipo mnalipataje maana silioniNa wewe badili hiyo avatar au weka jina black man hunion mim dada yakoo
utawaweza wote 2? na watakukoma kivipi?Jaman hata kuna wanaume wawili humu nawapenda kweli japo siwajui lakin napenda maneno yao mmoja ni..........nashindwa hata kumsema wawili siku nikiwabahatisha watanikomajeeeeee
haya dada nitabadili jina. kabla sijabadili naomba unijibu hili. msaada vp kuna jukwaa la wakubwa hapa JF na kama lipo mnalipataje maana silioni
utawaweza wote 2? na watakukoma kivipi?
Nndiye huyo huyo , naona response yake zero, ngoja nimvagae kwa PM, kutwa mara tatu,
Wanaopenda kwa kuona ni wanaume, ladies tunaongozwa na hisia tu.Humu ndani kuna kitu kinanichanganya. Ina maana watu wanajuana phyisicaly au. Kwa sababu unapompenda mtu si inabidi uwe umemuona. Au unampenda mtu kwa comments zake. Kama ni kwa comments sidhani kama kuna love hapo. Muda si mrefu zitakuja mada mpya za Majuto hapa na habari za X kama tulivyoona kwa wengine humu ndani.
Hii kitu most men hawajui,Wengine tunafall in love na akili ya mtu na sio sura wala shape. Inawezekana kumpenda mtu kwa comments bila kumjua.
Hivi inakuwaje jamani mbona mimi sizipati bahati kama hizi?
Kweli upele humpata asiye na kucha.
Wana MMU kuna guy humu ndani yaani nimetokea kumpenda kitambo mno, ngoja tu leo niamue kufunguka.
Jamaa mwenyewe anatumia avatar ya madenge,kila nikilikariri ID yake inanipotea kichwani.
Wajameni naombeni mumfikishie huu ujumbe popote pale alipo kwani anakaumiza haka kamoyo kangu.
Ni mtu wa jokes sana kwenye comments zake kama ilivyo avartar yake, ila inaonekana ni mtu intelligent sana, majukwaa anayopendelea ni MMU, SIASA, UCHUMI, PHOTOS, CHIT CHAT na JOKES.
Nimemuwinda kule kwa wakubwa tangu 2012 nimpe za uso namna anavyonitesa mie ila haonekani.
Naomba mnisaidie kumfikishia huu ujumbe popote pale mtakapomuona.
We jamaa acha kunitesa, nishakupenda ujue.
Nishafika mkuu, ngoja nipitie wasifu wake kwanza,Anaitwa asigwa embu njoo huku unapendwa wahi bahati haiji mara mbili