Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,491
- 3,998
Hawa ni moja ya watu waliotumia akili na maarifa kugundua vitu:
1. Isaack Newton
2. Albert Einstein
3. Stive Jobs
4. Eric Yuan
5. Sergey Brin na Larry Page
Hawa ni moja ya waafrika (black) waliovunja rekodi za dunia kwa vipaji vyao.
1. Edison Arantes do Nascimento[Pele] kwenye (mchawi wa soka)
2. Michael Jackson (mfalme wa pop) (music)
3. Michael Jordan (kikapu)
4. Muhammed Ali (ngumi)
5.......
Kwenye suala la vipaji kuvunja rekodi basi Waafrika tuna vipaji vya kuzaliwa na nguvu sana.
Ulishawahi kufanya uchunguzi kwenye vitu hivi?
1. Isaack Newton
2. Albert Einstein
3. Stive Jobs
4. Eric Yuan
5. Sergey Brin na Larry Page
Hawa ni moja ya waafrika (black) waliovunja rekodi za dunia kwa vipaji vyao.
1. Edison Arantes do Nascimento[Pele] kwenye (mchawi wa soka)
2. Michael Jackson (mfalme wa pop) (music)
3. Michael Jordan (kikapu)
4. Muhammed Ali (ngumi)
5.......
Kwenye suala la vipaji kuvunja rekodi basi Waafrika tuna vipaji vya kuzaliwa na nguvu sana.
Ulishawahi kufanya uchunguzi kwenye vitu hivi?