Wazungu ni binadamu daraja la kwanza

Wazungu ni binadamu daraja la kwanza

Wewe mwenye hiyo uzi inaonekana akili zako hazina akili,wanasaidia kitu gani,eti wanakusaidia sh100 halafu wanaondoka na sh 1000000 zako,usiwe mjinga,baada ya kututawala na kuwaua waafrika wengi leo unasema ni watu wazuri?
 
Hawana level yeyote ya kituzidi inategemea wewe unaelewa nini maana ya maendeleo! Sisi tumegeukia mfumo wao wa kiuchumi na unachokiita maendeleo kwa vile dhambi ya vizazi vetu vilivyopita kuona ya kuwa wazungu ni superior. Kumbuka walikuja kwa gear ya ukristo na wao pia injili ilikuwa imepelekwa kwao! Sasa ili kuleta wizi ilibidi wachomekee ustaarabu wao ili kuziba maovu yao. Sintakubali kamwe kukubali kuwa wazungu ni bora mpaka watakapokubali hadharani kupinga ushoga na usagaji! Kwa bahati mbaya wazungu hawakubali ila warusi,waarabu na waisraeli wanajeuri ya kuupinga lakini sio mjerumani muingereza mswidi na mmarekani! Chunguza!
wewe umeona ushoga tu? na cc vita vya cc kwa cc, mauaji ya vikongwe /albino, njaa, serikalimbovu,mila za ajabu ajabu? basi tupe kipimo cha maendeleo chako wewe tukione.
 
Utaelewa maana ya open source.?
Hakuna kitu kilichofanywa na Mzungu tu, Leo ukisikia Apollo inaenda outerspace au mwezini, pale NASA kuna watu weusi mabingwa weñgi tu na top na wengine wamezaliwa afrika tena vijijini. Tanua uelewa kidogo tu utakutana na mengi.
Mkuu bado tunarudi pale pale, hiyo NASA ni ya Wamarekani sasa kama sisi waafrika tungekuwa intelligent enough, basi tungekuwa na "NASA" yetu huku huku afrika tunayoiendesha wenyewe bila mzungu na tungeshapeleka vyombo vingi tu huko kwenye outer space..., hao waafrika wataalamu waliopo NASA walikwenda huko wakakuta tayari NASA ipo na wakawa trained kuweza kufanya kazi huko lakini hiyo NASA na utaalamu wote wa kugundua na kutengeneza hivyo vyombo aliuanzisha nani?? Mdhungu!!
 
wewe umeona ushoga tu? na cc vita vya cc kwa cc, mauaji ya vikongwe /albino, njaa, serikalimbovu,mila za ajabu ajabu? basi tupe kipimo cha maendeleo chako wewe tukione.
Kipimo cha maendeleo yangu ni kuwa sina tongo tongo zako! Tatizo wewe unafikiria ndani ya boksi! Unaelewa hao unaowaita ni wastaarabu wamepitia hayo yote? Wametoana kafara wametoana roho wameua wenzao kwa ajili ya mali na ardhi na mpaka sasa hivi wanaua watu wakidai wanaowaua wana silaha za maangamizi kumbe babu zao waligombana na hao watawala!. Hawataki wanaofikiri tofauti nao mfano Cuba, Venezuela,Zimbabwe nk. Kwa vile wewe haujui historia yao na vimisaada waliyokupa ukaweza kununua ka gari kako ka mtumba kwenye mgongo ya wasionacho wewe unawaona wastaarabu! Kweli limbukeni hana heri!
 
Kipimo cha maendeleo yangu ni kuwa sina tongo tongo zako! Tatizo wewe unafikiria ndani ya boksi! Unaelewa hao unaowaita ni wastaarabu wamepitia hayo yote? Wametoana kafara wametoana roho wameua wenzao kwa ajili ya mali na ardhi na mpaka sasa hivi wanaua watu wakidai wanaowaua wana silaha za maangamizi kumbe babu zao waligombana na hao watawala!. Hawataki wanaofikiri tofauti nao mfano Cuba, Venezuela,Zimbabwe nk. Kwa vile wewe haujui historia yao na vimisaada waliyokupa ukaweza kununua ka gari kako ka mtumba kwenye mgongo ya wasionacho wewe unawaona wastaarabu! Kweli limbukeni hana heri!
sasa lwa kuto kua na tongo tongo umeisaidia nn Africa yako? na hizo kafara zipo Europe tu? cc weusi hatuuwani kwa sababu ya mali na madaraka? mfano Kenya, Liberia, Burundi, Congo South Sudan tumulaumu mzungu pia?
 
wewe mwenyewe hio avatar pic yako ni ya mzungu! Sasa bado una bisha tu
Ha ha ha haaaa yeuuuuuwi yani watu wanajifanya wabishi tu lakini ukweli wanaujua hadi mioyoni mwao kwamba mdhungu ni noma.....
Kwanini aweke mdhungu kwenye avatar??
 
sasa lwa kuto kua na tongo tongo umeisaidia nn Africa yako? na hizo kafara zipo Europe tu? cc weusi hatuuwani kwa sababu ya mali na madaraka? mfano Kenya, Liberia, Burundi, Congo South Sudan tumulaumu mzungu pia?
Ninachopinga ni kauli kuwa eti wazungu ni 1st class. Kuna mtoa mada kasema wote (waafrika,wazungu wahindi n.k) wako sawa huyo ndi namuunga mkono. Ninaisaidia Afrika yangu watu wajue kuwa wazungu sio miungu na wala sio dawa ya matatizo yetu.
 
Ninachopinga ni kauli kuwa eti wazungu ni 1st class. Kuna mtoa mada kasema wote (waafrika,wazungu wahindi n.k) wako sawa huyo ndi namuunga mkono. Ninaisaidia Afrika yangu watu wajue kuwa wazungu sio miungu na wala sio dawa ya matatizo yetu.
apo ni kwel ame overrate lkn ukweli ni kwamba we Africans have a problemz na ni la kutoka vizazi mpk vizazi
 
Du Umekurupuka kijana.Hapa duniani hakuna mtu mwenye huruma kiasi cha kuwafikiria wazungu kuwa tofauti,Suala la huruma au kumsaidia mtu halitegemei rangi wala kabila ila ni suala la uchumi ambapo ukiishi kwa kuheshimu kanuni ya kutumia kidogo na si zaidi ya unachopata kwa miaka mingi bila kuongeza idadi ya walaji,Ni lazima utakuwa na ziada ambayo kama ukiiwekeza itaendelea kuzaa faida zaidi na kukufanya kuwa na uwezo wa kujihudumia mwenyewe na inapobidi kutoa msaada.Sijui umekutana na wazungu wa wapi lakini nikuhakikishie kwa asilimia 100,hao unaowaona kuja hapa Afrika wamejibana sana au wamekuja kwa mgongo wa kiserikali na hivyo kuonekana wanazo au wana huruma sana lakini wazungu wa hali ya chini ambao nimeshuhudia kwa miaka 10 niliyokaa ulaya wana hali mbaya na hawana kipato zaidi ya kusaidiwa na serikali zao kupitia hifadhi za jamii.Ukisikia watu wanakufa majira ya baridi,fikiria mara mbili kisha waulize hao hao unaowasifia,inakuwaje mtu afe kwa baridi wakati wana uwezo zaidi? Usijidharau kijana,Umasikini ukiwepo popote hakuna ujanja,awe mzungu,mhindi au mchina ni roho mbaya tu hutawala.
 
Mkuu bado tunarudi pale pale, hiyo NASA ni ya Wamarekani sasa kama sisi waafrika tungekuwa intelligent enough, basi tungekuwa na "NASA" yetu huku huku afrika tunayoiendesha wenyewe bila mzungu na tungeshapeleka vyombo vingi tu huko kwenye outer space..., hao waafrika wataalamu waliopo NASA walikwenda huko wakakuta tayari NASA ipo na wakawa trained kuweza kufanya kazi huko lakini hiyo NASA na utaalamu wote wa kugundua na kutengeneza hivyo vyombo aliuanzisha nani?? Mdhungu!!
Ungesoma majibu katika post endelevu.
Kama NASA ni project ya marekani requirement ya watu Wa kurun mradi au washikaji dau haina mipaka ya rangi ya mtu. Huwezi kukataa kusaidia marekani ujuzi eti hadi ufanye kwako kwanza. Sisi wakati priority yetu ilikuwa sio NASA ni vitu vingine
 
Sasa kama ni hivyo kwanini waliweza kuja kwetu kututawala na wala si sisi kuwahi kwenda kwao?? Sisi tumebaki nyuma na wao wameendelea kuwa mbele daima kwa kila kitu?? Kuna wanaosema kwamba wazungu walipokuja kututawala waliiba utajiri mwingi sana na kuuhamishia kwao ulaya na sisi kubaki masikini lakini hoja hiyo haina mashiko kabisa kwani wazungu hawakubeba kila tulichokuwa nacho, tumeendelea kubaki na utajiri mwingi tu, maliasili, madini wanyama, nk. Hata marekani wenyewe walitawaliwa na waingereza, wafaransa, wahispaniola, lakini mbona walipopata uhuru walikuja kuendelea...

Kila kizuri cha kimaendeleo kinatoka kwao tumeiga mambo yao mengi sana elimu wao ndo walileta, jinsi ya kuendesha siasa, uchumi, nk vyote tumeyatoa kwao?? Kuna usawa gani hapo??
Wajameni kuna mambo ambayo mtu huwezi kukataa hata iweje, lazima tukubali tu kwamba sote tu binadamu lakini binadamu wenzetu weupe ni level nyingine.. walishatuzidi tu hakuna namna..
Kila mtu bila kujali rangi alishamtawala mwenzake kwa vipindi tofauti. Tatizo tulifundishwa historia ya kutawaliwa watu weusi. Hujasoma wazungu zaidi ya milioni moja walivyotenkwa na kuuza kama watumwa Africa kaskazini karne ya kumi na sita.
Narudia. Rangi sio sababu ya kufanya kiumbe hai binadamu ni bora kuliko mwenzake.
Hata wewe ukiamua kuwa bora Leo hakuna Mzungu atakayekufikia.
Nitumie vitu vitatu ambacho Mzungu anakuzidi hata ufanyeje wewe huwezi kumfikia.
 
Mtoa mada akapimwe akili. Hakuna kitabu chochote cha Mungu kinachosema watu wa aina fulani ni bora zaidi ya wengine.

Kwa Mungu hakuna matabaka. Hatubagui. Wote... Rangi, kabila, dini, jinsia, tu wake.

Alokupa weye ruksa ya kudhalilisha watu wengine kwa kusema wazungu ndio bora zaidi ni nani?

Ungejua jinsi wazungu wanavyojiona hafifu kuliko sisi Waafrika usingeyatamka haya.

[HASHTAG]#FichaUpumbavuWako[/HASHTAG]
[HASHTAG]#OneshaHekimaZako[/HASHTAG]
 
Unahitaji kua na High IQ ili kumuelewa mzungu,
Nakusikitikia sana mtoa mada na wote wanaokusapoti,

[HASHTAG]#Emancipate[/HASHTAG] Yourself from Mental Slavery#
 
Unahitaji kua na High IQ ili kumuelewa mzungu,
Nakusikitikia sana mtoa mada na wote wanaokusapoti,

[HASHTAG]#Emancipate[/HASHTAG] Yourself from Mental Slavery#
badil hio avatar yako alf usimamame kwenye maneno yako vinginevyo ni blah blah blah blah
 
Najua wazi kuwa, wengi Sana mtanipinga humu.
Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu.
Sisi sote ni wanadamu lakini ukweli ni kuwa tuna tofauti kubwa Sana kulingana na jinsi tulivyoumbwa.
Tabia za wahindi ni tofauti na tabia za weusi.
Tabia za wachina ni tofauti na tabia za wazungu.

Wazungu ndo wanabaki kuwa wanadamu walio daraja la kwanza ktk utu.
Pamoja na mapungufu yao makubwa Sana waliyo nayo,bado viumbe hawa huwezi kuwalinganisha na wahindi, wachina, na waarabu.

Wana roho nzuri Sana zenye utu, wana huruma Sana, mambo mengine inabakia kasoro za kibinadamu tu ambazo kila mtu anazo.

Huwa mara nyingi Sana najiuliza, hivi bara la Africa lingekuwa juu kiuchumi Kama ulaya na Marekani, halafu wao wakawa chini kiuchumi, Kwa roho mbaya na ukatili tulionao sisi weusi sidhani kama tungekuwa tunawasaidia kama wafanyavyo kwetu.

Bahati nzuri Sana sijakurupuka tu kuleta hii mada, nimekaa na wazungu wa mataifa tofauti.
Nimekaa na wahindi na wachina na kufanya nao kazi sehemu pamoja na weusi wenzangu ambao ndo nashinda nao kila siku.

Hakika wazungu ni bora kuliko maelezo.

Hawana ubaguzi mkubwa wa rangi kama walionao, wahindi, wachina, na waarabu.

Sisi watu weusi mara nyingi Sana tunaoleana na wazungu, hebu jaribu Kwa wahindi, waarabu na wachina ukione cha moto.

Mweusi akiwa na pesa anawaza anasa na kuongeza mke wa pili au kuwa na vimada lukuki.

Wazungu wakiwa na pesa wanajiuliza nani ana shida wamsaidie.

Wahindi wakiwa na pesa ndo wanazidi kuwa na roho mbaya na dharau na kuzipeleka Canada na UK ama kwao India ila siyo kutengeneza mzunguko zaidi wa pesa ndani ya nchi.

Wachina ni bahili Sana na ni makatili.
Ndo maana Mungu aliamua kuwabariki mataifa ya kizungu.

Kila jambo huwa na maana yake, hebu jaribu kufikiria, ingekuwaje Kama Marekani, Uingereza, Urusi, Ufaransa, Ujerumani, Canada na n. k, endapo nguvu walizonazo wangekuwa nazo mataifa ya kiarabu?

Nadhani dunia ingelia kilio cha mbwa.

Hakika Mungu ni muweza Sana.

May God continue to bless those nations.

Ikulu ya Marekani ambako maamuzi ya dunia hufanyika.
naunga mkono hoja
 
Sisi wote tupo sawa bali tuna rangi tofauti na fikra tofauti na kuhusu weusi tupo daraja la mwisho labda ww ndo upo daraja la mwisho,jisemee ww mwenyewe
Kwani uongo?kwani we si mtu wa dunia ya tatu?
 
Back
Top Bottom