AI BRAINFULL
JF-Expert Member
- Oct 31, 2019
- 1,511
- 3,805
Kama wanyama flani wapo na aina zao kwanini isitambuliwe kwa binadamu pia?
Tunaona ng'ombe wapo katika types tofauti, nguruwe, mbwa, kuku, tembo nk. Kwanini binadamu tusiwepo kwenye types tofati kama wazungu,wachina,waafrika,wahindi,waarabu,japani atakama wote ni binadamu ila ata kwa macho tu tunaona tumetofautiana sana ingawaje dini na sayansi zinatuambi binadamu tupo sawa
Tunaona ng'ombe wapo katika types tofauti, nguruwe, mbwa, kuku, tembo nk. Kwanini binadamu tusiwepo kwenye types tofati kama wazungu,wachina,waafrika,wahindi,waarabu,japani atakama wote ni binadamu ila ata kwa macho tu tunaona tumetofautiana sana ingawaje dini na sayansi zinatuambi binadamu tupo sawa