Muendelezo ya dunia hii ikiwepo technology yanamkono Wa mtu karibu kila race.hata App bado formula ni zao tu
Unavyoongea ni dhahiri huwafahamu wazungu. Wewe ni almanusura (victim) wa ukoloni mamboleo.Kiroboto21 na Rungu ukweli unauma...
unajichanganya bure hata hio udsm bado ni mali ya mzungu , hizo open source ni formula za mzungu wanachokifanya ni kutembelea ndani ya idea ya mzungu ni sawa na kuchonga sofa baada ya kuona kochi ni mulemuleOS kuna vijana walitengeneza OS pale usdm.
Hata wewe ukiwa interested Unaweza tengeneza OS kwa platform ya LINUX au UBUNTU(hizi ni open source).
China, Russia, north korea, wahindi baadhi hata wewe Unaweza kutengeneza OS.
Haina uhusiano wowote na Mzungu. Hizi ni excuse za karne ya 19.
Kubali kuwa uko hivyo kwa sababu umeamua au uvivu. Ideal human being Hana rangi. Wala outside appearance ikiwepo rangi haina uhusiano wowte na mind capacity.
Wazungu wamekufanya ujione hivyo ili wakutawale
Kweli wazungu siwafahamu sana ila hii kitu internet inanisaidi kuwafahamu! Wachina angalau nawafahamu na nimefika uchina. We have the longway to go!Unavyoongea ni dhahiri huwafahamu wazungu. Wewe ni almanusura (victim) wa ukoloni mamboleo.
Jaribu kutembea, kuishi, kuzaa na kujichanganya na wazungu ili upanue wigo wako wa uelewa. Huna haja ya kujiona duni kiasi hiki katika dunia ya leo.Kweli wazungu siwafahamu sana ila hii kitu internet inanisaidi kuwafahamu! Wachina angalau nawafahamu na nimefika uchina. We have the longway to go!
Wewe ndo unaweza kufanya cha afrika kama utaacha tu kushokea vya wazungu. Tatizo lenu mnapenda vya kutafuniwaCha waafrika ni kipi?
Utaelewa maana ya open source.?unajichanganya bure hata hio udsm bado ni mali ya mzungu , hizo open source ni formula za mzungu wanachokifanya ni kutembelea ndani ya idea ya mzungu ni sawa na kuchonga sofa baada ya kuona kochi ni mulemule
hao weusi wachunguze kma wamesoma udom kaka and how come wakatumike uko NASA wkt ata Africa tuna wahitaji ?issue ya open source naijua vzur tena naweza kukupa mpk history yake lkn ni mzungu ndio ka Engineer hio kituUtaelewa maana ya open source.?
Hakuna kitu kilichofanywa na Mzungu tu, Leo ukisikia Apollo inaenda outerspace au mwezini, pale NASA kuna watu weusi mabingwa weñgi tu na top na wengine wamezaliwa afrika tena vijijini. Tanua uelewa kidogo tu utakutana na mengi.
Hivi vita vya kumkomboa mwafrika kifikra vimepoteza damu ya watu weñgi. Martin Luther King Jr inaonekana alipoteza muda wake bure. Wazungu walimuelewa wakampa Obama awaongoze, Leo Ben Carson ananafasi ya kupeperusha bendela ya democratic, Italy pmj na akili zao mbovu za kibaguzi waziri wao mmoja ni mwanamke mweusi kuliko hata wewe.unajichanganya bure hata hio udsm bado ni mali ya mzungu , hizo open source ni formula za mzungu wanachokifanya ni kutembelea ndani ya idea ya mzungu ni sawa na kuchonga sofa baada ya kuona kochi ni mulemule
Chief designer Wa supercomputer na uwezo wake mkubwa Wa kusolve complex mathematical calculations aliweza kuvumbua most powerful cpu ambayo inatuwezesha Leo kuchat humu na anatambulishwa kama baba Wa internet.hao weusi wachunguze kma wamesoma udom kaka and how come wakatumike uko NASA wkt ata Africa tuna wahitaji ?issue ya open source naijua vzur tena naweza kukupa mpk history yake lkn ni mzungu ndio ka Engineer hio kitu
kabla hujaja kuandika hapa unge reason kwa maswali yafuatayo;Najua wazi kuwa, wengi Sana mtanipinga humu.
Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu.
Sisi sote ni wanadamu lakini ukweli ni kuwa tuna tofauti kubwa Sana kulingana na jinsi tulivyoumbwa.
Tabia za wahindi ni tofauti na tabia za weusi.
Tabia za wachina ni tofauti na tabia za wazungu.
Wazungu ndo wanabaki kuwa wanadamu walio daraja la kwanza ktk utu.
Pamoja na mapungufu yao makubwa Sana waliyo nayo,bado viumbe hawa huwezi kuwalinganisha na wahindi, wachina, na waarabu.
Wana roho nzuri Sana zenye utu, wana huruma Sana, mambo mengine inabakia kasoro za kibinadamu tu ambazo kila mtu anazo.
Huwa mara nyingi Sana najiuliza, hivi bara la Africa lingekuwa juu kiuchumi Kama ulaya na Marekani, halafu wao wakawa chini kiuchumi, Kwa roho mbaya na ukatili tulionao sisi weusi sidhani kama tungekuwa tunawasaidia kama wafanyavyo kwetu.
Bahati nzuri Sana sijakurupuka tu kuleta hii mada, nimekaa na wazungu wa mataifa tofauti.
Nimekaa na wahindi na wachina na kufanya nao kazi sehemu pamoja na weusi wenzangu ambao ndo nashinda nao kila siku.
Hakika wazungu ni bora kuliko maelezo.
Hawana ubaguzi mkubwa wa rangi kama walionao, wahindi, wachina, na waarabu.
Sisi watu weusi mara nyingi Sana tunaoleana na wazungu, hebu jaribu Kwa wahindi, waarabu na wachina ukione cha moto.
Mweusi akiwa na pesa anawaza anasa na kuongeza mke wa pili au kuwa na vimada lukuki.
Wazungu wakiwa na pesa wanajiuliza nani ana shida wamsaidie.
Wahindi wakiwa na pesa ndo wanazidi kuwa na roho mbaya na dharau na kuzipeleka Canada na UK ama kwao India ila siyo kutengeneza mzunguko zaidi wa pesa ndani ya nchi.
Wachina ni bahili Sana na ni makatili.
Ndo maana Mungu aliamua kuwabariki mataifa ya kizungu.
Kila jambo huwa na maana yake, hebu jaribu kufikiria, ingekuwaje Kama Marekani, Uingereza, Urusi, Ufaransa, Ujerumani, Canada na n. k, endapo nguvu walizonazo wangekuwa nazo mataifa ya kiarabu?
Nadhani dunia ingelia kilio cha mbwa.
Hakika Mungu ni muweza Sana.
May God continue to bless those nations.
Ikulu ya Marekani ambako maamuzi ya dunia hufanyika.
hatukatai kua weusi tunaweza lkn wenzetu wametuzid mambo mengine tutabisha tu ila numbers don't lie, jiulize kma 1386 Germany wana The Ruprecht-Karls-Universität Heidelberg(Heidelberg University chuo kikuu hicho cc tulikua wap?Hivi vita vya kumkomboa mwafrika kifikra vimepoteza damu ya watu weñgi. Martin Luther King Jr inaonekana alipoteza muda wake bure. Wazungu walimuelewa wakampa Obama awaongoze, Leo Ben Carson ananafasi ya kupeperusha bendela ya democratic, Italy pmj na akili zao mbovu za kibaguzi waziri wao mmoja ni mwanamke mweusi kuliko hata wewe.
Acha fikra mbovu, utawapa watoto wako urithi mbovu sana Wa uoga.
Umewahi kusikia kuhusu Timbuktu?...jiulize kma 1386 Germany wana The Ruprecht-Karls-Universität Heidelberg(Heidelberg University chuo kikuu hicho cc tulikua wap?
Mipaka ya dunia haiko kwa rangi Bali ni bahari na milima. Uwezo wako utatumia popote duniani utakapohitajika. Hata hiyo simu au pc unayotumia hiyo battery imevumbuliwa na mwafrika. Hata maandishi haya yamevumbukiwa na mwafrika.hao weusi wachunguze kma wamesoma udom kaka and how come wakatumike uko NASA wkt ata Africa tuna wahitaji ?issue ya open source naijua vzur tena naweza kukupa mpk history yake lkn ni mzungu ndio ka Engineer hio kitu
Egypt wamekuwa na vyo vya kutrain viongozi na mafarao miaka Mara mbili ya hiyo iliyopita.hatukatai kua weusi tunaweza lkn wenzetu wametuzid mambo mengine tutabisha tu ila numbers don't lie, jiulize kma 1386 Germany wana The Ruprecht-Karls-Universität Heidelberg(Heidelberg University chuo kikuu hicho cc tulikua wap?
Timbuktu... MALI EMPIRE!!!hatukatai kua weusi tunaweza lkn wenzetu wametuzid mambo mengine tutabisha tu ila numbers don't lie, jiulize kma 1386 Germany wana The Ruprecht-Karls-Universität Heidelberg(Heidelberg University chuo kikuu hicho cc tulikua wap?