Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,797
- 22,357
Kwel kabisaa..kwenye kipind kama hik better angekua anafanya kitu hata kwa udogo, 8 years angekua angalau ameshapata idea kwamba muelekeo wangu ni huu na sio uleNakumbuka 2015 kuna dogo rafiki angu alikuwa analala nje kariakoo ila saivi ana duka la simu pale agrey kajitafuta kajipata yan hiyo miaka ni mingi ukiwa una ishue unafanya unaweza ukajipata masta aaah NOMA SANA MASTA
Sio wote kaka.Hii ni common principle kwa watu ambao wan history za kupambana sana au kusahau walipotoka. Most of the people wenye mind hiz wanakufaga wapweke sana. Na wakifikisikaga wanapotea mazima.
Be exposed to other experience, enjoy it to the fullest
Mkuu nitafanikiwa kweli Nijenge ninunue usafiri na nisomeshe wanangu shule nzuri kweliHao unaotaka kuwafata nao wana ndugu zao mtaani hawana hizo ajira!
Tatizo lako hutaki kukubaliana na uhalisia kwamba hizo ajira hazipo, wewe kichwani unawaza kwamba zipo na watu wanakubania tu!
Ila naona huu ni mwanzo tu, muda si mrefu graduates akili zitawakaa sawa na ndiyo utakuwa mwanzo wa kupiga hatua kufafikia maendeleo ya kweli!
Yeaah man, daaah hatari sana mkuu ndio mana me nliachaga kuwachulia watu poa , watu wanapitia mazito mkuuKwel kabisaa..kwenye kipind kama hik better angekua anafanya kitu hata kwa udogo, 8 years angekua angalau ameshapata idea kwamba muelekeo wangu ni huu na sio ule
Uko sahihi chief.Yeaah man, daaah hatari sana mkuu ndio mana me nliachaga kuwachulia watu poa , watu wanapitia mazito mkuu
Tuma ata kwenye email ya ikuluKutokana na changamoto ya ajira serikalini na private sector nimepata wazo la kwenda Kwa mkuu wa wilaya nikajieleze kule akishindwa nitaenda Kwa mkuu wa mkoa huko ikiwa shida nawaza niende utumishi na vyeti vyangu nikalie huko kwa watanzania wenzangu huenda wakanisaidia na Mimi nikaingia kwenye system.
Ikishindikana naenda Kwa Paul Makonda Ndo hayo tuu wakuu je, inawezeka wakanisikiliza maana ndo wazo langu Hilo limenijia wakati nipo kwenye meditation/tafakuri.
Natanguliza shukrani
Hahaha hii hapanaTuma ata kwenye email ya ikulu
Motivational speaker katika ubora wakoAcha kujidharilisha na kujichoresha. Usipende kutafuta sympathy mkuu. Anzia ulipo na pia anza na chochote kwa kujiajiri.
Mkuu kwa sasa kupata nafasi ya kujitolea ni kama kuomba ajira tu. Kama una connection mbili tatu msaidie apate iyo nafasi ya kujitoleaNi kweli, lakini pia kwa nini asiende kwenye Taasisi mbalimbali za private ama government ambazo zinahusika na masuala aliyo somea.zilizopo katika eneo lake akaomba kujitolea,ili kuongeza uwezekano wa kupata ajira pale zinapo tangazwa. Ingawa pia anaweza kulipwa nauli na posho ndogo ndogo akiwa anajitolea.
Waziri wa maokoto uyoWa kuhamia Burundi ni yupi
Mkuu waweza nipasia Hilo deal?Sawa usikate tamaa mkuu, sio lazma upate kaz ya koz yako, niliulza komb ili nijue kama ungekua umesoma komb za pcm au pcm au Egm nngekutaftia conn hata ya ualimu prvate.ila uskate tamaa hasa kama bado haujafika 32
Mkuu samahn hua siingii sana jf wiki hii, alihitajika mwal wa physics shule moja, nitaulza kma had jana walikua wamepata,ww unafundsha masom gnMkuu waweza nipasia Hilo deal?
Huko redioni wanaenda wenye ulemavu wew Kama mzima unda tatizo Kisha sema umesoma watu ndo wakusaidie la sivyo hukubaliwi na media yeyote kueleza hio habari....au Kama vipi mwakani jiunge jkt kujitolea utapata stadi za maisha utajiajiriNenda kwenye Redio yenye wasikilizaji wengi mfano Clouds FM, Wasafi FM, EFM, etc omba wakufanyie kipindi jieleze km ulivyojieleza kwenye mada yako hii omba watu wakupe kazi au ajira, watu wengi wanahitaji watu wakuwafanyia kazi Ila kuwafikia ndio mtihani ukiacha namba mchezo umeisha, hapo bado hujaelewa?
Siwezi kujitolea jkt nipo over 25Huko redioni wanaenda wenye ulemavu wew Kama mzima unda tatizo Kisha sema umesoma watu ndo wakusaidie la sivyo hukubaliwi na media yeyote kueleza hio habari....au Kama vipi mwakani jiunge jkt kujitolea utapata stadi za maisha utajiajiri
Hujaamua tu ,watu wanajitolea na 28 wanapata kaz na 32 ,sembuse 25Siwezi kujitolea jkt nipo over 25