Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
Labda Tanesco ijitokea kabisa kwenye kuzalisha ibakie kama jina lake linavyosema "Tanzanie electricity "supply" corporation" Wabakie kwenye ugavi. Yaani, wazalishaji wakodishe njia za tanesco kusambaza umeme; badala ya tanesco kuwalipa kununua umeme, tanesco ilipwe kusambaza umeme unaozalishwa na hao IPPs.. Hapo mtaona watakavyokimbia watu!