Wazo la kuanzisha Ben Saanane Trust Fund (BSTF)

Wazo la kuanzisha Ben Saanane Trust Fund (BSTF)

Duh kumbe Madeline hakupatikana hadi Leo??? Hii story niliifuatilia sana kipindi Fulani Niko home, Mama Yangu aliumia sana na ikawa Channel ten walikua wanajiunga na Sky news nadhani kila SAA mbili asubuhi.... Ben tunakuombea
 
Zile ahadi baada ya msiba wa marehemu mawazo mlizikamilisha?Mtoto wake bado mnamsomesha au ilikuwa ahadi hewa?Tuanzie hapo kwanza...
Ona akili zetu hizi....kupotea kwa Ben kunaweza kumpata yoyote yule. Ccm msijione mpo Salama kwakua mpo CCM
 
We kama unaona halikuhusu kaa pembeni tunaojitambua tutamtafuta tu.kama unaona kajificha basi katuoneshe ili tujue ni mzima au la!!
We unahangaika nini wakati hata viongozi wake hawahangaiki? ?? Kijana vipi we unawaza kupiga hela tu. Pesa zitawaueni wajameni
 
Ni wazo zuri, lakini kabla ya hilo yafuatayo ni lazima yatimie:

1. Hatma ya beni lazima ijulikane, na sheria ifuatwe, a person has yo be declared lost or else. Taasisi muhimu lazima zitoe hilo tangazo.
2. Uchunguzi ufanyike, toka akosekane wahusika kama muajiri wake, ndugu zake, mke au mpenzi wake, maragiki zake, jirani zake nk, wote wahusishwe kwenye Uchunguzi. Walitoa taarifa muda gani baada ya kupitea ndugu Ben?
3. Police wamuite mwaajiri wake arudi nchini kujibu hoja na kuisaidia police kumtafuta na kujua ukweli.

Sasa baada ya hayo na mengine yakisha timia na ndugu Ben ikasemekana kapotea ndipo tunaweza kuliangalia jambo hili la Fund.

Mwajiri wake arudi nchini!!??

Huyu mwajiri wake ni mtu binafsi ama taasisi?

Nijuavyo mimi huyu ni mwajiriwa wa taasisi iitwayo CHADEMA.

Sasa, katika hii pointi unaweza kutuambia kuwa CHADEMA imesafiri iko nje hata iitwe kuja kutoa maelezo?
 
Mwajiri wake arudi nchini!!??

Huyu mwajiri wake ni mtu binafsi ama taasisi?

Nijuavyo mimi huyu ni mwajiriwa wa taasisi iitwayo CHADEMA.

Sasa, katika hii pointi unaweza kutuambia kuwa CHADEMA imesafiri iko nje hata iitwe kuja kutoa maelezo?
Mkuu bado watu wanafikiri Chadema ni Mbowe hawajui leo kuna vikao vya kichama vinaendelea nchi nzima.
 
Mwajiri wake arudi nchini!!??

Huyu mwajiri wake ni mtu binafsi ama taasisi?

Nijuavyo mimi huyu ni mwajiriwa wa taasisi iitwayo CHADEMA.

Sasa, katika hii pointi unaweza kutuambia kuwa CHADEMA imesafiri iko nje hata iitwe kuja kutoa maelezo?
He is the personal Assistant of Mh Mbowe, amabaye amempa kazi maalumu, and he reports to him only.

Katika investigation kama hii, your direct boss is required to assist with the investigation. Chama pia kinahitajika kuwasaidia polici kwenye hili.

Mbowe arudi kuisaidia kumtafuta Ben , kwanza ni uungwana kwa yeye kufanya hivyo and mind you its politically correct and a great trump card for those who know proper and paying politics.
 
Zile ahadi baada ya msiba wa marehemu mawazo mlizikamilisha?Mtoto wake bado mnamsomesha au ilikuwa ahadi hewa?Tuanzie hapo kwanza...
Mkuu uliza na ili..Hivi walioshiriki mauaji yake Mawazo serikali imeisha watia mbaroni?
 
He is the personal Assistant of Mh Mbowe, amabaye amempa kazi maalumu, and he reports to him only.

Katika investigation kama hii, your direct boss is required to assist with the investigation. Chama pia kinahitajika kuwasaidia polici kwenye hili.

Mbowe arudi kuisaidia kumtafuta Ben , kwanza ni uungwana kwa yeye kufanya hivyo and mind you its politically correct and a great trump card for those who know proper and paying politics.
Polisi imeshapewa taarifa, familia ina RB, chama kupitia kwa KM kimesema kinaendelea kumtafuta, TCRA inaendelea na uchunguzi wake, sasa unataka Mbowe akawasaidie polisi kitu gani.

Polisi inaendelea na uchunguzi wake na chama kinaendelea na uchunguzi wake.
 
He is the personal Assistant of Mh Mbowe, amabaye amempa kazi maalumu, and he reports to him only.

Oh, kumbe ukiacha kuwa ni mwajiriwa wa CHADEMA, pia ni mwajiriwa binafsi wa Mbowe ktk "mambo binafsi" yasiyohusiana na chama!!??

I didn't know.......

However, mambo gani haya binafsi ya Mbowe? Ya nyumbani kwake? Ya ofisini kwa m/kiti - CHADEMA?..Yepi?

Ama mimi sina uelewa ya term "Personal Assistant - Special duty?"
 
Mtoa hoja na huyu mwingine aitwaye hekima wanaandika kama walio na taarifa sahihi juu ya alipokufa kijana Ben. Tuambieni tu kama mmeshamuua na kama ni mmoja wapo wa zile maiti saba ili tumshukuru Mungu kwa hicho mlichokifanya
 
Hata siwaelewi sijui ni kwa sababu ya hii njaa niliyonayo..........? kwa maana tangu nimekula jana usiku mpaka sasa sijui nitakula nini...... mwe Hapa pa Duniani wengine Tupotupo tu.....!!!
 
Hilo wazo litakuwa limeanzishwa na mwenyekiti wa chama Mbowe,

Chama hakina hela ya kujiendeshea hela ya ruzuku mbowe na lema wanaitumbua ulaya, hela ya kuendeshea chama hakuna mmeona mje kwa style hii ya kujiteka na kuanzisha foundation ya kujipatia hela haramu!!

Lema yupi?
 
Kwa mawazo nilinyamaza lakini kwa hili la Ben sitanyamaza tu..nitakemea kwa vitendo..
 
Wenzako wanamtafuta, wewe unatuletea habari mseto hapa!
 
Naona hii ishu imegeuka kuwa dili. Au ndio kamradi kapya ka Ben. Anajificha halafu anachangisha manyumbu.
 
Polisi imeshapewa taarifa, familia ina RB, chama kupitia kwa KM kimesema kinaendelea kumtafuta, TCRA inaendelea na uchunguzi wake, sasa unataka Mbowe akawasaidie polisi kitu gani.

Polisi inaendelea na uchunguzi wake na chama kinaendelea na uchunguzi wake.
Kwenye tukio kama hili everybody close to the missing person is a suspect until such time the investigation leads to a different areas. Hata mke na wanao wanatakiwa kusaidi uchunguzi.

Ben alikuwa karibu sana na Mh Mbowe , kwa hivyo Mbowe anaweza kuwa na information zitakazowasaidia police, kwa mfano anaweza kujua kama Ben aliwahi kumfahamisha kiongozi wake kuna watu wanamtishia maisha. Kwani haiwezekani Ben kumfahamisha Mbowe kama anaandamwa ama anatishiwa maisha yake.

Everybody close to Ben has
some information that can help the Investigation.

Na kama Ben alikuwa karibu sana na mwenye kiti Mbowe, na Ndugu Ben amepotea katika hali ya utata, Mbowe hastahili kurudi na kutumia uwezo wake kisiasa na kimali kujaribu kumtafuta kijana wake amabaye ni nguzo moja muhimu sana kwenye siasa za Chadema?

Tuache siasa mbovu na ushabiki usio na mueleko, the Truth ni kwamba Ben ametelekezwa na mwenye kiti, kama ni kweli amepotea, ama sivyo tunachezewa shere hapa na viongozi wa Chadema.
 
Oh, kumbe ukiacha kuwa ni mwajiriwa wa CHADEMA, pia ni mwajiriwa binafsi wa Mbowe ktk "mambo binafsi" yasiyohusiana na chama!!??

I didn't know.......

However, mambo gani haya binafsi ya Mbowe? Ya nyumbani kwake? Ya ofisini kwa m/kiti - CHADEMA?..Yepi?

Ama mimi sina uelewa ya term "Personal Assistant - Special duty?"
Personal assistance in hiscapacity as the Chairman of the party. Its common for people in higher positions to have a PA who is paid by the institution.
 
Wazo nzuri sana ila siyo la bongo....yani utaanzishiwa nzengwe uwo mfuko mafisadi watajilia tu vyao
 
Back
Top Bottom