Wazo la kuanzisha Ben Saanane Trust Fund (BSTF)

Wazo la kuanzisha Ben Saanane Trust Fund (BSTF)

Eti kijana anayejulikana ndani na nje ya nchi...
Sasa kama anajulikana kapoteaje?
Mbona mi nimemjua baada habari za kupotea kwake kutangazwa!!
Kama umemjua baada ya kupotea basi humjui Ben.
 
Familia ya marehemu mawazo walichangisha wabunge wa Chadema na wapenzi wa Chadema mamilioni eti ya kusaidia familia kaulize hata SAA hii familia yake ilipata shilingi ngapi Chadema watoe ripoti watakuwa wakali kama pilipili.Hapa wanataka kutumia Ben saanane kupiga pesa vibaka wakubwa pelekeni zile pesa zaidi ya milioni 100 mlizochangisha mkaipe familia ya marehemu mawazo kwanza kabla ya kuja na porojo mpya hapa.
Kama hujui kinachoendelea kwenye familia ya Mawazo bora kunyamaza.
 
Fund ya nn ndio nyie wapiga dili .Na mtoto wako akipotea utaanzisha fund.
 
Kwanini iwe ben saanane trust fund naisiwe mawazo trust fund samahani lakini mimi sifungamani na chama chochote nimawazo na mtazamo tu
 
Kama hujui kinachoendelea kwenye familia ya Maneno bora kunyamaza.
Mlichangisha mamilioni muipe familia mlichofanya utapeli eti god bless lema kamchukua mtoto wa mawazo eti kumsomesha mngewapa pesa wangesomesha wenyewe sio ujanja ujanja
 
Alphonce Mawazo Trust fund haipo! Double standards hizi.
 
Mi nimeshachapisha tsheti za Ben saanane..anaehitaji pliz
 
Habari ya huyu kijana inachanganya.

1. Kwamba kapotea zaidi ya wiki tatu sasa.

2. Wa kwanza kumuulizia kwenye mitandao ni mpenzi wa chama tofauti na chama chake wiki kama 2 zilizopita. Na hapakutolewa majibu ama na wapenzi wa Ben au mtu yeyote huko mitandaoni.

3. Kwamba alikuwa anatafutwa kimya kimya na familia yake pamoja na wanaharakati wenzake ambao wameleta taarifa mitandaoni baada ya kupata taarifa ya marehemu wa bagamoyo. Kwanini hawakusema mapema kila mtu afahamu labda hata tungesaidia kumtafuta mapema? Hawa wana harakati walikaa kimya ili iweje?

4. Hadi sasa chama chake kiko kimya. Hakuna tamko wala jitihada za chama kumtafuta na kinatuhumiwa kujua aliko. Katibu mkuu wa chama anatoa tamko too late baada ya serikali na wana harakati kuongea. Je kwanini chama kimekaa kimya zaidi ya wiki 3 wakati mwanachama na mtumishi wake wa makao makuu haonekani? Mbona habari za Lema huwa hazichukui wiki 3 kujulikana?

5. Wapo hata sasa wanaoamini na kusema ama Ben kajiteka ama hajapotea ama kajificha ama kafichwa mahala na chama chake. Hawa ndio walianza kueleza mitandaoni kwa mafumbo kwamba CDM wameishiwa sera wameanza kujiteka. Je kundi hili ndilo linaujua ukweli?

6. Watu wengi wakipotea hutafutwa kwa njia mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari kama TV. Kwanini familia ya Ben na wanaharakati walimtafuta kimya kimya kwa wiki tatu pasipo hata kwenda kituo chochote cha televisheni kutoa taarifa?
 
Si kila siku tunahimizwa na viongozi tena wengi wao wakiwa ni wa CCM kuchangamkia fursa? Kama wachaga ndiyo wako mbele sana kwenye kuchangamkia fursa sisi wa makabila mengine lazima tujiulize tuna tatizo gani hadi tusizione fursa ambazo wachaga huwa wanaziona? Kwa nini tunabakia kulalamika kwa wachaga kutumia fursa ambazo hawana hatimiliki nazo?
 
Ben saa8:
historia fupi
kuzaliwa ____________ kupotea ______________ ......., kutafutwa mto ruvu __________________.
 
Mlichangisha mamilioni muipe familia mlichofanya utapeli eti god bless lema kamchukua mtoto wa mawazo eti kumsomesha mngewapa pesa wangesomesha wenyewe sio ujanja ujanja
Nimekwambia hujui unachojua mtoto anasoma na familia inaendelea.
 
Si kila siku tunahimizwa na viongozi tena wengi wao wakiwa ni wa CCM kuchangamkia fursa? Kama wachaga ndiyo wako mbele sana kwenye kuchangamkia fursa sisi wa makabila mengine lazima tujiulize tuna tatizo gani hadi tusizione fursa ambazo wachaga huwa wanaziona? Kwa nini tunabakia kulalamika kwa wachaga kutumia fursa ambazo hawana hatimiliki nazo?
Mchangamkie fursa ki halali. Si kila kitu dili.
 
Habari ya huyu kijana inachanganya.

1. Kwamba kapotea zaidi ya wiki tatu sasa.

2. Wa kwanza kumuulizia kwenye mitandao ni mpenzi wa chama tofauti na chama chake wiki kama 2 zilizopita. Na hapakutolewa majibu ama na wapenzi wa Ben au mtu yeyote huko mitandaoni.

3. Kwamba alikuwa anatafutwa kimya kimya na familia yake pamoja na wanaharakati wenzake ambao wameleta taarifa mitandaoni baada ya kupata taarifa ya marehemu wa bagamoyo. Kwanini hawakusema mapema kila mtu afahamu labda hata tungesaidia kumtafuta mapema? Hawa wana harakati walikaa kimya ili iweje?

4. Hadi sasa chama chake kiko kimya. Hakuna tamko wala jitihada za chama kumtafuta na kinatuhumiwa kujua aliko. Katibu mkuu wa chama anatoa tamko too late baada ya serikali na wana harakati kuongea. Je kwanini chama kimekaa kimya zaidi ya wiki 3 wakati mwanachama na mtumishi wake wa makao makuu haonekani? Mbona habari za Lema huwa hazichukui wiki 3 kujulikana?

5. Wapo hata sasa wanaoamini na kusema ama Ben kajiteka ama hajapotea ama kajificha ama kafichwa mahala na chama chake. Hawa ndio walianza kueleza mitandaoni kwa mafumbo kwamba CDM wameishiwa sera wameanza kujiteka. Je kundi hili ndilo linaujua ukweli?

6. Watu wengi wakipotea hutafutwa kwa njia mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari kama TV. Kwanini familia ya Ben na wanaharakati walimtafuta kimya kimya kwa wiki tatu pasipo hata kwenda kituo chochote cha televisheni kutoa taarifa?
Nafikiri maswali yako yanajadiliwa kwenye thread zingine, una mawazo gani kuhusu trust fund.
 
Back
Top Bottom