Wazo la kuanzisha Ben Saanane Trust Fund (BSTF)

Wazo la kuanzisha Ben Saanane Trust Fund (BSTF)

Ben-Rabiu Saanane ni kijana aliyejitokeza katika kizazi hiki kuwa jasiri, mahili na mwenye kipaji cha ajabu katika kujenga hoja. Nyota yake iling'ara si tu ndani ya nchi bali hata nje ya mipaka ya nchi yetu.

Lengo langu leo siyo kuzungumzia aliyofanya Ben bali kuja na wazo la kuanzisha "Trust Fund" itakayojulikana kama "Ben Saanane Trust Fund" kifupi (BSTF).

Lengo la mfuko huu utakuwa siyo tu kumtafuta Ben kokote aliko na kwa wakati wote hata ikipita miaka 20, bali pia utaweza kuisaidia familia yake na mtu yeyote atakayepatwa na tatizo kama hili.

Nimekuwa inspired kuandika hivi na Madeleine's Trust Fund. Hii trust fund ilianzishwa na familia ya McCann ya Uingereza mwaka 2007 mara tu baada ya mtoto wao aitwaye Madeleine kupotea wakati wakiwa mapumzikoni Ureno. Lengo lilikuwa kumtafuta mtoto wao (Leaving No Stone Unturned) ambaye hadi leo hajapatikana, lakini mfuko bado upo unaendelea. Leo mfuko umejitanua kimataifa umeweza kusaidia watoto wengi wenye matatizo mbalimbali duniani kote ki elimu, legal assistance, financial assistance nk.

Mfuko huu (BSTF) utasaidia jamii kutafuta wanaopotea kwa mazingira ya kutatanisha na kutoa taarifa za kiuchunguzi kwa vyombo vinavyohusika.

Karibu kwa mchango na msaada wenu kuhusu wazo hili.


Nyie na pesa sijui nani kawaloga.
Badala ya kumtafuta Ben saivi mnajipanga kukuza mtaji

Hahahahahahaha
Mahaba ya pesa yaliyopitiliza
 
Hilo wazo litakuwa limeanzishwa na mwenyekiti wa chama Mbowe,

Chama hakina hela ya kujiendeshea hela ya ruzuku mbowe na lema wanaitumbua ulaya, hela ya kuendeshea chama hakuna mmeona mje kwa style hii ya kujiteka na kuanzisha foundation ya kujipatia hela haramu!!

Viongozi wa chama wafanyabiznes wanamadeni lukuki.
Hapa NHC huku Twiga pale ruzuku nk
 
Ben-Rabiu Saanane ni kijana aliyejitokeza katika kizazi hiki kuwa jasiri, mahili na mwenye kipaji cha ajabu katika kujenga hoja. Nyota yake iling'ara si tu ndani ya nchi bali hata nje ya mipaka ya nchi yetu.

Lengo langu leo siyo kuzungumzia aliyofanya Ben bali kuja na wazo la kuanzisha "Trust Fund" itakayojulikana kama "Ben Saanane Trust Fund" kifupi (BSTF).

Lengo la mfuko huu utakuwa siyo tu kumtafuta Ben kokote aliko na kwa wakati wote hata ikipita miaka 20, bali pia utaweza kuisaidia familia yake na mtu yeyote atakayepatwa na tatizo kama hili.

Nimekuwa inspired kuandika hivi na Madeleine's Trust Fund. Hii trust fund ilianzishwa na familia ya McCann ya Uingereza mwaka 2007 mara tu baada ya mtoto wao aitwaye Madeleine kupotea wakati wakiwa mapumzikoni Ureno. Lengo lilikuwa kumtafuta mtoto wao (Leaving No Stone Unturned) ambaye hadi leo hajapatikana, lakini mfuko bado upo unaendelea. Leo mfuko umejitanua kimataifa umeweza kusaidia watoto wengi wenye matatizo mbalimbali duniani kote ki elimu, legal assistance, financial assistance nk.

Mfuko huu (BSTF) utasaidia jamii kutafuta wanaopotea kwa mazingira ya kutatanisha na kutoa taarifa za kiuchunguzi kwa vyombo vinavyohusika.

Karibu kwa mchango na msaada wenu kuhusu wazo hili.
UNATAKA KUPIGA DILI SIYO????????????????TUMESHTUKA HUPATI NG'OOOOOO.
 
Nyie na pesa sijui nani kawaloga.
Badala ya kumtafuta Ben saivi mnajipanga kukuza mtaji

Hahahahahahaha
Mahaba ya pesa yaliyopitiliza
Una maoni yeyote kuhusu trust fund.
 
Una maoni yeyote kuhusu trust fund.

Vitendo.mnavyofanya jamii inazidi kuwaogopa.
Hivi imagine kama kweli kapotea lipi la muhimu ktk familia yake saizi hela.au uzima.wake.

Mbona mnapenda kucapitalize kwenye matatizo.ya wengine
 
Ben-Rabiu Saanane ni kijana aliyejitokeza katika kizazi hiki kuwa jasiri, mahili na mwenye kipaji cha ajabu katika kujenga hoja. Nyota yake iling'ara si tu ndani ya nchi bali hata nje ya mipaka ya nchi yetu.

Lengo langu leo siyo kuzungumzia aliyofanya Ben bali kuja na wazo la kuanzisha "Trust Fund" itakayojulikana kama "Ben Saanane Trust Fund" kifupi (BSTF).

Lengo la mfuko huu utakuwa siyo tu kumtafuta Ben kokote aliko na kwa wakati wote hata ikipita miaka 20, bali pia utaweza kuisaidia familia yake na mtu yeyote atakayepatwa na tatizo kama hili.

Nimekuwa inspired kuandika hivi na Madeleine's Trust Fund. Hii trust fund ilianzishwa na familia ya McCann ya Uingereza mwaka 2007 mara tu baada ya mtoto wao aitwaye Madeleine kupotea wakati wakiwa mapumzikoni Ureno. Lengo lilikuwa kumtafuta mtoto wao (Leaving No Stone Unturned) ambaye hadi leo hajapatikana, lakini mfuko bado upo unaendelea. Leo mfuko umejitanua kimataifa umeweza kusaidia watoto wengi wenye matatizo mbalimbali duniani kote ki elimu, legal assistance, financial assistance nk.

Mfuko huu (BSTF) utasaidia jamii kutafuta wanaopotea kwa mazingira ya kutatanisha na kutoa taarifa za kiuchunguzi kwa vyombo vinavyohusika.

Karibu kwa mchango na msaada wenu kuhusu wazo hili.
wewe unawaza kupiga pesa wakati mwenzako amejichimbia anachora mfumo wa operesheni kata funua
 
Wazo zuri.

Lakini tusubiri kidogo tusiharakishe mno anaweza kujitokeza muda Si mrefu.

Ila kama mambo yakiwa kama sasa baadaya ya muda kidogo kupita (kama wiki au mbili) nikotayari kuweka changu kwenye hiyo trust fund. Hopefully tutapata uhakikisho na maelezo zaidi kutoka kwa Maxence Melo kuhusiana na hii trust fund.
 
Wazo zuri.

Lakini tusubiri kidogo tusiharakishe mno anaweza kujitokeza muda Si mrefu.

Ila kama mambo yakiwa kama sasa baadaya ya muda kidogo kupita (kama wiki au mbili) nikotayari kuweka changu kwenye hiyo trust fund. Hopefully tutapata uhakikisho na maelezo zaidi kutoka kwa Maxence Melo kuhusiana na hii trust fund.
Hili ni wazo tu sio kwamba kesho mfuko unaanza,

halafu wengi wanachanganya trust fund na michango kama ya rambirambi, trust funds ni organizations ambazo lazima ziwe registered brela au wizara ya mambo ya ndani kama an organization.
 
Vitendo.mnavyofanya jamii inazidi kuwaogopa.
Hivi imagine kama kweli kapotea lipi la muhimu ktk familia yake saizi hela.au uzima.wake.

Mbona mnapenda kucapitalize kwenye matatizo.ya wengine
Kuna watu wanawaza 20 years ahead kama wewe unawaza one day bread is up to you.

Kila jambo lina chanzo chake Ben is just a name a cause of course na Trust Fund hailengi kumtafuta Ben tu bali kusaidia jamii na serikali pia.
 
Hilo wazo litakuwa limeanzishwa na mwenyekiti wa chama Mbowe,

Chama hakina hela ya kujiendeshea hela ya ruzuku mbowe na lema wanaitumbua ulaya, hela ya kuendeshea chama hakuna mmeona mje kwa style hii ya kujiteka na kuanzisha foundation ya kujipatia hela haramu!!
Mkuu vipi? Hivi LEMA si yuko gerezani?
 
Kuna watu wanawaza 20 years ahead kama wewe unawaza one day bread is up to you.

Kila jambo lina chanzo chake Ben is just a name a cause of course na Trust Fund hailengi kumtafuta Ben tu bali kusaidia jamii na serikali pia.

Hakuna lolote kama huna namna Kubota kipato njoo.nikuajiri sitoi pesa ya bure muda huu.

Kwa hiyo wewe umeona mbali 20 yrs na akionekana Ben utafanya nini?
 
Hakuna lolote kama huna namna Kubota kipato njoo.nikuajiri sitoi pesa ya bure muda huu.

Kwa hiyo wewe umeona mbali 20 yrs na akionekana Ben utafanya nini?
Ben akionekana ndiyo mwisho wa maisha? ndio maana nikasema you think on one day bread.
 
Back
Top Bottom