spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,226
Ninachokushangaa umetoa mifano ya makampuni yanayomiliki ndege model zaidi ya moja af unatuambia ATCL imebugiBen akionekana ndiyo mwisho wa maisha? ndio maana nikasema you think on one day bread.
Nami nilakuuliza umefikir kuhusu dusadvantages peke hajafikiri kuhusu faida ili tukompee?
Wanaofikiria leo wanajulikana ndio kina nyie mnaopinga kila kifanywacho na government.
You don't even think about next gen