Unaweza kunionesha sehemu nilibishana mkuu ??? au wewe ni miongoni mwa hao MA-RAS na MA-DED???
hakuna cha hali halisi mkuu....raisi wetu sio mtu wa matumizi mabaya ya madaraka....baraza lake la mawaziri nalo kama yeye....sasa unadhani kwann khali ya uchumi, ukata utokee kwa muda mfupi hivi?Acheni upotoshaji wa hali halisi.
we jamaa kichefu chefu, unaamini utumbo ulioandika umemuingia! labda wenye akili kama zako
Kuna wajinga lakini wewe umezidi hivi kuishi kihalali ndio kunapeleka watu waishi kwa dhiki na kuzidi kuwa maskini
Hamna lolote hapo.
Wapo watumishi wa Umma WENYE WELEDI, waliolitumikia Taifa kwa UAMINIFU kwa muda mrefu ambao walitakiwa wawe promoted na kuteuliwa nyadhifa mbalimbali. Binafsi jambo hili silioni kama ni jambo sahihi.
we jamaa umeandika nini hapa, acha mihemuko!Wala sio uchama mkuu....haya maisha ya kijinga jinga tunayaeendekeza sisi....sasa kama magufuri anadai kuna watu wameficha pesa na wanatakiwa wazirudishe nyie mnashabikia waeendeleee kuficha na zisizunguke mitaani,mnategemea hayo maduka mtayaendesha kivipi?....Wambie hao mafisadi wafichue hizo pesa na sisi walala hoi tupate ujira wetu ,tukanunue bidhaa huko kariakoo na mwanza uone maduka kama yatafungwa kwa kukosa wateja!!
mkuu kwanini kitu kikikosekana inaonekana kimefichwa??!sukari ilisemekana imefichwa sasahivi pesa imefichwa dont you think hakuna alternative ya kusolve haya matatizo tofauti na kuomba walioficha warudishe na badala yake kuacha maisha yakiwa magumu mtaani?
we jamaa umeandika nini hapa, acha mihemuko!
Ndugu yangu ccm ni ileile na wana ccm ni walewale............Kinachonisikitisha ni kutotoa ajira kwa vijana ambao wengi wanatoka familia maskini mno halafu nae anajinadi kutetea maskini wa nchi hii ingekuwa kweli kabla ya kuwateua hao MARAS 2 NA MADED 13 angetoa kwanza ajira kwa vijana ambao baba zao na mama zao ni maskini anaowatetea, kwa kutofanya hili kwangu kapoteza mvuto kwa 100% hakuna atakachoongea eti kikawa cha maana kwangu.
mpaka watembeza cd wanalia hali tete biashara hamna vepee na wao mafisadi?Kwa hiyo kila mtu ambaye biashara imeyumba wateja hamna alikuwa mwizi au msanii?
mkuu unaongea ukiwa na akili timamu au umelewa kwa hiyo yale maisha ya zama za Nyerere za bidhaa adimu uliyafurahia sanaSerikali ya ccm kuanzuia mwinyi mpaka kikwete pale tulichagua koloma.....ata hao unaowasema walikuwa na weledi ni wa kudonoa tu.
hahahahaa za uso!Si tu kwamba ulichokiandika ni utumbo mtupu bali hata kuuandika huo utumbo kwa usahihi imekushinda!!
Kuna kitu nadhani hautambui....hivi kipind cha kikwete maisha ya kambale kila mtu anandevu,unaweza yalinganisha na maisha ya kipindi hiki cha bro Magu....cha sheria bila shuriti?
Ameshatuangusha kabla ya Safari kuanza.
Ameshashindwa vibaya mno..yupo hoi now
Kwa hiyo kila mtu ambaye biashara imeyumba wateja hamna alikuwa mwizi au msanii?