jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,969
- 1,393
Naomba kusema mie sio mwanauchumi ila mpaka sasa naona dalili zote za serikali ya awamu ya tano kushidwa..
Tulikuwa tukitegemea unafuu wa maisha lakini hari imekuwa mbaya kuliko awali.
Kwa sasa mzunguko wa biashara hakuna kwa mfano.Kariakoo kwa sasa watu wanachia milango kwa sababu hakuna faida anayopata ukiachilia kodi kuwa juu..mtu anamua kwenda kupanga mtaani.
Tatizo la ajira linaendelea kuwa kubwa hakuna ajira mpya kama alivyohaidi baada ya miezi 2 ajira zitatoka mpya hakuna mpango mahususi wa kuwawezesha vijana kupata mikopo kwa ajili ya kujikwamua kimaisha
Teuzi sasa zimekuwa za kumsifia JPM anakupa teuzi.mfano.nafasi za makatibu wa kuu na manaibu wake hawa walikuwa wajiriliwa kutoka serikalini kama ilivyo kwa wakurugenzi ..motisha kwa wafanyakazi wa huma imekwisha hawezi mtu kutoka kutangaza TV.leo anakuja kuwa boss wako.
Uhuru wa vyombo vya habari na watu kujieleza umebinywa sana ..kila kitu lazima usifie serikali hata kama ni jambo baya ..
Hakuna miradi mikubwa mpaka sasa serikali imesign zaidi ile ambayo ilikuwa imekwisha andaliwa na JK.
Kazi anayoifanya kwa sasa ni kuteua na kufukuza..
Watanzania tunahitaji kuona maisha yakiboreshwa na uhuru wa kujieleza..
Ongeza mengine unayoyajua wewe...
Tulikuwa tukitegemea unafuu wa maisha lakini hari imekuwa mbaya kuliko awali.
Kwa sasa mzunguko wa biashara hakuna kwa mfano.Kariakoo kwa sasa watu wanachia milango kwa sababu hakuna faida anayopata ukiachilia kodi kuwa juu..mtu anamua kwenda kupanga mtaani.
Tatizo la ajira linaendelea kuwa kubwa hakuna ajira mpya kama alivyohaidi baada ya miezi 2 ajira zitatoka mpya hakuna mpango mahususi wa kuwawezesha vijana kupata mikopo kwa ajili ya kujikwamua kimaisha
Teuzi sasa zimekuwa za kumsifia JPM anakupa teuzi.mfano.nafasi za makatibu wa kuu na manaibu wake hawa walikuwa wajiriliwa kutoka serikalini kama ilivyo kwa wakurugenzi ..motisha kwa wafanyakazi wa huma imekwisha hawezi mtu kutoka kutangaza TV.leo anakuja kuwa boss wako.
Uhuru wa vyombo vya habari na watu kujieleza umebinywa sana ..kila kitu lazima usifie serikali hata kama ni jambo baya ..
Hakuna miradi mikubwa mpaka sasa serikali imesign zaidi ile ambayo ilikuwa imekwisha andaliwa na JK.
Kazi anayoifanya kwa sasa ni kuteua na kufukuza..
Watanzania tunahitaji kuona maisha yakiboreshwa na uhuru wa kujieleza..
Ongeza mengine unayoyajua wewe...