Hamna lolote hapo.Kweli hutoona cha maana kwakuwa umejiandaa kubishana tu....hivi unajua taratibu za kuajili watu katika nyazifa muhimu kama hizo ulizo zitaja, au ww unadhani ni kama kwenda sokoni unachagua matunda tu na kuweka kwenye kapu?
Wapo watumishi wa Umma WENYE WELEDI, waliolitumikia Taifa kwa UAMINIFU kwa muda mrefu ambao walitakiwa wawe promoted na kuteuliwa nyadhifa mbalimbali. Binafsi jambo hili silioni kama ni jambo sahihi.