Wazo la kijinga: Kuna dalili zote kwa serikali ya Magufuli kushindwa

kwani hizo pesa zimeanza kufichwa serikali ya awamu ya 5?? mbona enzi za kikwete hali haikuwa hivi!! unaweza fikiria zaidi ya hapo

Kuna kitu nadhani hautambui....hivi kipind cha kikwete maisha ya kambale kila mtu anandevu,unaweza yalinganisha na maisha ya kipindi hiki cha bro Magu....cha sheria bila shuriti?
 
Kinachonisikitisha ni kutotoa ajira kwa vijana ambao wengi wanatoka familia maskini mno halafu nae anajinadi kutetea maskini wa nchi hii ingekuwa kweli kabla ya kuwateua hao MARAS 2 NA MADED 13 angetoa kwanza ajira kwa vijana ambao baba zao na mama zao ni maskini anaowatetea, kwa kutofanya hili kwangu kapoteza mvuto kwa 100% hakuna atakachoongea eti kikawa cha maana kwangu.

Kweli hutoona cha maana kwakuwa umejiandaa kubishana tu....hivi unajua taratibu za kuajili watu katika nyazifa muhimu kama hizo ulizo zitaja, au ww unadhani ni kama kwenda sokoni unachagua matunda tu na kuweka kwenye kapu?
 
Kuwa na hofu na Mwenyezi Mungu kwa hii post ulioutoa.hali inajulikana kuwa ngumu wewe unaleta uchama wako.

Wala sio uchama mkuu....haya maisha ya kijinga jinga tunayaeendekeza sisi....sasa kama magufuri anadai kuna watu wameficha pesa na wanatakiwa wazirudishe nyie mnashabikia waeendeleee kuficha na zisizunguke mitaani,mnategemea hayo maduka mtayaendesha kivipi?....Wambie hao mafisadi wafichue hizo pesa na sisi walala hoi tupate ujira wetu ,tukanunue bidhaa huko kariakoo na mwanza uone maduka kama yatafungwa kwa kukosa wateja!!
 
Naomba kusema mie sio mwanauchumi ila mpaka sasa naona dalili zote za serikali ya awamu ya tano kushidwa..
Tulikuwa tukitegemea unafuu wa maisha lakini hari imekuwa mbaya kuliko awali.
Kwa sasa mzunguko wa biashara hakuna kwa mfano.Kariakoo kwa sasa watu wanachia milango kwa sababu hakuna faida anayopata ukiachilia kodi kuwa juu..mtu anamua kwenda kupanga mtaani.
Tatizo la ajira linaendelea kuwa kubwa hakuna ajira mpya kama alivyohaidi baada ya miezi 2 ajira zitatoka mpya hakuna mpango mahususi wa kuwawezesha vijana kupata mikopo kwa ajili ya kujikwamua kimaisha
Teuzi sasa zimekuwa za kumsifia JPM anakupa teuzi.mfano.nafasi za makatibu wa kuu na manaibu wake hawa walikuwa wajiriliwa kutoka serikalini kama ilivyo kwa wakurugenzi ..motisha kwa wafanyakazi wa huma imekwisha hawezi mtu kutoka kutangaza TV.leo anakuja kuwa boss wako.
Uhuru wa vyombo vya habari na watu kujieleza umebinywa sana ..kila kitu lazima usifie serikali hata kama ni jambo baya ..
Hakuna miradi mikubwa mpaka sasa serikali imesign zaidi ile ambayo ilikuwa imekwisha andaliwa na JK.
Kazi anayoifanya kwa sasa ni kuteua na kufukuza..
Watanzania tunahitaji kuona maisha yakiboreshwa na uhuru wa kujieleza..
Ongeza mengine unayoyajua wewe...
Wanaona njia bora ni kuchukua AKIBA ZETU kwenye mifuko ya jamii. AHADI NYINGI VYANZO vya Mapato vichache.
 
hali imekua ngumu sana ajira ngumu,makampuni yanapunguza watu mahoteli yanafungwa,mengine yanageuzwa hostel au kuuzwa,watalii wamepungua sana,wale waliokuwa wanafanya shughuli za kusafirisha magari na mizigo nchi jirani wengi wao wako nyumbani tuu ,mafao ya kujitoa bado ni ishu
UKO SAWA KIONGOZ PAMOJA. UVIVU WA KUFIKIRI NDIYO TABU.
 
Naomba kusema mie sio mwanauchumi ila mpaka sasa naona dalili zote za serikali ya awamu ya tano kushidwa..
Tulikuwa tukitegemea unafuu wa maisha lakini hari imekuwa mbaya kuliko awali.
Kwa sasa mzunguko wa biashara hakuna kwa mfano.Kariakoo kwa sasa watu wanachia milango kwa sababu hakuna faida anayopata ukiachilia kodi kuwa juu..mtu anamua kwenda kupanga mtaani.
Tatizo la ajira linaendelea kuwa kubwa hakuna ajira mpya kama alivyohaidi baada ya miezi 2 ajira zitatoka mpya hakuna mpango mahususi wa kuwawezesha vijana kupata mikopo kwa ajili ya kujikwamua kimaisha
Teuzi sasa zimekuwa za kumsifia JPM anakupa teuzi.mfano.nafasi za makatibu wa kuu na manaibu wake hawa walikuwa wajiriliwa kutoka serikalini kama ilivyo kwa wakurugenzi ..motisha kwa wafanyakazi wa huma imekwisha hawezi mtu kutoka kutangaza TV.leo anakuja kuwa boss wako.
Uhuru wa vyombo vya habari na watu kujieleza umebinywa sana ..kila kitu lazima usifie serikali hata kama ni jambo baya ..
Hakuna miradi mikubwa mpaka sasa serikali imesign zaidi ile ambayo ilikuwa imekwisha andaliwa na JK.
Kazi anayoifanya kwa sasa ni kuteua na kufukuza..
Watanzania tunahitaji kuona maisha yakiboreshwa na uhuru wa kujieleza..
Ongeza mengine unayoyajua wewe...
Serikalii inafanikiwa, itaendeleakufanikiwa na mwisho Panapo Uhai Watanzania wataomba Magu aongeze kipindi cga tatu. Sababu za kufanikiwa Magu aendeshi serikali kishkaji na kama alikuteua na hukuonyesha tija anakutumbua. Miradi mipya inakuja lakin iiliyopo ndio iyo mnayo lalamika kwamba deni la Taifa linaongezeka. yaani Maendeleo mnataka lakini deni hamlitaki!! Anachokifanya Magu ndiokinachotakiwa kufanywa. Ameanza na msingi anapanda taratibu na kwa baadhi ya watu kulalamika haikuanza leo . Kipindi cha Mwinyi walilalamika, Mkapa wakalalamika, Kikwete wakalalamika waka mtukana. Nasasa wanalalamika ila huyu huwezi kumtukana maana utafundishwa adabu. Naatakaye kuja watalalamika.
 
Serikalii inafanikiwa, itaendeleakufanikiwa na mwisho Panapo Uhai Watanzania wataomba Magu aongeze kipindi cga tatu. Sababu za kufanikiwa Magu aendeshi serikali kishkaji na kama alikuteua na hukuonyesha tija anakutumbua. Miradi mipya inakuja lakin iiliyopo ndio iyo mnayo lalamika kwamba deni la Taifa linaongezeka. yaani Maendeleo mnataka lakini deni hamlitaki!! Anachokifanya Magu ndiokinachotakiwa kufanywa. Ameanza na msingi anapanda taratibu na kwa baadhi ya watu kulalamika haikuanza leo . Kipindi cha Mwinyi walilalamika, Mkapa wakalalamika, Kikwete wakalalamika waka mtukana. Nasasa wanalalamika ila huyu huwezi kumtukana maana utafundishwa adabu. Naatakaye kuja watalalamika.
Labda unawazungumzia watanzania wa Chato
 
Wanaona njia bora ni kuchukua AKIBA ZETU kwenye mifuko ya jamii. AHADI NYINGI VYANZO vya Mapato vichache.
Hapo kwenye fao la kujitoa wamegusa pabaya...lazima kinuke hapo! Hii itawapa nguvu watu kusapoti UKUTA ifikapo Oktoba mosi.
 
Kwani Ajira ni nini.
Ukikimbilia mjini kichwa kichwa lazima usomeshwe Number tu.

Hakuna Nchi yoyote Duniani ambayo wananchi wake wote wana Ajira.
USA kwenyewe njaa kali vile vile,watu hawana Ajira,itakuwa hapa.

Uwezo wa kufikiri na kujituma,ndio mtaji wako.
Vijana wa Kiume wamekuwa hovyo sana,hatimae madada ndio wajasiriamali wenye mafanikio makubwa na kwa kasi kuliko vijana wa kiume wenye kutaka maisha ya mkato na muda mfupi.Ujanja ujanja,utapeli,dili za ajabu.Huku matumizi yakiwa makubwaa

Akili kumkichwa,maisha mepesi ukiwa na akili,ukishindwa rudi kijijini,watu wa mjini wanawekeza kwenye mashamba vijijini kwa sasa na vijana mmekimbia huko mnapishana na Maisha.

Mtu akifanikiwa mnasema Freemason,sasa watu tutulieee tuendelee kusema Mkulima Masanja na Diamond ni freemason wakati vijana hao wanatumia fursa huku tukiwapiga majungu.
Blessed vijana wote wenye kujituma
ok!
 
Unawaambia wafanya biashara walioficha Sukari tukiikamata tunagawa bure,matokeo yake nini mpaka hivi sasa?Bei juu kushuka imekuwa ni habari nyingine.
 
Wala sio uchama mkuu....haya maisha ya kijinga jinga tunayaeendekeza sisi....sasa kama magufuri anadai kuna watu wameficha pesa na wanatakiwa wazirudishe nyie mnashabikia waeendeleee kuficha na zisizunguke mitaani,mnategemea hayo maduka mtayaendesha kivipi?....Wambie hao mafisadi wafichue hizo pesa na sisi walala hoi tupate ujira wetu ,tukanunue bidhaa huko kariakoo na mwanza uone maduka kama yatafungwa kwa kukosa wateja!!
mkuu kwanini kitu kikikosekana inaonekana kimefichwa??!sukari ilisemekana imefichwa sasahivi pesa imefichwa dont you think hakuna alternative ya kusolve haya matatizo tofauti na kuomba walioficha warudishe na badala yake kuacha maisha yakiwa magumu mtaani?
 
Back
Top Bottom