Wazito PPF wachota ‘vijisenti’

Status
Not open for further replies.
Huyo Irene alikuwa meneja wa Investment PPF hawezi kufanya lolote baya kwa PPF maana anamwona Erio kama bosi wake bado. Rais alikosea sana sana. Alimwacha ambaye naamini angefaa lakini Erio alipita kila kona kufitini asipewe.

let's wait and see kama kuna lolote zaidi kutumia kodi zetu kulipa mishahara yao tu





Rais JK alichangua board ya kusimamia social security funds. Ninakumbuka mkurugenzi wake anaitwa Irene. Mojawapo ya majukumu ya kuanzisha hiyo board ni ku harmonize mafao yanayotelewa na mifuko hiyo PSPF, PPF, NSSF, LAPF etc. Kulikuwa na madai kwamba PPF ndiyo mfuko unaopunja mafao kuliko mifuko yote. Therefore ikatakiwa iwepo formula moja itakayotumiwa na mifuko hiyo.

Lakini tangia huyu mama achanguliwe hakuna jambo lolote alilofanya. Alipewa miezi mitatu akalimishe hilo zoezi lakini hadi hii leo bado. Kila siku anaoneakana kwenye makongomano tu. Nina wasiwasi huendwa ameshahongwa na PPF maana wanapinga huo mpango wa kuwa na common formula, ili waendelee kufisadi michango yetu wafanyakazi.

UDASA ninafikiri inabidi wazidishe mapambano maana serikali ya Kikwete haina nia ya dhati ya mafao ya wafanyakazui, hasa ukizingatia wakurungezi wa mifuko hiyo ni wajomba zao akina William (SIC!)
 
Ras vipi?

Mbona kimya? au computer yako imechukuliwa ikachakachuliwe?

Hivi Erio ataendesha PPF kama duka lake au nyumba yake ambayo anaweza amua lolote kwa housegirl wake

WADAU

Katika hali ya kutisha na kuogofya, DG Erio na kibaraka wake Mganga, wameng'oa komputer za wale wanaowafikilia kuwa walikuwa wanaandika humu kwenye JF.

Sasa hivi wanaendesha PPF kama duka la mhindi. Mzee Oming'o wamemlazimisha kustaafu
 
Wana JF,

Kasi na nguvu ya pale mwanzo juu ya uchangiaji wa hizi topic unakuwa siyo kamilifu kwani kuna muda topic inapotea kabisa ukiuliza eti kuna vitisho toka kwa watu fulani, basi nafikiri JK angekuwa mtu wa kwanza kuifungia JF kwa jinsi anavyo-chakachuliwa na JF na magazeti asilimia 70 ya magazeti yote yanayo mwandika yangefungiwa na kushitakiwa atakuwa huyu jamaa Erio na vibaraka wake.

Serikali ichukue hatua za haraka kulinusuru shirika kwa kuondoa utawala mzima kwani fitina, chuki na ufisadi ni kama agenda ya viongozi wa ppf.
 
Wewe hizo habari umezipata wapi?

Nijuavyo mimi mafao ya bodi hupangwa na bodi inayofuata.

Haiwezi kuwa 200m labda useme bodi yote wamelipwa hizo pesa ambayo ni total amount.

Acheni kutuletea habari za tetesi
 
Aisee hizi habari ni za kushtua na kusikitisha sana kwa kweli...!

Sidhani kama kuna nchi tajiri duniani kama Tanzania. Huu wizi na ufisadi amabo kila sehemu unaonekana kushamiri sijui utaisha lini...! Hii habari inaonekana inaukweli wake kabisa....! Aisee tuwekee hio audit report ili tuweze kuichambua vizuri kaka...!


nakaushukuru kwa kuuliona hapo ni PPF peke yake tuna NSSF, NHIF, PSPF, LAPF, GEPF, ZSSF, Inauma sana, by proffession mimi nina Adv Dip ya Social protection niko bench mwaka wa pili sasa kaangalie
CV zao Mungu kama wanazidi 200, inauma inauma inaumaaaaaaaaaaaaaaa
 
MAUNDUMULA ndugu yangu,

Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza.

Bora ingekuwa wamelipwa Bodi, sio bodi ni wakurugenzi watendaji tu. Walijilipa kwa kupindisha taratibu za mafao hayo. Wafanyakazi wa mikataba, wanastahili Gratuity sio group endowment kama walivyo fanya. Huu ni wizi wa mchana. Baada ya Mwenyekiti wa Audit Commettee kuhoji tu, wote wakapelekwa Johanesburg kula kuku.

Waliolipwa ni kama ifuatavyo:

Mwaka 2008:

1. Baduru Msangi -Mkurugenzi wa Pensions Tshs. 220,000,000
2.Hossea kashimba -Chief Internal auditor Tshs. 220,000,000
3. Michael Mjinja- Director of Commercial Services-Tshs 172, 000,000
4. Charles Chenza-Director of Investiments- Tshs 172, 000,000
5. Martin Mmari Director of Finance Tshs. 172,000,000
6. Carina Wangwe-Director of computer Services. Tshs. 130,000,000

Mwaka 2010

Wiliam Erio. Director General- Tshs 520,000,000.


Unashangaa milioni 200?

Mwezi huu mwishoni wanagawana tena maana wametengeneza kamfereji.

Waziri wa fedha walimzima kwa kumnunulia Laptop.


Serikari iangalie kama ni sawa, mzee msitaafu alipwe Tshs 50,000 kwa mwezi na hawa wajigawie Mil. 200, kila miaka mitatu.




Wewe hizo habari umezipata wapi?

Nijuavyo mimi mafao ya bodi hupangwa na bodi inayofuata.

Haiwezi kuwa 200m labda useme bodi yote wamelipwa hizo pesa ambayo ni total amount.

Acheni kutuletea habari za tetesi
 
Wana PPF Wanaodhaniwa kuwa ndio waleta taarifa za uozo za uongozi wa PPF wanatishiwa kuuawa, wengine wanatengenezewa kesi za Jinai ili mradi wakurugenzi waendelee kuliibia shirika. Hivi watanzania mko wapi, wanachama wa PPF mko wapi?

Waandishi wa habari mko wapi maana yameandikwa humu jamvini, hakuna aliyekanusha.

Wapiganaji wa ndani ya mfuko wako kwenye kikaango.

Baada ya kupitisha mahesabu ya 2010, Bodi kesho wanakwea pipa kwenda majuu kutumbua pesa za PPF. Kama ni uongo, waandishi wa habari waende jumatatu wakaulizie watapata jibu.

Waziri Mkuu aingilie kati PPF itakwisha na serikari itatumia fedha za kodi kulipa mafao. Mahesabu yanayotolewa yanapikwa na kuwahonga wakaguzi.








Wana JF,

Kasi na nguvu ya pale mwanzo juu ya uchangiaji wa hizi topic unakuwa siyo kamilifu kwani kuna muda topic inapotea kabisa ukiuliza eti kuna vitisho toka kwa watu fulani, basi nafikiri JK angekuwa mtu wa kwanza kuifungia JF kwa jinsi anavyo-chakachuliwa na JF na magazeti asilimia 70 ya magazeti yote yanayo mwandika yangefungiwa na kushitakiwa atakuwa huyu jamaa Erio na vibaraka wake.

Serikali ichukue hatua za haraka kulinusuru shirika kwa kuondoa utawala mzima kwani fitina, chuki na ufisadi ni kama agenda ya viongozi wa ppf.
 
Hivi ule mgomo wa waadhiri wa vyuo vikuu vya umma kugomea mfuko huu na kutaka kufanyiwe mabadiliko uliishia wapi? Maana walijitahidi sana kuhainisha mapungufu ya mfuko huu na kuonyesha wizi unaofanyika. Laiti wafanyakazi wanaochangia mfuko huu wangejua mapungufu yake, sidhani kama amani ingekuwepo.
 
Hivi ule mgomo wa waadhiri wa vyuo vikuu vya umma kugomea mfuko huu na kutaka kufanyiwe mabadiliko uliishia wapi? Maana walijitahidi sana kuhainisha mapungufu ya mfuko huu na kuonyesha wizi unaofanyika. Laiti wafanyakazi wanaochangia mfuko huu wangejua mapungufu yake, sidhani kama amani ingekuwepo.


Unacheza na jeuri ya pesa wewe? ushawahi kulisikia hilo suala limetangazwa na gazeti lolote au Tv yoyote? Hawa jamaa washawanunua waandishi karibia wote na hasa wahariri, wakitaka kuandiaka tu, wanapewa semina elekezi ya jinsi ya kuandika habari zinazohusu PPF! Wachingiaji wa PPF waamke sasa, na kupaza sauti zao!
 
MAUNDUMULA ndugu yangu,

Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza.

Bora ingekuwa wamelipwa Bodi, sio bodi ni wakurugenzi watendaji tu. Walijilipa kwa kupindisha taratibu za mafao hayo. Wafanyakazi wa mikataba, wanastahili Gratuity sio group endowment kama walivyo fanya. Huu ni wizi wa mchana. Baada ya Mwenyekiti wa Audit Commettee kuhoji tu, wote wakapelekwa Johanesburg kula kuku.

Waliolipwa ni kama ifuatavyo:

Mwaka 2008:

1. Baduru Msangi -Mkurugenzi wa Pensions Tshs. 220,000,000
2.Hossea kashimba -Chief Internal auditor Tshs. 220,000,000
3. Michael Mjinja- Director of Commercial Services-Tshs 172, 000,000
4. Charles Chenza-Director of Investiments- Tshs 172, 000,000
5. Martin Mmari Director of Finance Tshs. 172,000,000
6. Carina Wangwe-Director of computer Services. Tshs. 130,000,000

Mwaka 2010

Wiliam Erio. Director General- Tshs 520,000,000.


Unashangaa milioni 200?

Mwezi huu mwishoni wanagawana tena maana wametengeneza kamfereji.

Waziri wa fedha walimzima kwa kumnunulia Laptop.


Serikari iangalie kama ni sawa, mzee msitaafu alipwe Tshs 50,000 kwa mwezi na hawa wajigawie Mil. 200, kila miaka mitatu.


Tatizo ni Mkapa aliyemuweka Erio, mtoto wa dada yake wakati akijua kabisa hakuwa na akili ya kuendesha chombo muhimu kama hicho.
Baada ya kumulipa hizo milioni 500 nasikia tena alikwenda yeye mwenyewe ikulu kumuombea Erio arudishwe kwenye nafasi hiyo.

Ni maanadamano tu ndo yataleta akili kwa wapangaji wa ikulu.
 
Unacheza na jeuri ya pesa wewe? ushawahi kulisikia hilo suala limetangazwa na gazeti lolote au Tv yoyote? Hawa jamaa washawanunua waandishi karibia wote na hasa wahariri, wakitaka kuandiaka tu, wanapewa semina elekezi ya jinsi ya kuandika habari zinazohusu PPF! Wachingiaji wa PPF waamke sasa, na kupaza sauti zao!

Niliisikia hiii nikasema kumbe njaa!!! Hata Kubenea naye nasikia alipewa kikubwa zaidi na baada ya hapo ktk mkutano mmoja uliofanyika Arusha ndo akawa mwalimu wa wenzake na akapewa bahasha za wenzake. Sasa hutamsikia akiandika lolote juu ya PPF. Taaabu kweli!
 
Naskia huko PPf sasa hivi ni vitisho, watu kunyang'anywa computers zao na JF kuwa enemy number 1
 
Mama Mdogo,
Ni amini Usiamini, I had to ask twice, Ni kweli! Ni kweli! the answer was Yes! Yes! 200 mil NOT 20 or 2 mil. Ni mia mbili!

Naifanyia kazi kutafuta doc. husika ili nizimwage JF.

Kuna mtu pale Chuo chetu Kikuu -UD alalama kwamba those wajumbe wa bodi wamekuwa kama kamati ya Olympic. hawatoki ili kulinda siri za bodi. na somehow, PPF management inawazawadia some sort of ufisadi, ili ku-maintain secrecy.

Particularly was complaining on the behaviour of Prof. Koda ambaye she don't care. Hana tena utetezi wa wanachama walio elimu ya juu bali ni mwanachama anayendeleza ufisadi.


subirini

I am live member of PPF.

Kama hizi habari ni za kweli basi PPF itafulia very soon. Inasikitisha sana kwa Mifuko yetu ya Pensheni kutumika kwa ajili ya kuwanufaisha watu wachache katika nchi hii.Kwanza PPF ni mojawapo ya mifuko inayolipa hela mbovu kabisa. Kuna PSPF wanalipa kati ya milioni 70-100 au zaidi!

Iweje Board member alipwe Milioni 200 kwa muda wa miaka 3 au 5 wakti mwanachama wa PPF anapostaafu anaambulia milioni 10-30 tu kwa miaka yote aliyokaa kazini(20-35 yrs) ??
 
PPF seems to be the most corrupt Govt institution kuliko zote naona hata jeshi la Polisi haliingii ndani hapa
 
Jamani, mi naanza kupata mafao yangu ya kila mwezi kuanzia Julai 2014 lakini kwa maelezo haya ninajiuliza kama hata hizo hela zitakuwepo! Nani anaweza kunisaidia nikavuta changu kabisa saa hizi????
 
MAUNDUMULA ndugu yangu,

Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza.
Waliolipwa ni kama ifuatavyo:

Mwaka 2008:
1. Baduru Msangi -Mkurugenzi wa Pensions Tshs. 220,000,000
2.Hossea kashimba -Chief Internal auditor Tshs. 220,000,000
3. Michael Mjinja- Director of Commercial Services-Tshs 172, 000,000
4. Charles Chenza-Director of Investiments- Tshs 172, 000,000
5. Martin Mmari Director of Finance Tshs. 172,000,000
6. Carina Wangwe-Director of computer Services. Tshs. 130,000,000

Mwaka 2010
Wiliam Erio. Director General- Tshs 520,000,000.

Mwezi huu mwishoni wanagawana tena maana wametengeneza kamfereji.

Huyo anayeitwa William Erio ana elimu ipi na ubora upi ktk kazi?
Niliongea na staff mmoja akasema huyu ni tatizo la undugu na hata wadhifa ulitokana na udungu, kiasi kwamba sasa anajibu 'kunya' wanachama wanapomuuliza kwa nini anachezea pesa yao. Nasikia aliwahi kujibu kwamba ndo stahili yake.

Ktk hali kama hiyo naamini kabisa wakichunguzwa, utakuta kuna malipo mengi ya kifisadi yanayolipwa kila siku!

PPF na kaka zake sasa wamegundua ufisadi ulioko ktk sekta ya ujenzi na wameamua nao sasa kujikita ktk kazi hiyo. Jengo la milioni 800 linajengwa kwa bilioni 1.5.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom