Wazito PPF wachota ‘vijisenti’

Status
Not open for further replies.
hello!
Mimi hata sioni kama ni hela nyingi hivyo, they deserve if and only if, kuwepo kwao kwenye bodi kumesaidia PPF kuzalisha 100 times ya hizo walizopewa... incentive ni common kwenye banks/ financial institute nyingi ulimwenguni, ila cha msingi kuangalia ni kama wamezalisha hizo hela, sijui kwa undani ila kwa mtazo wa haraka wa invetsment zao hapo nchini ni nyingi. Ni vizuri wakalipana hivyo kuliko hizo zinazoliwa kwenye deal za rada, ndege za rais, richmond etc, ni bora mtu akiserve kwenye bodi ajue wazi kwamba kama hatakuwa fisadi end of the day ana handsome pay yake kubwa tu ya kutosha, this is better than ufisadi.
kwa kuongezea tu nafasi za bodi zingewekwa wazi kwa watu wote kugombea kwa sifa zao na pengine kamati ya bunge ipitishe majina ya wale walio-qualify

Nyondo, kweli kaka, mil 2oo? Jamani huoni uchungu mtumish anataabika fo 35 yrs anaambulia mil 3o, try to be human. Sikatai kupewa kiasi atractive kama kazi yao ilikuwa nzuri, lakini 2oo kaka, kweli? Wawe reasonable, kwa wanachama wao kwa kufurahiya na wao keki yao.
 
NI WILIAM ERIO SIO URIO. Wengi hudhani ni MCHAGA, sio. Huyu ni MJOMBA Benjamini William Mkapa, Rais mstaafu. Kabla ya kuondoka madarakani, mwezi October, 2005, Mkapa alimwondoa aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Mzee Nsemwa na kuweka mpwae tarehe 15 September, 2005.

William Erio hakuwa na uzoefu wa kupewa mfuko mkubwa kama PPF. Aliajiliwa PPF June 2000 akitokea Tanganyika Law Society alikokuwa desk officer na kuwa mwanasheria wa mfuko kwa shinikizo la Mama Anna Mkapa. Alikuwa peke yake kwenye ofisi. Mwaka 2002, alipewa msaidizi mmoja. Mwaka 2005 akapewa msaidizi mwingine wa tatu na mwaka huo huo Sept. akapewa ukurugenzi mkuu na mjomba wake Mkapa. Hakuwa na sifa na wala hana sifa. Sasa hivi anaendesha mfuko kwa vitisho, mfanyakazi asiulize kitu, nongwa. Wakurugenzi aliowaona ni tishio alihakikisha anawang'oa.

Shida kubwa aliyo nayo pia ni UKWARE NA UFATAKI KWA VIBINTI VIDOGO PALE OFISINI .

erio2.jpg


Labda tungejiuliza huyu WILLIAM URIO yuko Karibu na kiongozi gani serikalini mpaka akapewa hiyo kazi na hizi tuhuma za ufisadi zinazoendelea huko PPF kwa nini hazijibiwi wala kufanyiwa kazi?

halafu hebu itazameni Management ya PPF hapa:

:: PPF Pensions Fund ::-
 
Mwaka 2008 kulikuwa na mjadala ulikufa bila kujadiliwa kwa kina kuhusu wakurugenzi wa mfuko wa pension wa PPF waliojichotea takribani shilingi milioni 200 kila mmoja. Hali halisi ni hii hapa

1. HAO WALIOORODHESHWA MWAKA 2008 kwenye JF SIO WALIOJIGAWIA MILIONI 200. BALI NI WAKURUGENZI WA NDANI SIO BOARD MEMBERS ambao ni.Director of Finance, Chief Internal Auditor, Director of Computors, Director of Commercial Services, Director of Investiments, na Director of Pensions.
2. Mhasibu mkuu aliwagomea kulipa kwa kuwaambia sio haki yao kwa kuwa wao ni wa mkataba wanalipwa gratuity 25% ya mishahara yao kwa muda wote wa mkataba, wakamsimamisha kazi kwa vitisho vya kutaka kufukuza na kumhamisha idara. Toka June 2008 hadi March 2010 amehamishwa mara nne. Hivi sasa wamemtupa Mbeya asione madudu yao
3. Mafao waliyojilipa haikuwa stahili yao, kwani mafao hayo yapo kwa wafanyakazi wa kudumu tu pale wanapofikia umri wa kustaafu (55 years) na wawe wanaondoka kabisa PPF sio kama walivyofanya wao ambapo bado wanaendelea na kazi na karibu wote wana umri chini ya miaka 50.

4. Mwezi wa tatu 2011 wanamaliza mkataba mwingine watavuta kila mmoja karibu milioni 100 kama serikari ikiwaachia waibe tena.
5. Audit commettee ya bodi ya PPF walijua kuwa ni wizi, wakapelekwa Johanesberg kunyamazishwa.
6. Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikari alipigwa dongo la macho kusaini mahesabu ya 2008. Wakaguzi kutoka TAC walijaribu kuijia juu menejimenti ya PPF, lakini wakapewa vijisenti wakanyamaza kimya. Draft report yao tunayo ilionyesha wizi huo lakini ripoti ya mwisho haikuwekwa.
7. Mishahara kupanda kila mwaka kwa asilimia 25%.
Baada ya kuiweka bodi ya wadhamini mifukoni mwao, wamekuwa wakijiamulia mambo wenyewe. Wakurugenzi wana mishahara mikubwa, wakati walalahoi ndani ya mfuko huo huo wanasota. Kila mwaka wao hujiongezea kati shs. Milioni moja na nusu na mbili na nusu wakati wafanyakazi wadogo kuanzia mameneja kushuka wanaongezewa kati shilingi elfu kumi na elfu tisini tu. Usawa uko wapi? Waziri wa fedha anajua hili?
8. Hivi karibuni Mkurugenzi Mkuu aliitisha mkutano wa wafanyakazi akaruhusu maswali. Mfanyakazi mmoja alihoji kwa nini wakurugenzi wajiongezee mamilioni yote hayo wakati walalahoi wanapewa kiduchu? Aliulizia pia uizi walioufanya March 2008 wa kugawana shs.200m ambao wataurudia March 2011, kwa nini wapewe wakurugugenzi wasiostahili kabla ya umri wa kustaafu wa miaka 55? Masikini mzee wa watu, katibua hivi ninapoandika amesimamishwa kazi kwa kuhoji ufisadi wa wakurugenzi wa PPF.
9. NAOMBA PCCB, USALAMA WA TAIFA, SERIKARI-WIZARA YA FEDHA, UTUMISHI, WANAWAKE NA JINSIA WAINGIE PPF NA KUCHUNGUZA. WASIMWOGOPE DG KWA SABABU NI MTOTO WA MZEE MKAPA.


MALIPO HAYA NI NJE YA GRATUITY 25% TSHS 48M, NA PENSION 20% ZAIDI MILIONI 70
NAOMBA KUTOA HOJA
NAOMBA KUTOA HOJA


Aisee hizi habari ni za kushtua na kusikitisha sana kwa kweli...!

Sidhani kama kuna nchi tajiri duniani kama Tanzania. Huu wizi na ufisadi amabo kila sehemu unaonekana kushamiri sijui utaisha lini...! Hii habari inaonekana inaukweli wake kabisa....! Aisee tuwekee hio audit report ili tuweze kuichambua vizuri kaka...!
 
Duh, natamanai kunywa damu ya mtu! Hivi hawa wanaokula wanadhani sisi tuna mioyo ya chuma ya kuwavumilia tu na madudu yao! Haki ya Mungu hawana muda mrefu tutawateremsha zile ngazi za mjengoni kwao wakitembelea videvu! Inauma sn!
 
Sio tu ni jamaa wa Rais Mkapa, ni mjomba wake. DG wa PPF ni mtoto wa dada yake wa Mkapa kwa kuzaliwa. Kakulia nyumbani kwa mkapa, kasomeshwa na mkapa.
Si unajua umachingani ni MATRINIAL SYSTEM?

Ntoto wa dada ni wa njomba. BENJAMINI WILLIAM MKAPA VS ERIO WILLIAM


LIKE DADY LIKE SON WOTE NI WEZI NA MAFISADI
f
KUMBE dg wa PPF ni jamaa yake na Rais Mkapa?
 
Sio tu ni jamaa wa Rais Mkapa, ni mjomba wake. DG wa PPF ni mtoto wa dada yake wa Mkapa kwa kuzaliwa. Kakulia nyumbani kwa mkapa, kasomeshwa na mkapa.
Si unajua umachingani ni MATRINIAL SYSTEM?

Ntoto wa dada ni wa njomba. BENJAMINI WILLIAM MKAPA VS ERIO WILLIAM


LIKE DADY LIKE SON WOTE NI WEZI NA MAFISADI
f

I thought Mkapa was beyond hizi politics za kindugu ndugu
 
Director general ameagiza mtandao unaoonyesha jf ufungwe wafanyakazi wasiouone. Kwa leo nasikia walifunga kwa muda

ni wiliam erio sio urio. Wengi hudhani ni mchaga, sio. Huyu ni mjomba benjamini william mkapa, rais mstaafu. Kabla ya kuondoka madarakani, mwezi october, 2005, mkapa alimwondoa aliyekuwa mkurugenzi mkuu mzee nsemwa na kuweka mpwae tarehe 15 september, 2005.

William erio hakuwa na uzoefu wa kupewa mfuko mkubwa kama ppf. Aliajiliwa ppf june 2000 akitokea tanganyika law society alikokuwa desk officer na kuwa mwanasheria wa mfuko kwa shinikizo la mama anna mkapa. Alikuwa peke yake kwenye ofisi. Mwaka 2002, alipewa msaidizi mmoja. Mwaka 2005 akapewa msaidizi mwingine wa tatu na mwaka huo huo sept. Akapewa ukurugenzi mkuu na mjomba wake mkapa. Hakuwa na sifa na wala hana sifa. Sasa hivi anaendesha mfuko kwa vitisho, mfanyakazi asiulize kitu, nongwa. Wakurugenzi aliowaona ni tishio alihakikisha anawang'oa.

Shida kubwa aliyo nayo pia ni ukware na ufataki kwa vibinti vidogo pale ofisini .
 
Director general ameagiza mtandao unaoonyesha jf ufungwe wafanyakazi wasiouone. Kwa leo nasikia walifunga kwa muda

Aiseehii kali kwa kweli...! Inamaanisha haya yasemwayo yapo na ni ya Ukweli ndio maana hataki yaendelee kujulikana...!
 
kama ni nchi kuibiwa na wakurugenzi wa ppf basi ndio hapa. Usalama wa taifa na takukuru wako wapi?

Mkurugenzi mkuu aliteua mkandalasi bila utaratibu akawa anamlazimisha mkurugenzi wa uwekezaji apitishe akakataa wakagombana. Akamzushia kuwa mbishi, akamnyima mkataba mpya. Sasa amemuajiri ndugu yake kutoka kwao ambaye anauhusiano wa karibu kabisa. Kama kuna wa jf wa usalama wa taifa wachunguze. Wana jichotea kama njugu hasa za ujenzi wa chuo kikuu dodoma.
wewe kweli una moyo wa chuma, yani unategemea chochote kutoka usalama wa taifa na PCCB? sio kwa wakubwa, hao jamaa wategemee kama maskini kakosea au mimi na wewe tunasema ukweli... huko juu wanapewa vifungu vyao mapemaaaaaaaa
 
Acid, Mwanakijiji vipi?

Mwanahalisi, Raia mwema hamuoni madudu PPF?

Mbona kimya? Au ndio semina za wahariri zimewanyamazisha, mara Bagamoyo, mara Zanzibar, Arusha na... na...


wewe kweli una moyo wa chuma, yani unategemea chochote kutoka usalama wa taifa na PCCB? sio kwa wakubwa, hao jamaa wategemee kama maskini kakosea au mimi na wewe tunasema ukweli... huko juu wanapewa vifungu vyao mapemaaaaaaaa
 
Namshauri Sexon2000 aipeleke hiyo riport:

1. NBAA waone wahasibu wa PPF walivyo vilaza, Tanzania Audit Cooperations (TAC) wanavyoaudit utumbo na kula rushwa,

2. Mkaguzi na mdhibiti Mkuu wa serikari, aone tofauti na aliyopelekewa, aone kama TAC wanafaa kupewa tenda tena,

3. PCCB (TAKUKURU): Waone jinsi rushwa ilvyokithiri PPF, TAC na auditor toka ofisi ya mkaguzi mkuu wa serikali walivyovuta vijisenti

4. Katibu mkuu wa Rais (Mh. Luhanjo) Aone alivyodanganywa na Erio na kutoa waraka wa baraka walioutumia kutoa hoja wakaguzi wa DELOIT AND TOUCH.

WAKURUGENZI WOTE NI WEZI PPF.

Aisee hizi habari ni za kushtua na kusikitisha sana kwa kweli...!

Sidhani kama kuna nchi tajiri duniani kama Tanzania. Huu wizi na ufisadi amabo kila sehemu unaonekana kushamiri sijui utaisha lini...! Hii habari inaonekana inaukweli wake kabisa....! Aisee tuwekee hio audit report ili tuweze kuichambua vizuri kaka...!
 
sasa hii ya idara ya Procurement na JR niliposoma ndio nimechoka kabisa

Madudud yanayoeendelea kule IT na kuajiri Mganda ndio basi kabisa
 
WADAU

Katika hali ya kutisha na kuogofya, DG Erio na kibaraka wake Mganga, wameng'oa komputer za wale wanaowafikilia kuwa walikuwa wanaandika humu kwenye JF.

Sasa hivi wanaendesha PPF kama duka la mhindi. Mzee Oming'o wamemlazimisha kustaafu






Namshauri Sexon2000 aipeleke hiyo riport:

1. NBAA waone wahasibu wa PPF walivyo vilaza, Tanzania Audit Cooperations (TAC) wanavyoaudit utumbo na kula rushwa,

2. Mkaguzi na mdhibiti Mkuu wa serikari, aone tofauti na aliyopelekewa, aone kama TAC wanafaa kupewa tenda tena,

3. PCCB (TAKUKURU): Waone jinsi rushwa ilvyokithiri PPF, TAC na auditor toka ofisi ya mkaguzi mkuu wa serikali walivyovuta vijisenti

4. Katibu mkuu wa Rais (Mh. Luhanjo) Aone alivyodanganywa na Erio na kutoa waraka wa baraka walioutumia kutoa hoja wakaguzi wa DELOIT AND TOUCH.

WAKURUGENZI WOTE NI WEZI PPF.
 
Hizo ni sehemu chache ambazo tumeweza kujua, bado sehemu nyingi kama Bandarini, Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu, Vyuo Vikuu vya umma, Shule za Sekondari za serikali, Halmashauri za Miji na majiji pamoja na wilaya zake, TEMESA nako usiseme kabisa, Mahospitali ya serikali nk. Hizo ni baadhi ya sehemu ambazo zinatumia vibaya mali ya umma kutokana na huduma zinazotolewa.
 
:rain::rain:Ndugu ya alikua senior assistant forest oficer(SAFO)!! aliitumikia hii serikali kwa miaka 37 na kustaafu 2008 cha ajab PSPF wakampa milion 25 and then hawa wapuuz wanalipana mil 200 per head????? hii nchi ipo siku kutakua na internal terorism yan m2 anavaa bomu anakwenda ofice kubwa kubwa za wezi kama PPF,LAPF,PSPF,NSSF etc na kujilipua bora 2kose wote!!!:A S 112::A S 112:
 
Rais JK alichangua board ya kusimamia social security funds. Ninakumbuka mkurugenzi wake anaitwa Irene. Mojawapo ya majukumu ya kuanzisha hiyo board ni ku harmonize mafao yanayotelewa na mifuko hiyo PSPF, PPF, NSSF, LAPF etc. Kulikuwa na madai kwamba PPF ndiyo mfuko unaopunja mafao kuliko mifuko yote. Therefore ikatakiwa iwepo formula moja itakayotumiwa na mifuko hiyo.

Lakini tangia huyu mama achanguliwe hakuna jambo lolote alilofanya. Alipewa miezi mitatu akalimishe hilo zoezi lakini hadi hii leo bado. Kila siku anaoneakana kwenye makongomano tu. Nina wasiwasi huendwa ameshahongwa na PPF maana wanapinga huo mpango wa kuwa na common formula, ili waendelee kufisadi michango yetu wafanyakazi.

UDASA ninafikiri inabidi wazidishe mapambano maana serikali ya Kikwete haina nia ya dhati ya mafao ya wafanyakazui, hasa ukizingatia wakurungezi wa mifuko hiyo ni wajomba zao akina William (SIC!)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom