Kungurumweupe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 317
- 103
Jamani nimechunguza hizi habari za ufisadi wa PPF nikagundua kuwa hao wajumbe wanaotajwa kulipwa mamilioni sio kweli. Kwanza bodi haijamaliza muda wake wala hakuna wajumbe walioondoka. Tuangalie waleta habari wasije wakasabisha mtandao wetu ukashatakiwa na hatimaye kufungiwa.
Mhh, hakuna hata mjumbe mmoja aliyelipwa. Habari za aina hii ni hatari mno.
Semsekwa.
Tunaomba ukae kando na uchawi wako. Waachie wenye uchungu na nchi wasonge mbele.